Kazi ya Ualimu ni kazi ya ajabu sana, nifanyaje nijitoe?

Kazi ya Ualimu ni kazi ya ajabu sana, nifanyaje nijitoe?

Kama upo fluent in English na content za physics na Mathematics unaziweza vizuri nakushauri soma mitaala ya kimataifa ya primary na secondary then ingia private sector
 
Fanya maisha yako acha kufatilia watoto wa watu, timiza wajibu wako pita kushoto

Mengine ngoja wake.
Huwezi kuwa Mwalimu bila ya kufuatilia watoto kwasababu Kuna kitu kinaitwa Nidhamu wewe Kama Mwalimu unawajibu wa kufuatilia Happ ndipo lazima ukumbane na anachaondika myoa mada hata suala la taaluma, ukiwa Mwalimu kunakuwa Mwalimu was zamu, was darasa, program za shule haya yote yanakufanya ufuatilie watoto
 
Unaweza kutoka hapo kwa

1. Kwenda kusoma elimu ya juu i.e masters ya kitu tofauti mf radiology, mambo ya mafuta, ICT n.k

2. Kwena kusoma elimu ya kati lakini inayolipa au itakayokuchomoa huko au itakupa ajira mbadala huku ukiendelea na kupiga chaki mf DIT pale usome electrical, civil, Laboratory technology etc au NIT ukapige mambo ya usafirishaji, au nenda kwenye sekta ya anga kuna short courses nyingi huko. Utapata connections hukohuko za kwenda kwenye aviation industry.

3. Andika barua za kuomba kuhama kwenda kwenye taasisi nyingine zinazochukua watu wenye elimu yako hiyo. Kwa wewe nadhani ni TMA (Mamlaka ya Hali ya hewa), TBS. Unaenda unaacha barua huko kwamba wakiwa na nafasi wazi wakukumbuke, unachukua contacts zao haswa za HRs unakuwa walau kila baada ya mwezi unawasalimu na kukumbushia. MUNGU yupo inaweza kuwa bahati yako ukaitwa.
Taasisi nyingi za serikali zinapenda kuchukua wafanyakazi kwa kuwahamisha badala ya kuajiri wapya.

4. Tafuta short course yoyote ya electronics au computer maintanance ukimaliza tafuta kasehemu anza issues za kutengemeza simu llna kumpyuta zilizoharibika. Electronics itakusaidia hadi kwenye kutengeneza radio na tv mbovu. Utapata pesa ya pembeni na baadae utajua na mengine huko na kujikuta umekuwa mfanyabiashara mzuri tu mwenye utaalam.

Nakutakia kila la kheri Mwalimu mwenzangu.
 
Hii ndoile unaenda kusomea kitu usichokipenda kwasababu marks hazijabalance.
90 ya graduate wamesoma corse kwaajiri ya marks zao tu, ukitaka kujua muulize kila mtoto anataka kuwa nani atasema Doctor ila akiendelea marks zina m-direct mdogomdogo
 
Kazi ya ualimu aisee ni ngumu Sana kuanzia mazingira, ufanisi Wa kazi pia mishahara ni yakawaida tofauti na kazi inayofanyika.

Ukiachana na kuwafundisha Mwalimu ana deal na kutengeneza tabia zao tena katika umri mbovu wa balehe(foolish age), unakuta watoto wamejaa viburi kichwani hakuna kitu ukiadhibu wanaona Kama wanaonewa.

Nimeona ni wakati muafaka wa Mimi kujiondoa huku kwenye ualimu nifanyiwe re-categorization niende kwenye idara nyingine, je nitumie mbinu gani kutoka huku?

Maana naona "kudeal" na hii foolish age ni mtihani, huku uchanganywe na maisha, familia, serikali na bado mtoto Wa mtu asiyejitambua kuhangaika nao, naona ni ngumu Sana kwangu.

NB, Nina Bsc in education physics na mathematics, nitumie mbinu gani nitoke huku niende idara nyingine?..au nikaongeze elimu?
Option ya pili ni nzuri zaidi. Kama una uhakika wa scholarship, nenda kapige Masters ya Physics, lakini jitahidi upate first class au a good upper second class. Hapo utakuwa na probability kubwa ya kuanzia na tutorial assistant na kupanda ngazi. Or else utaajiriwa katika institution zinazoapply physics kama ile ya Arusha.
 
Kazi ya ualimu aisee ni ngumu sana kuanzia mazingira, ufanisi wa kazi pia mishahara ni ya kawaida tofauti na kazi inayofanyika.

Ukiachana na kuwafundisha Mwalimu ana-deal na kutengeneza tabia zao tena katika umri mbovu wa balehe(foolish age), unakuta watoto wamejaa viburi kichwani hakuna kitu ukiadhibu wanaona kama wanaonewa.

Nimeona ni wakati muafaka wa Mimi kujiondoa huku kwenye ualimu nifanyiwe re-categorization niende kwenye idara nyingine, je nitumie mbinu gani kutoka huku?

Maana naona "kudeal" na hii foolish age ni mtihani, huku uchanganywe na maisha, familia, serikali na bado mtoto Wa mtu asiyejitambua kuhangaika nao, naona ni ngumu sana kwangu.

NB, Nina Bsc in education physics na mathematics, nitumie mbinu gani nitoke huku niende idara nyingine?..au nikaongeze elimu?
Kasome CPA, ukirudi omba kubadilishwa kada unakuwa mhasibu
 
Nimesoma pcb Nina div 2, nilichaguliwa nursing Hubert kairuki sikwenda kwa sababu ya ada, futa hiyo kauli kwanza
This is where your problem begins! Kwasababu ya marks ulizopata ukiwa form six ulijiona you deserve better na baada ya kufika kazini ukakutana na walimu ambao kwa mtazamo wako unaona ulifaulu zaidi kuliko wao, sasa nafsi yako haijawahi kukubali maisha iliyonayo. Trust me with that kind of mind set you will keep struggling on finding a better job till dawn.

Hizo kazi unazohisi is far better than teaching kuna watu wamechoka they are looking for better job too.
Accept what you have now, mafanikio hayaletwi na kazi bali nidhamu ya pesa.

Kuna wanasiasa ambao wanastaafu siasa lakini baadae wanarudi tena kutangaza nia ( sijamtaja Chiligati acheni mawazo mabaya). Our life is all about our mind's projections of mental own reality.

With that kind of thinking, utazunguka sana till the end my friend.

Yes! Am a teacher and I don't think as you do.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom