Kazi ya Ualimu ni kazi ya ajabu sana, nifanyaje nijitoe?

Kazi ya Ualimu ni kazi ya ajabu sana, nifanyaje nijitoe?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Kazi ya ualimu aisee ni ngumu sana kuanzia mazingira, ufanisi wa kazi pia mishahara ni ya kawaida tofauti na kazi inayofanyika.

Ukiachana na kuwafundisha Mwalimu ana-deal na kutengeneza tabia zao tena katika umri mbovu wa balehe(foolish age), unakuta watoto wamejaa viburi kichwani hakuna kitu ukiadhibu wanaona kama wanaonewa.

Nimeona ni wakati muafaka wa Mimi kujiondoa huku kwenye ualimu nifanyiwe re-categorization niende kwenye idara nyingine, je nitumie mbinu gani kutoka huku?

Maana naona "kudeal" na hii foolish age ni mtihani, huku uchanganywe na maisha, familia, serikali na bado mtoto Wa mtu asiyejitambua kuhangaika nao, naona ni ngumu sana kwangu.

NB, Nina Bsc in education physics na mathematics, nitumie mbinu gani nitoke huku niende idara nyingine?..au nikaongeze elimu?
 
Kazi ya ualimu aisee ni ngumu Sana kuanzia mazingira, ufanisi Wa kazi pia mishahara ni yakawaida tofauti na kazi inayofanyika.

Ukiachana na kuwafundisha Mwalimu ana deal na kutengeneza tabia zao tena katika umri mbovu wa balehe(foolish age), unakuta watoto wamejaa viburi kichwani hakuna kitu ukiadhibu wanaona Kama wanaonewa.

Nimeona ni wakati muafaka wa Mimi kujiondoa huku kwenye ualimu nifanyiwe re-categorization niende kwenye idara nyingine, je nitumie mbinu gani kutoka huku?

Maana naona "kudeal" na hii foolish age ni mtihani, huku uchanganywe na maisha, familia, serikali na bado mtoto Wa mtu asiyejitambua kuhangaika nao, naona ni ngumu Sana kwangu.

NB, Nina Bsc in education physics na mathematics, nitumie mbinu gani nitoke huku niende idara nyingine?..au nikaongeze elimu?
Ualimu ni wito mkuu usikate tamaa pambana tu
 
Hongera kwanza kwa kutambua kwamba huko hapakufai sio wengine wanangangania tu na kuendeleza kuharibu the future generation....

Ni wangapi wamechukia hesabu au masomo mengine sababu tu their educator was incompetent au hakuwa na the required mindset...
 
Kazi ya ualimu aisee ni ngumu Sana kuanzia mazingira, ufanisi Wa kazi pia mishahara ni yakawaida tofauti na kazi inayofanyika.

Ukiachana na kuwafundisha Mwalimu ana deal na kutengeneza tabia zao tena katika umri mbovu wa balehe(foolish age), unakuta watoto wamejaa viburi kichwani hakuna kitu ukiadhibu wanaona Kama wanaonewa.

Nimeona ni wakati muafaka wa Mimi kujiondoa huku kwenye ualimu nifanyiwe re-categorization niende kwenye idara nyingine, je nitumie mbinu gani kutoka huku?

Maana naona "kudeal" na hii foolish age ni mtihani, huku uchanganywe na maisha, familia, serikali na bado mtoto Wa mtu asiyejitambua kuhangaika nao, naona ni ngumu Sana kwangu.

NB, Nina Bsc in education physics na mathematics, nitumie mbinu gani nitoke huku niende idara nyingine?..au nikaongeze elimu?
Aisee....
 
Ila humu Jf jamani

Mimi nakushauri nenda kasome kitu kingine ambacho unakipenda ukirudi ubadili fani tu maana ajira tayari unayo au kaongeze elimu unakuwa na uwezekano mkubwa wa kutokufundisha shuleni japo nayo sio guarantee.
 
Ila humu Jf jamani

Mimi nakushauri nenda kasome kitu kingine ambacho unakipenda ukirudi ubadili fani tu maana ajira tayari unayo au kaongeze elimu unakuwa na uwezekano mkubwa wa kutokufundisha shuleni japo nayo sio guarantee.
Ni kweli maana wapo wenzangu walioenda kuongeza elimu bado tupo nao tu
 
Nimesoma pcb Nina div 2, nilichaguliwa nursing Hubert kairuki sikwenda kwa sababu ya ada, futa hiyo kauli kwanza
1.Tafuta kitu unachokipenda kisomee(badilisha fani).
2.kama unaweza ujasiliamali ama biashara,acha kazi.'
3.wewe bado kijana unaweza tafutq maisha ncho nyingine pia,ama scholarship ukapata experiences ya dunia nyingine.

Usiogope kutafuta riziki kwa njia zingine
 
1.Tafuta kitu unachokipenda kisomee(badilisha fani).
2.kama unaweza ujasiliamali ama biashara,acha kazi.'
3.wewe bado kijana unaweza tafutq maisha ncho nyingine pia,ama scholarship ukapata experiences ya dunia nyingine.

Usiogope kutafuta riziki kwa njia zingine
Naichukua hii, asante
 
Back
Top Bottom