Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Naomba niwe mkweli.Askari wa kenya hasa wa kitengo cha usalama ni wa kulaumiw na wawajibike.Kwa nini? Kenya imekuwa ikipatwa na matukio yanayofanana kwa maumbile lakini kazi yao imekuwa kuokoa, kupunguza badala ya kuzuia.Askari kenya wanatakiwa wazuie mauaji kwa kuwabaini wahalifu sio kupambana uwanja wa vita.Wakenya amkeni na si kupiga propaganda za kuokoa wakati watu wengi wanaangamia.Wakenya jifunzeni kwa askari wa Tanzania kwani wanafanya kazi kwa weledi mkubwa wa kutulinda disi watanzania dhidi ya hao washenzi.Nawapogeza askari wa Tanzania na kuwapa pole raia wa kenya.