Kazi ya ulinzi ndugu zangu sio kazi wallah

Kazi ya ulinzi ndugu zangu sio kazi wallah

m walinzi ni watu poa sana, ukikaa ukapiga nao stori wapo vizuri

nilivyokuwa mdogo nilikuwa nawapelekea chakula walinzi tunapiga stori

sema ni kweli wanaonewa, nakumbuka mzee alikuwa anawawasha vibao anapiga honi anakuta wamelala
na wananywea wanaogopa kusemewa kwenye kampuni zao
Usiige tabia za mzee wako.
Huwa sipendi tabia za watu wanaowanyanyasa au kuwatendea vibaya watu ambao anajua fika hana analoweza kumfanya.
 
N
Yaani hata haya makampuni / mashirika yanayoingia mikataba na baadhi ya makampuni ya ulinzi ya kiswahili huwa naona kama yanachochea unyanyasaji kwa hao walinzi....shirika linalipa laki mbili na nusu Kwa huduma ya ulinzi (hapa mlinzi sijui atalamba ngapi maana na mwenye kampuni nae ela yake ya faida itoke hapa hapa na hakuna rotation na ukiona mlinzi amebadilishwa usidhani yupo off Bali amepelekwa LINDO kingine ili kukuonyesha linajali walinzi wake

Kimsingi hawa ni ma-WATCHMEN na sio SECURITY GUARDS
Ni kweli mkuu
 
Ila haya makampuni ya ulinzi hasa ya kibongo ni yana tamaa sana.
Nakumbuka kipindi flani nilikua nafanya kazi kama mhasibu kwenye kiwanda flani.
Kiwanda chetu kilikua kimeingia mkataba na kampuni flani ya ulinzi ambayo inamilikiwa na wabongo.
Kwenye makubaliano ni kwamba inatakiwa walinzi sita watakaokua wanaingia kwa shift yani mchana na usiku.
Walinzi watano wasiokua na silaha watakua wanalipwa na kiwanda shilingi laki 6 kila mmoja kwa mwezi na mlinzi mmoja mwenye silaha atakua analipwa shilingi laki 8 kwa mwezi.so kiwanda kikawa kinailipa ile kampuni ya ulinzi 3.8m kila mwezi tena on time kabisa,ila cha ajabu siku moja nikawa napiga story na mmoja wa wale walinzi akaniambia wao mshahara wao wanaolipwa ni shilingi laki mbili kwa mwezi tena kwa mbinde na hapo hakuna cha bima wala nssf.
Nikajisemea tu hizi kampuni za ulinzi za kibongo zimejaa ubabaishaji mwingi sana.
 
Ila haya makampuni ya ulinzi hasa ya kibongo ni yana tamaa sana.
Nakumbuka kipindi flani nilikua nafanya kazi kama mhasibu kwenye kiwanda flani.
Kiwanda chetu kilikua kimeingia mkataba na kampuni flani ya ulinzi ambayo inamilikiwa na wabongo.
Kwenye makubaliano ni kwamba inatakiwa walinzi sita watakaokua wanaingia kwa shift yani mchana na usiku.
Walinzi watano wasiokua na silaha watakua wanalipwa na kiwanda shilingi laki 6 kila mmoja kwa mwezi na mlinzi mmoja mwenye silaha atakua analipwa shilingi laki 8 kwa mwezi.so kiwanda kikawa kinailipa ile kampuni ya ulinzi 3.8m kila mwezi tena on time kabisa,ila cha ajabu siku moja nikawa napiga story na mmoja wa wale walinzi akaniambia wao mshahara wao wanaolipwa ni shilingi laki mbili kwa mwezi tena kwa mbinde na hapo hakuna cha bima wala nssf.
Nikajisemea tu hizi kampuni za ulinzi za kibongo zimejaa ubabaishaji mwingi sana.
Hiyo ndio dunia ya kibeberu.

Kama huna exceptional skills na huna alternative, lazima utatumika sana.

Hata sasa watu wanabebeshwa viroba vya unga kwenye magodawn viwandani usiku mzima kwa Tsh 8,000. Kula na nauli ni juu yako. Hakuna bima, NSSF wala likizo.
 
Ila haya makampuni ya ulinzi hasa ya kibongo ni yana tamaa sana.
Nakumbuka kipindi flani nilikua nafanya kazi kama mhasibu kwenye kiwanda flani.
Kiwanda chetu kilikua kimeingia mkataba na kampuni flani ya ulinzi ambayo inamilikiwa na wabongo.
Kwenye makubaliano ni kwamba inatakiwa walinzi sita watakaokua wanaingia kwa shift yani mchana na usiku.
Walinzi watano wasiokua na silaha watakua wanalipwa na kiwanda shilingi laki 6 kila mmoja kwa mwezi na mlinzi mmoja mwenye silaha atakua analipwa shilingi laki 8 kwa mwezi.so kiwanda kikawa kinailipa ile kampuni ya ulinzi 3.8m kila mwezi tena on time kabisa,ila cha ajabu siku moja nikawa napiga story na mmoja wa wale walinzi akaniambia wao mshahara wao wanaolipwa ni shilingi laki mbili kwa mwezi tena kwa mbinde na hapo hakuna cha bima wala nssf.
Nikajisemea tu hizi kampuni za ulinzi za kibongo zimejaa ubabaishaji mwingi sana.
Unit price ya mlinzi ni 500+ mazingir yote mkuu. Ila ukishskuwa mlinz mambo ni tofaut sana, kulipwa tu mpaka ukadai kwa nguvu na kazi umefanya mwenyew
 
Babu yangu alikuwa akiniambia. "....... Ukiendekeza uvivu na usingizi utakuwa korokoloni mjinga wee". Nilona kama anazingua kwa nini ananiamsha asubuhi kuwahi shule na usingizi ndio kwanza mtamu.

Leo bado namkumbuka nikiwaona hao Makorokoloni wanavyo struggle na maisha.

Thank you grandpa. May God Rest your beautiful soul in peace. Am doing just fine.
kama sijakuelewa,ila sema astaghafirullah..
yaani unamaanisha wanaofanya izo kazi za ulinzi ni hawajasoma na walikuq wanalala kipindi cha shule.
una miaka mingapi.
 
Hongereni wakuu kwa hustles na at least hii thread imeonesha uhalisia wa wengi tuliopo jf kuwa sio wote tunalipwa millions. Wengine 300k ni mshahara ideal kabisa kutokana na mishe tunazofanya.

Cha msingi ni halali na maisha yanaenda
cha msimgi mkono unaenda kinywani mzee,
binafsi mimi pamoja na elimu yangu ila niliji switch kutokuchagua kazi ya kufanya wala kumuonea aibu mtu yeyote dunia hii ambaye hanipi kula hata akiongea chchte.
nishalinda makampuni mengi sana paka halmashauri mgambo jiji nimefanya.
uhalisia wa kazi ya ulinzi kampuni linalolipa 300k hiyo kampuni bora watu wanalitafuta hilo chimbo vbya.
 
cha msimgi mkono unaenda kinywani mzee,
binafsi mimi pamoja na elimu yangu ila niliji switch kutokuchagua kazi ya kufanya wala kumuonea aibu mtu yeyote dunia hii ambaye hanipi kula hata akiongea chchte.
nishalinda makampuni mengi sana paka halmashauri mgambo jiji nimefanya.
uhalisia wa kazi ya ulinzi kampuni linalolipa 300k hiyo kampuni bora watu wanalitafuta hilo chimbo vbya.
Hongera master.. Kazi yangu ya kwanza "internship" Nililipwa chini ya 300k japo gharama za siku ofisi inaniwezesha..
So naelewa master ukifika level flani unamshukuru Mungu maana ukilinda sana hadhi mwisho wa siku hufanyi lolote la msingi kwa kuogopa watu
 
Back
Top Bottom