rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Nasikia ndo Jezi zaooo...!! Japo kulikuwa na wanajeshii piaaakumbe askari Wa Kenya wanavaa kombati
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia ndo Jezi zaooo...!! Japo kulikuwa na wanajeshii piaaakumbe askari Wa Kenya wanavaa kombati
hapo sawa bado nisingeamini kama ma mwera wamepambana na magaidi
Pamoja na hilo umeona Wakenya Wakipost matusi kutukana Serikali yao?? Umeona Wakisambaza Umbea unaotisha jamii ya Kimataifa?? Tujipime akili zetu ktk hayoWakenya wanajua sababu ya hayoo yote ni kupeleka majeshi kulee Somaliaa kuwaua al shabab... Kuna Rais wetu fulani nae alitaka Kuingia kwenye huoo Mtegooo aisee angejichanganyaa tungepataa tabuu sanaa yani jamaa wasingetuacha salama hata kidogo! By the way kenya wanawaheshimu sana Polisi wao maana wanajua saa yoyote kinanukaaa sisi huku ni Ujambazi tu labdaa ndo unaweza tuogopeshaaa so hatuna hofu ya maisha kama wakenyaa ilaa Ingekuwa na sisi kuna Al shabab weeee polisi tungewaabudu sasa tz wao polisi kesi za kuua raia wasio na hatia kilaa siku wanazooo..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hapa Tanzania ni nani anayeharibu utaifa? Maana watanzania walisifika duniani kote kwa swala hili la uzalendo na utaifa, kwanini sasa hivi kuanze kuonekana kuna kasoro?Wakati wa Matukio kama haya ndio utaona Utofauti wa Wakenya na Watanzania. Hapa JF zingekuwa zimejaa Posts za Kulaumu Serikali, kutukana, kulalamikiw Uislamu, kutukana vyombo vya Ulinzi nk. Hongereni sana Wakenya na Watanzania tujifunze kuwa Utaifa ni muhimu sana katika hali yoyote. Watanzania leo wangekuwa wamejaza Posts za kutisha hata Watalii wasije Nchini bila kujali maslahi mapana ya Taifa. Lkn Wakenye wanakwambia Kenya iko Salama Kenya haina Ugaidi Wageni Karibuni. Thats Excellent.
Njooo kwa Watanzania sasa mweeeeeee!!! Wangeenda Mpaka BBC Swahili kueneza Umbea na kutia chumvi ya tukio. Tupunguze Ukasuku wa kukuza mabaya tu yanayochafua taswira ya Taifa bali tuweke mbele Maslahi ya Taifa tuikomboe Nchi yetu Kiuchumi.
Wee wanawezajee...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wao wanachoweza sana kutia pingu tuu hapo wangekufaa kama kuku...!!hapo sawa bado nisingeamini kama ma mwera wamepambana na magaidi
Yaah ofcoz watz tuna ulimbukenii wa Mtandaoniii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yanii Mapage ya umbea insta kibaoo ya kibongooo... Wengi wanashinda tu mitandaoni kupiga umbea ndo mwisho wa siku wanachafua serikaliiPamoja na hilo umeona Wakenya Wakipost matusi kutukana Serikali yao?? Umeona Wakisambaza Umbea unaotisha jamii ya Kimataifa?? Tujipime akili zetu ktk hayo
Ulimbukeni wa kutumia social Network! tunadhani kila kitu ni sifa kukiweka huko. Mfano Jamii Forum kuna Wanyarwanda Kibao wanatuwekea mada za fedheha na kutukosanisha na Serikali na sisi tunaingia King kutukana kutoa siri zetu nk. So hatuna uelewa wa hizi mambo vichwa vyetu kama panzi tu.Kwani hapa Tanzania ni nani anayeharibu utaifa? Maana watanzania walisifika duniani kote kwa swala hili la uzalendo na utaifa, kwanini sasa hivi kuanze kuonekana kuna kasoro?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]una maanisha mamwera waoga??? Au sijaelewa??hapo sawa bado nisingeamini kama ma mwera wamepambana na magaidi
Yeyote alipewa silaha huweza kufanya loloteNimependa mtoa maoni mmoja wa Facebook alivyo wapongeza Askari wetu na kumwagia sifa nyingi kwa kazi wanayoifanya yanapotokea majanga na ikiwa wakati wa Aman hudharauliwa sanaView attachment 996233
Sent using Jamii Forums mobile app
Mamwera wanachoweza ni kupiga raia bas[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]una maanisha mamwera waoga??? Au sijaelewa??
Na test mitambo
Hata mimi ambaye sijawahi ishika hiyo AK 47 naweza fanya nayo kitu kweli...tuwe na iman na walinzi wetu bhna.Yeyote alipewa silaha huweza kufanya lolote
Jr[emoji769]
Ni kweli! Tuviheshimu vyombo vyetu vya usalama.Hata mimi ambaye sijawahi ishika hiyo AK 47 naweza fanya nayo kitu kweli...tuwe na iman na walinzi wetu bhna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli! Tuviheshimu vyombo vyetu vya usalama.Hata mimi ambaye sijawahi ishika hiyo AK 47 naweza fanya nayo kitu kweli...tuwe na iman na walinzi wetu bhna.
Sent using Jamii Forums mobile app
Manina mwenyewe shwaini wewe!Hiyo ndio shughuli ya Wakenya na wanafanya hivyo kulinda Maslahi ya Utalii kwa Taifa lao. Sasa Wangekua Wabongo mweeeeee mweeeeee wangeongezea Sukari zaidi na zaidi ili tu kukuza ishuu. Manina zetu sie tulilogwa na Shetani.