Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,676
- 3,046
Yeah! Mafunzo maalumu ndio kila kitu mkuu,n a ndio maana Tz tuna kikosi cha makomando..wale jamaa ni 'nyoko',wanakutoa 'ngebe' muda wowote ukijichanganya
5/5.
Bhasi nimekuelewaa...!! Polisi wenye mafunzo maalumu... Bado point yangu inabaki bila mafunzo maalumu licha ya upolisi wa kawaida hapo ni kisangaa...
Sent using Jamii Forums mobile app
5/5.