Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Usiige tabia za mzee wako.m walinzi ni watu poa sana, ukikaa ukapiga nao stori wapo vizuri
nilivyokuwa mdogo nilikuwa nawapelekea chakula walinzi tunapiga stori
sema ni kweli wanaonewa, nakumbuka mzee alikuwa anawawasha vibao anapiga honi anakuta wamelala
na wananywea wanaogopa kusemewa kwenye kampuni zao
Ni kweli mkuuYaani hata haya makampuni / mashirika yanayoingia mikataba na baadhi ya makampuni ya ulinzi ya kiswahili huwa naona kama yanachochea unyanyasaji kwa hao walinzi....shirika linalipa laki mbili na nusu Kwa huduma ya ulinzi (hapa mlinzi sijui atalamba ngapi maana na mwenye kampuni nae ela yake ya faida itoke hapa hapa na hakuna rotation na ukiona mlinzi amebadilishwa usidhani yupo off Bali amepelekwa LINDO kingine ili kukuonyesha linajali walinzi wake
Kimsingi hawa ni ma-WATCHMEN na sio SECURITY GUARDS
Inategemea. Garda wana kampuni tatu (KK, Ultimate na West)May be elim na uzoef unakubeba. Kuna watu mm nawajua hapo garda 300 haifiki.
Inategemea. Garda wana kampuni tatu (KK, Ultimate na West)
West security ni local company na mishahara yao ni kidogo.
Basic yao ni 195,000. Hawana tofauti na SUMA JKT
Yes, inafika ikijumlishwa na over time.Suma wanachukia 250 mkuu
Yaan Sana☹️Acha tu wengi wamekuwa Omba Omba ,ukipita getini lazima umuachie hata buku 5 maisha yaende ,sasa siku ukitaka kupitisha mali ya kampuni ukimuachia elfu 50 atakataa? Wengi ni Wezi na Omba Omba wakiwa getini.
Kwani hawatakiwi kusema hivyo?wenyewe ,ukiwapigia cm wakipokea utasikia Niko kazini
Hiyo ndio dunia ya kibeberu.Ila haya makampuni ya ulinzi hasa ya kibongo ni yana tamaa sana.
Nakumbuka kipindi flani nilikua nafanya kazi kama mhasibu kwenye kiwanda flani.
Kiwanda chetu kilikua kimeingia mkataba na kampuni flani ya ulinzi ambayo inamilikiwa na wabongo.
Kwenye makubaliano ni kwamba inatakiwa walinzi sita watakaokua wanaingia kwa shift yani mchana na usiku.
Walinzi watano wasiokua na silaha watakua wanalipwa na kiwanda shilingi laki 6 kila mmoja kwa mwezi na mlinzi mmoja mwenye silaha atakua analipwa shilingi laki 8 kwa mwezi.so kiwanda kikawa kinailipa ile kampuni ya ulinzi 3.8m kila mwezi tena on time kabisa,ila cha ajabu siku moja nikawa napiga story na mmoja wa wale walinzi akaniambia wao mshahara wao wanaolipwa ni shilingi laki mbili kwa mwezi tena kwa mbinde na hapo hakuna cha bima wala nssf.
Nikajisemea tu hizi kampuni za ulinzi za kibongo zimejaa ubabaishaji mwingi sana.
Tunaishi kwa kupiga watu mizinga boss nipe 1000 chai MUNGU asseme na maboss zetu
Au sio?Kazi ni kazi ilimradi mkono uende kinywani. Tanzania hii ukipata kazi fanya kazi ukiiacha utaona ugumu wa kutafuta kazi.
Unit price ya mlinzi ni 500+ mazingir yote mkuu. Ila ukishskuwa mlinz mambo ni tofaut sana, kulipwa tu mpaka ukadai kwa nguvu na kazi umefanya mwenyewIla haya makampuni ya ulinzi hasa ya kibongo ni yana tamaa sana.
Nakumbuka kipindi flani nilikua nafanya kazi kama mhasibu kwenye kiwanda flani.
Kiwanda chetu kilikua kimeingia mkataba na kampuni flani ya ulinzi ambayo inamilikiwa na wabongo.
Kwenye makubaliano ni kwamba inatakiwa walinzi sita watakaokua wanaingia kwa shift yani mchana na usiku.
Walinzi watano wasiokua na silaha watakua wanalipwa na kiwanda shilingi laki 6 kila mmoja kwa mwezi na mlinzi mmoja mwenye silaha atakua analipwa shilingi laki 8 kwa mwezi.so kiwanda kikawa kinailipa ile kampuni ya ulinzi 3.8m kila mwezi tena on time kabisa,ila cha ajabu siku moja nikawa napiga story na mmoja wa wale walinzi akaniambia wao mshahara wao wanaolipwa ni shilingi laki mbili kwa mwezi tena kwa mbinde na hapo hakuna cha bima wala nssf.
Nikajisemea tu hizi kampuni za ulinzi za kibongo zimejaa ubabaishaji mwingi sana.
kama sijakuelewa,ila sema astaghafirullah..Babu yangu alikuwa akiniambia. "....... Ukiendekeza uvivu na usingizi utakuwa korokoloni mjinga wee". Nilona kama anazingua kwa nini ananiamsha asubuhi kuwahi shule na usingizi ndio kwanza mtamu.
Leo bado namkumbuka nikiwaona hao Makorokoloni wanavyo struggle na maisha.
Thank you grandpa. May God Rest your beautiful soul in peace. Am doing just fine.
Niambie mkuu
cha msimgi mkono unaenda kinywani mzee,Hongereni wakuu kwa hustles na at least hii thread imeonesha uhalisia wa wengi tuliopo jf kuwa sio wote tunalipwa millions. Wengine 300k ni mshahara ideal kabisa kutokana na mishe tunazofanya.
Cha msingi ni halali na maisha yanaenda
Hongera master.. Kazi yangu ya kwanza "internship" Nililipwa chini ya 300k japo gharama za siku ofisi inaniwezesha..cha msimgi mkono unaenda kinywani mzee,
binafsi mimi pamoja na elimu yangu ila niliji switch kutokuchagua kazi ya kufanya wala kumuonea aibu mtu yeyote dunia hii ambaye hanipi kula hata akiongea chchte.
nishalinda makampuni mengi sana paka halmashauri mgambo jiji nimefanya.
uhalisia wa kazi ya ulinzi kampuni linalolipa 300k hiyo kampuni bora watu wanalitafuta hilo chimbo vbya.
Sawa nimeitoa kaka...mkuu mi nipo Gardaworld kwenye list yako toa Suma jkt mshahara wao sidhani kama wanafika 250 ila mimi Garda nikikatwa bima nif na ssf sijui tupse take home Huwa 360k