Kazi ya kwanza ya Wizara mpya ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari iwe ni kuruhusu Watanzania kupokea malipo kupitia Paypal

Kazi ya kwanza ya Wizara mpya ya Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari iwe ni kuruhusu Watanzania kupokea malipo kupitia Paypal

Paypal ni nzuri sana na ita boost sana our economy. Lakini hicho ndo kitakuwa kifo cha mpesa,tigopesa etc. Paypal gharama ya kutoa pesa ni kama bure...wakati mpesa ukitoa 10000 wanakata 1300...zaidi ya 13%.
Serikali ndo chanzo cha makato ya miamala kuwa kubwa.
Serikali haiwezi kukubali kupoteza hii peHABARI,
HABARI,
mike2k:
Hapa Tunachozungumzia ni malipo ya mtu kulipwa kutoka Nje ya Nchi hasa Ulaya na Marekani kwa kazi za mitandaoni Na mfumo huo wa malipo hauusiani na malipo ya kutopa moja kwa moja hapana.Kwanza nikujulishe paypal ni online wallet unafungua acount na kuweka peza zako kule mtandaoni kwa kutumia Email yako unayoamini .Pesa yako ikiwa mtandaoni sasa unaweza kumlipa mtu au kununua kitu au wewe kulipwa mtandaoni kwa kutumia hiyo account yako.Sasa kinacho ongelewa hapa ni kwamba hizo mpesa n.k ndizo ambazo tunaomba Serikali iziruhusu ili waweze kufanya kazi na hiyo paypal ikiwa na maana mtu akilipwa paypal anaweza kuitoa kwenye paypal account yake ikaja mpesa awe kuweka kutoka mpesa kwenda paypal wao mpesa,tigo pesa nk wataendelea na hudumazao kama kawaida.
MPESA kenya tayari wanafanya hicho kitu.

LUMUMBA
 
Kuna huyu mgeni 2014 alilalamika mno kuhusu ukosefu wa huduma ya kupokea pesa kupitia Paypal Tanzania miaka sita Toka lalamilo lake bado kufanyiwa kazi miaka sita sasa hakuna huduma ya kupokea pesa ya paypal Wizara aomeni haya malalamiko

In 2014 I planned to visit Mikumi National Park; an absolutely beautiful wildlife conservation. To achieve that I prepared for fundraising, by offering (Swahili - English) translation services on Elance, and also selling handmade traditional ornaments on eBay. I knew that a PayPal account was necessary, good thing I already had an account which I entirely used for purchases. But it didn’t take long to realize that a Tanzanian PayPal account can only send but cannot receive money!


So, I decided to contact PayPal desperately hoping to get some help, even if it meant paying extra fees, I was willing to. It has been almost 3 years ever since I started requesting but PayPal has not yet granted the solution. They won’t disclose why Tanzanian PayPal accounts won’t receive money but kept on suggesting that I should ask buyers to use alternative payment methods like money orders, checks, bank wires transfers, etc. Honestly, that's easier said than done because popular sites like eBay prefer PayPal EXCLUSIVELY and impose restrictions from using the alternative payment methods. The moment seller suggests alternative payment methods; s/he is automatically infringing site’s rules despite the fact that such a suggestion is itself a deal breaker for most buyers and employers on freelancing sites.


I bet PayPal realizes that Tanzanian dwellers cannot sell any goods on popular shopping site like Amazon or eBay; thousands of unemployed graduates and experts cannot freelance on popular freelancing sites like Upwork, Elance, etc; domestic charity organizations cannot launch international campaigns to let millions of Diasporas and foreigners donate to a passionate course or aid. This is a lot of day-to-day missed opportunity that any person living in Tanzania is locked out of access. When will residents of Tanzania be allowed to earn online?


It is well known that Swahili is Tanzania’s native language. The majority of Tanzanians can translate English to Swahili and the vice versa in a heartbeat. These are the people who are qualified to do online translations. Tanzania has a lot of rare precious resources (like Tanzanite) that you won’t find anywhere else in the world, and Tanzanians have traditional industries that are ready to sell to the whole world. Many entrepreneurs lack seed capital for piloting their ideas. If entrepreneurs are given a chance to earn online they will surely work, save and bootstrap their startups. Sadly we have little to no access to the above opportunities because the world’s gigantic online payment processor i.e. PayPal won’t let us get paid.


If such economic barriers aren’t upheld then it must be difficult for organizations or campaigns that are trying to convince youth not to leave their countries for abroad, because nobody will want to stay in his/her country if jobs are hard to find. I believe PayPal has a role to play here by unlocking all its features hence creating job opportunities for residents of Tanzania.


Tanzania has 50+ banks, 4 major mobile money services (M-Pesa included) which can act as PayPal funds withdrawal agents if Tanzanian PayPal accounts are authorized to receive money.

Source:https://www.change.org/p/daniel-sch...ed_by_id=39ce57e0-e89a-11e5-bfd0-f132613e7389
 
HABARI,
mike2k:
Hapa Tunachozungumzia ni malipo ya mtu kulipwa kutoka Nje ya Nchi hasa Ulaya na Marekani kwa kazi za mitandaoni Na mfumo huo wa malipo hauusiani na malipo ya kutopa moja kwa moja hapana.Kwanza nikujulishe paypal ni online wallet unafungua acount na kuweka peza zako kule mtandaoni kwa kutumia Email yako unayoamini .Pesa yako ikiwa mtandaoni sasa unaweza kumlipa mtu au kununua kitu au wewe kulipwa mtandaoni kwa kutumia hiyo account yako.Sasa kinacho ongelewa hapa ni kwamba hizo mpesa n.k ndizo ambazo tunaomba Serikali iziruhusu ili waweze kufanya kazi na hiyo paypal ikiwa na maana mtu akilipwa paypal anaweza kuitoa kwenye paypal account yake ikaja mpesa awe kuweka kutoka mpesa kwenda paypal wao mpesa,tigo pesa nk wataendelea na hudumazao kama kawaida.
MPESA kenya tayari wanafanya hicho kitu.

LUMUMBA
HABARI,'
Nimeikuta hii kitu pia mtu akiongelea miaka 4 iliyopita.


xMhywFLOhxotswK-128x128-noPad.jpg

Calistus Kavindi started this petition to PayPal and 2 others
In 2014 I planned to visit Mikumi National Park; an absolutely beautiful wildlife conservation. To achieve that I prepared for fundraising, by offering (Swahili - English) translation services on Elance, and also selling handmade traditional ornaments on eBay. I knew that a PayPal account was necessary, good thing I already had an account which I entirely used for purchases. But it didn’t take long to realize that a Tanzanian PayPal account can only send but cannot receive money!
So, I decided to contact PayPal desperately hoping to get some help, even if it meant paying extra fees, I was willing to. It has been almost 3 years ever since I started requesting but PayPal has not yet granted the solution. They won’t disclose why Tanzanian PayPal accounts won’t receive money but kept on suggesting that I should ask buyers to use alternative payment methods like money orders, checks, bank wires transfers, etc. Honestly, that's easier said than done because popular sites like eBay prefer PayPal EXCLUSIVELY and impose restrictions from using the alternative payment methods. The moment seller suggests alternative payment methods; s/he is automatically infringing site’s rules despite the fact that such a suggestion is itself a deal breaker for most buyers and employers on freelancing sites.
I bet PayPal realizes that Tanzanian dwellers cannot sell any goods on popular shopping site like Amazon or eBay; thousands of unemployed graduates and experts cannot freelance on popular freelancing sites like Upwork, Elance, etc; domestic charity organizations cannot launch international campaigns to let millions of Diasporas and foreigners donate to a passionate course or aid. This is a lot of day-to-day missed opportunity that any person living in Tanzania is locked out of access. When will residents of Tanzania be allowed to earn online?
It is well known that Swahili is Tanzania’s native language. The majority of Tanzanians can translate English to Swahili and the vice versa in a heartbeat. These are the people who are qualified to do online translations. Tanzania has a lot of rare precious resources (like Tanzanite) that you won’t find anywhere else in the world, and Tanzanians have traditional industries that are ready to sell to the whole world. Many entrepreneurs lack seed capital for piloting their ideas. If entrepreneurs are given a chance to earn online they will surely work, save and bootstrap their startups. Sadly we have little to no access to the above opportunities because the world’s gigantic online payment processor i.e. PayPal won’t let us get paid.
If such economic barriers aren’t upheld then it must be difficult for organizations or campaigns that are trying to convince youth not to leave their countries for abroad, because nobody will want to stay in his/her country if jobs are hard to find. I believe PayPal has a role to play here by unlocking all its features hence creating job opportunities for residents of Tanzania.
Tanzania has 50+ banks, 4 major mobile money services (M-Pesa included) which can act as PayPal funds withdrawal agents if Tanzanian PayPal accounts are authorized to receive money.
Please support this petition to pursue PayPal to unlock its ‘receive money’ feature for Tanzanian PayPal accounts. You and I will help create 1000+ jobs locally. Thank you!

LUMUMBA
 
HABARI,
mike2k:
Hapa Tunachozungumzia ni malipo ya mtu kulipwa kutoka Nje ya Nchi hasa Ulaya na Marekani kwa kazi za mitandaoni Na mfumo huo wa malipo hauusiani na malipo ya kutopa moja kwa moja hapana.Kwanza nikujulishe paypal ni online wallet unafungua acount na kuweka peza zako kule mtandaoni kwa kutumia Email yako unayoamini .Pesa yako ikiwa mtandaoni sasa unaweza kumlipa mtu au kununua kitu au wewe kulipwa mtandaoni kwa kutumia hiyo account yako.Sasa kinacho ongelewa hapa ni kwamba hizo mpesa n.k ndizo ambazo tunaomba Serikali iziruhusu ili waweze kufanya kazi na hiyo paypal ikiwa na maana mtu akilipwa paypal anaweza kuitoa kwenye paypal account yake ikaja mpesa awe kuweka kutoka mpesa kwenda paypal wao mpesa,tigo pesa nk wataendelea na hudumazao kama kawaida.
MPESA kenya tayari wanafanya hicho kitu.

LUMUMBA
HABARI,
Kwa uzi huu nanauhakika MH.RAIS Ataupata ujumbe asaidie vijana wakitanzania kuingizi kipato dunia sasa ni kijiji kwa kutumia TEHAMA haiwezeni vijana wenzetu wananufaika na hili sisi hela zinatupita.
Hapa faidia ni nyingi kwanza ni ajira pia zitaongeza mzunguko wa pesa na pia hata mapato ya serikali yataongezeka.
Tuna vijana zaidi ya lakimoja wenye elimu ya juu hawana ajira huku nduko kwenye ajira yao hata miamala ya peza kwenye mitandao ya simu itaongezeka hiyo yote ni kodi ka serikali.

LUMUMBA
 
kuruhusu kupokea pesa kwa paypal ni kuongeza si tu ajira lakini pia kuongeza mauzo ya bidhaa zetu na huduma nje ya nchi kwa kufikia wateja duniani kote mabilioni

online business ndizo kwa sasa zinaongoza kuzalisha mabilionea wakubwa duniani bilionea namba moja duniani ni Jeff Bezos mumiliki wa Amazon online shop
 
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambayo ni mpya tunatarrajia ifanye mambo makubwa ya kuongeza ajira kwa vijana mitandaoni.

Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia ya PayPal hela inaingia hata kwenye simu yako ya mkononi, hata mwajiri au mnunuzi awe Ulaya au Marekani au popote duniani.

Waandishi wa vitabu waweza andika vitabu na kuviuza online na watunmzi wa nyimbo bk waweza kulipwa online kwa njia ya paypal chap chap mtu aki click tu na kudownload kitabu au wimbo nk malipo muda huo huo yanaingia.

Pia, mtu waweza chora hata katuni, ramani za nyumba n.k ukauza online. Au, ukajitungia wimbo wako wa kienyeji binafsi nyumbani kwako bila hata kwenda studio, ukauweka kwa mfumo wa video au audio ukauuza online kwenye maduka kibao ya online.

Tatizo kwa Tanzania haijaruhusu matumizi ya kupokea pesa kwa njia ya PayPal ambapo mtu aki-click tu kununua bidhaa yako, pesa yako inaingia chapchap kwenye PayPal account yako.

Kenya walisharuhusu; vijana wengi hushinda mitandaoni wakitengeneza pesa wakiuza bidhaa zao, viwe vichekesho, michezo ya kuigiza n.k ambavyo huviuza online. Wanaweka clip zao kwenye maduka ya online mtu ananunua anamlipa online kupitia Paypal.

Kuna shughuli nyingi za ujasiliamali online. Kikwazo kwa nchi yetu ni upataji wa pesa wa kazi yako au mauzo yako online. Bado tuko enzi za mawe tukiamini minjia ya kizamani ya kupokea hela. Na hivyo kuifanya nchi yetu kuwa ni ya kulipa zaidi pesa za kigeni na si ya kupokea pesa za kigeni.

Serikali ikiruhusu upokeaji pesa kupitia PayPal itafanya vijana wengi waingie mitandaoni kutafuta pesa.

Biashara za online zaweza kufungua Watanzania wengi kupata pesa toka nje, sababu ni juhudi ya mtu binafs na ubunifu wake i tu auze nini. Waweza kujirekodi unarukaruka kama ngedere ukiimba hovyohovyo tu bila hata vyombo halafu ukaita wimbo Crazy Monkey Song ukauweka online na ukauza. Wapo watu wana pesa wanapenda vituko wananunua.

Taasisi za elimu nazo ziweke kwenye mitaala ujasiliamali wa online wasibakie tu kufundisha ujasiriamali wa kuzurura tu juani wa kimachinga.
Mi nadhani kazi yao ya kwanza itakua kudhibiti VPN maana inasababisha mabeberu watuhujumu
 
HABARI,
mike2k:
Hapa Tunachozungumzia ni malipo ya mtu kulipwa kutoka Nje ya Nchi hasa Ulaya na Marekani kwa kazi za mitandaoni Na mfumo huo wa malipo hauusiani na malipo ya kutopa moja kwa moja hapana.Kwanza nikujulishe paypal ni online wallet unafungua acount na kuweka peza zako kule mtandaoni kwa kutumia Email yako unayoamini .Pesa yako ikiwa mtandaoni sasa unaweza kumlipa mtu au kununua kitu au wewe kulipwa mtandaoni kwa kutumia hiyo account yako.Sasa kinacho ongelewa hapa ni kwamba hizo mpesa n.k ndizo ambazo tunaomba Serikali iziruhusu ili waweze kufanya kazi na hiyo paypal ikiwa na maana mtu akilipwa paypal anaweza kuitoa kwenye paypal account yake ikaja mpesa awe kuweka kutoka mpesa kwenda paypal wao mpesa,tigo pesa nk wataendelea na hudumazao kama kawaida.
MPESA kenya tayari wanafanya hicho kitu.

LUMUMBA

Sawa sawa mkuu nimekuelewa vyema. Paypal itakuwa fursa kwa mpesa na TRA watapata chao kwa urahisi zaidi.

Online transaction zinakuja kwa kasi sana hii ni fursa kwa serikali yetu.
Google pay kupitia google wallet mtumiaji ataweza kulipia chochote kwa kutumia gmail.

Whatsapp pay mtu ataweza kulipia kwa kutumia whatsapp number.
Alibaba nao wanayo ya kwao.


YAJAYO YANAFURAISHA.
 
H
Hiyo wizara ni bosheni tu kama mpaka sasa wameshindwa kurudisha kasi ya internet kama zamani na bila vpn hauingii baadhi ya mitandao ya kijamii kazi wizi wa kura tu ndio fisiemu wanaweza ila sio kukimbizana na kasi ya Dunia kiteknolojia
Hivi vijana huwa mnawaza nini?
 
Paypal ni nzuri sana na ita boost sana our economy. Lakini hicho ndo kitakuwa kifo cha mpesa,tigopesa etc. Paypal gharama ya kutoa pesa ni kama bure...wakati mpesa ukitoa 10000 wanakata 1300...zaidi ya 13%.
Serikali ndo chanzo cha makato ya miamala kuwa kubwa.
Serikali haiwezi kukubali kupoteza hii pesa.
PayPal itaua vipi M-Pesa and the like?!

Kwa kuangalia michango mingi ya watu, ngoja tuweke kwanza kumbukumbu sawa:-

1. Faida kubwa kabisa ya kuwa na PayPal ni kwa sababu ina-facilitate online business kwa urahisi zaidi kuliko any payment processor!

Ukiwa na bidhaa yako, ukawa unaiuza Amazon, eBay, and the like, majority of Buyers wapo comfortable kufanya malipo kwa kutumia PayPal kuliko kutumia card moja kwa moja!!

Aidha, kuna mifumo mingine ya kibiashara, inakuwa rahisi zaidi kujiunga kama una access to PayPal and not otherwise!

2. Faida ya pili ya PayPal ni cheap kufanya money transfer to your BANK ACCOUNT lakini sio cheap kama unataka kutoa pesa moja kwa moja kupitia ATM pale unapokuwa na PayPal Debit Card.

Hivyo, hiyo uliyoita gharama ndogo ni ya kuhamisha pesa from PayPal Account to your Bank Account, na sio kutoa physical cash!

Sasa kama umefanya let's say biashara ya USD 5000, unaweza kuhamisha hizo USD 5000 to your local bank account kwa gharama ya around US $1 wakati kama ungefanya wire transfer, hapo ingekutoka angalau USD 30!

3. Kwa Freelancers na yenyewe inawasaidia kwa sababu karibu freelancing platform zote duniani, unaweza kufanya WDL to your Bank Account kwa gharama nafuu (around $1)!

Hata hivyo, advantage hii mwingine inaweza kumfanya asiwe una-accumulatemapato ya kutosha kwa sababu hata ukifanya kazi ya USD 10, una uhakika USD 9 itaenda kwenye akaunti yako, na ukienda kutoa, hukosi Sh 15000/=!

Ukiangalia huo mlolongo, utaona PayPal haina effect yoyote kwa M-Pesa na wengine kama hao; sana sana itaweza kuongeza transactions za mobile banking! Kwa mfano, kama kwenye Wallet nina $20, na kuhamishia bank, hapo naweza kutoa hiyo pesa kwa kutumia M-Pesa kwa sababu siwezi kwenda kwenye ATM kwa ajili ya $19 (assuming bank hawakati charge yoyote)!!
 
Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ambayo ni mpya tunatarrajia ifanye mambo makubwa ya kuongeza ajira kwa vijana mitandaoni.

Tanzania kumekuwa na tatizo kubwa la ajira. Njia moja ya kuondoa hilo tatizo ni kwa watu kutafuta kazi za kufanya online, yaani mitandaoni. Kazi zipo nyingi. Mfano, waweza pata kazi ya kutafsiri website ya kampuni au mtu kwa Kiswahili au kutafsiri kitabu. Unafanya online malipo yanakuwa kwa njia ya PayPal hela inaingia hata kwenye simu yako ya mkononi, hata mwajiri au mnunuzi awe Ulaya au Marekani au popote duniani.
Suala la PayPal ni la BoT na Wizara Mama yake but am telling you, ingekuwa rahisi sana wakati wa JK kuliko sasa ambapo kila mtu mnamuona Miwzi kasoro Magu mwenyewe!!!

Kwa serikali hii hata akitokea Mwendawazimu mmoja akasema PayPal ita-facilitate Money Laundering, watu watapiga makofi manake siku hizi kila kitu ni money laundering!!!
 
Asante sana, nimejifunza mengi kupitia uzi huu, ila najiuliza kwanini nchi nyingi zinasita kukaribisha mfumo huu?!

Kwanini sites za shoping kama eBay wa sisitize Paypal pekee?!

Je, kuna masharti ya nchi fulani kujiunga na Paypal?!

Ni maswali tu ya uelewa kwani naendelea kujifunza.
 
Miezi ya hapo nyuma nilifanya kazi fulan nikiwa na imani hela itaingia moja kwa moja, nilifikisha kias cha $123 sasa kwenye kuichukua c wakadai vya PayPal nami nilijua inafanya kaz hapa bongo(uelewa mdogo) kumbe wapi, mpk saiz hiyo hela naiangalia tu kwenye akaunt niliyojiungaga🙄🙄🙄. Ila umetoa ushauri mzur sanaaa, serikali ikiufanyia kazi nina uhakika lile wimbi la cc kulalamika kuhusu ajira litapungua😇
Naomba waufanyie kazi huu ushauri huenda nami nikaja kuitoa ile $123😂😂😂
Kama Kenya inakubali tafuta line ya Safaricom..Paypal to Mpesa safaricom
 
PayPal ni nzuri ila inabidi itengenezewe regulations kwanza isiwe kienyeji tu tutakuja kulia, jambo la heri ila linaweza tumiwa vibaya na wahalifu .
 
Hizo fursa ulizotaja wazungumzia nchi gani? Ile ambayo kufungua channel YouTube yapaswa ulipie leseni ya maudhui 500k?
 
Wanaenda kutafuta pesa kupitia kodi, hamna jipya. Hapo wanaenda kuchukua kodi za matangazo ya instagram
 
Ifute Sheria kandamizi zinazotaka wanaotumia channel YouTube kulipa. Vijana wanakoswa ulaji bure
 
Asante sana, nimejifunza mengi kupitia uzi huu, ila najiuliza kwanini nchi nyingi zinasita kukaribisha mfumo huu?!

Kwanini sites za shoping kama eBay wa sisitize Paypal pekee?!

Je, kuna masharti ya nchi fulani kujiunga na Paypal?!

Ni maswali tu ya uelewa kwani naendelea kujifunza.
Pamoja na mambo mengine mfumo wa address ni muhimu sana katika eBay na hii ni kwa muuzaji na mnunuaji.
Upo ulazima wa kuwa na physical address kwa wakazi wote nchini .
 
Back
Top Bottom