Not_James_bond
Member
- Sep 10, 2023
- 32
- 81
Wadau naomba kuuliza jambo hapa,ivi kazi ya sticker za usalama barabarani huwa ni nini?
Na ni utaratibu gani unatakiwa ufuatwe ili kuzipata hizi?
Maana sielewi na ninachokiona huku mtaani,kumekua na wimbi la vijana wanaosimama sehemu mbali mbali wakiwa wamevalia reflector jacket wengine za sensa🤣
Wanasimamisha magari na kuwauzia madereva hizi sticker kwa gharama ya sh. 5000.
Sometimes hawa wamekua wanasimama kwenye check point za polisi na unashangaa polisi anakusimamisha lakin anaekufata ni raia na kizibao chake anakuja kuuliza kuhusu sticker.
Hapa napata mkanganyiko hi kitu ipo kisheria au ni mradi wa mtu tu?
Na ni utaratibu gani unatakiwa ufuatwe ili kuzipata hizi?
Maana sielewi na ninachokiona huku mtaani,kumekua na wimbi la vijana wanaosimama sehemu mbali mbali wakiwa wamevalia reflector jacket wengine za sensa🤣
Wanasimamisha magari na kuwauzia madereva hizi sticker kwa gharama ya sh. 5000.
Sometimes hawa wamekua wanasimama kwenye check point za polisi na unashangaa polisi anakusimamisha lakin anaekufata ni raia na kizibao chake anakuja kuuliza kuhusu sticker.
Hapa napata mkanganyiko hi kitu ipo kisheria au ni mradi wa mtu tu?