Hili ndo la msingi...kwa mshahara huo matumizi ni zaidi ya 250k kwa siku, huyo atakuwa labda ana bata sana za kitalii....Sometimes sio kila kilio njaa,wengine ni defensive mechanism vizinga na shobo dundo zipungue
Umenikumbusha jamaa yangu A level tulipiga paper ya Chemistry matokeo yakaja akalia marks kidogo mtihani ulikuwa mgumu mimi nikasema kawaida. Kumbe yeye kapata 74 na nimepata 55, tafsiri yake ya kufeli kwangu ni ufaulu mzuri.Sometimes sio kila kilio njaa,wengine ni defensive mechanism vizinga na shobo dundo zipungue
Kabisa yaani tunatofautiana sanaUmenikumbusha jamaa yangu A level tulipiga paper ya Chemistry matokeo yakaja akalia marks kidogo mtihani ulikuwa mgumu mimi nikasema kawaida. Kumbe yeye kapata 74 na nimepata 55, tafsiri yake ya kufeli kwangu ni ufaulu mzuri.
Mtu analia njaa ya ndoto zako unakaa kimya unatafakari kichwani ukitamani hizo njaa anazolilia ndio iwe hatua yako, yeye anazidi kuelezea akijua unamhurumia.
Wanasiasa wanatajirika lakiniWakuu,
Leo miemkutana na mwanangu hapa Arusha , ambae mshahara wake ni 8 tsh milioni lakini vilio ni vingi
Nimegundua hata uajiriwe wapi na ulipwe mshahara kiasi gani huwezi kua tajiri.
Jamaa anaingia saa 12 alfajiri kazini anatoka saa 11 jinoni lakini tumekutana analia shida.
Sisi waajiriwa tuwe makini hauwezi kua tajiri kwa Ajira labda ujiongeze zaidi.
Tofauti na hapo utakufa maskini kwani jamaa na mshahara wake mkubwa bado analia maisha magumu na haeleweki kuanzia vaa yake na mambo mengine.
Tuwe makini ni tahadhari tu
Yafaa abadilishe life style....kuna kity hakko sawa hapo....hakutakiwa kabisa kulia kwa sasa ......abadilishe life style...Wakuu,
Leo miemkutana na mwanangu hapa Arusha , ambae mshahara wake ni 8 tsh milioni lakini vilio ni vingi.
Nimegundua hata uajiriwe wapi na ulipwe mshahara kiasi gani huwezi kua tajiri.
Jamaa anaingia saa 12 alfajiri kazini anatoka saa 11 jinoni lakini tumekutana analia shida.
Sisi waajiriwa tuwe makini hauwezi kua tajiri kwa Ajira labda ujiongeze zaidi.
Tofauti na hapo utakufa maskini kwani jamaa na mshahara wake mkubwa bado analia maisha magumu na haeleweki kuanzia vaa yake na mambo mengine.
Tuwe makini ni tahadhari tu
Amekufix usimpige vizingaWakuu,
Leo miemkutana na mwanangu hapa Arusha , ambae mshahara wake ni 8 tsh milioni lakini vilio ni vingi.
Nimegundua hata uajiriwe wapi na ulipwe mshahara kiasi gani huwezi kua tajiri.
Jamaa anaingia saa 12 alfajiri kazini anatoka saa 11 jinoni lakini tumekutana analia shida.
Sisi waajiriwa tuwe makini hauwezi kua tajiri kwa Ajira labda ujiongeze zaidi.
Tofauti na hapo utakufa maskini kwani jamaa na mshahara wake mkubwa bado analia maisha magumu na haeleweki kuanzia vaa yake na mambo mengine.
Tuwe makini ni tahadhari tu
Sana tu hasa zama hizi.Wanasiasa wanatajirika lakini
8M harafu usiwe tajiri! Huyo Hana akili, watu tulilipwa 900K, nyumba mbili tumejenga, ardhi karibu ekari 80 tunazo, mpaka 45! Vijumba viwilivinaingiza chenj kadhaa, na kayo mkweche kamepaki nje,Wakuu,
Leo miemkutana na mwanangu hapa Arusha , ambae mshahara wake ni 8 tsh milioni lakini vilio ni vingi.
Nimegundua hata uajiriwe wapi na ulipwe mshahara kiasi gani huwezi kua tajiri.
Jamaa anaingia saa 12 alfajiri kazini anatoka saa 11 jinoni lakini tumekutana analia shida.
Sisi waajiriwa tuwe makini hauwezi kua tajiri kwa Ajira labda ujiongeze zaidi.
Tofauti na hapo utakufa maskini kwani jamaa na mshahara wake mkubwa bado analia maisha magumu na haeleweki kuanzia vaa yake na mambo mengine.
Tuwe makini ni tahadhari tu