Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
- Thread starter
-
- #21
Kuna mzee tulikuaga nae alikuwa akipoea mshahara tu lazima arudishwe kwenye mkokoteni na mtu mzima kwelikweli. Age ya kina Rashidi Jololowanakula fegi balaa na pombe kali
Tofaut kati ya walinzi na gate keeper! Wale wachekeshaji ule ni ugeti kipa sio ulinzi. Wanaosha magari na kumwagilia bostani. Lakin ile characterization inafanan kabisa na walinzi wazeemuvi za ki Nigeria anaangalia sana wale jamaa ni kama hazimo,,pia na bongo kina mtanga wakiigiza walinzi,, kwaio anajua ndo walivo
Unalinda nn mkuu? Tuambie hapa.. mana huwez kutudanganya wemgine tumeshafanya hizo kazWalinzi tunapitia mengi sana..
Cleaner wa makampuni nao ni mambo yale yale tu.Vulnerability or something else? Ulinzi ni stej ya mwisho kabisa mku bora hata cleaner
Garda 250! Walau walau wana nafuu yaoHawa wa Garda huku mtaani naona wana nawiri tuu
nmekutana na walinzi kila aina,,coz nshafanya kazi ya kukesha usiku kucha kampuni fulani,, sjawah ona ambao nati zimelegeaTofaut kati ya walinzi na gate keeper! Wale wachekeshaji ule ni ugeti kipa sio ulinzi. Wanaosha magari na kumwagilia bostani. Lakin ile characterization inafanan kabisa na walinzi wazee
Mkuu me ni mlinzi wa humu JFUnalinda nn mkuu? Tuambie hapa.. mana huwez kutudanganya wemgine tumeshafanya hizo kaz
Vulnerability or something else? Ulinzi ni stej ya mwisho kabisa mku bora hata cleaner
Bora cleaner kidogo. Mana masaa yao ya kaz sio mengi. Ulinzi masaa 12 na hapo mtu wa kukutoa lindo akiumwa huondoki unadoubleCleaner wa makampuni nao ni mambo yale yale tu.
Kwa kuyaangalia huwezi wajua ishi nao ndio utawajua vizur asilimia kubwa ni chenga, wafitishaji, watu wa temper sana dk 2 nyingi mshagombana nknmekutana na walinzi kila aina,,coz nshafanya kazi ya kukesha usiku kucha kampuni fulani,, sjawah ona ambao nati zimelegea
sema sasa sisi tulikua tunajilinda wenyewe bwan,saa tatu au nne washalala kitambo tu,wakija mabos inabid tuwashtue lasivyo kiwashwe balaaHiyo kazi nilishafanya uzuri mm nilikuwa nafanyia usiku alafu sehemu ninayolinda ndio hapo hapo ninapoishi uzuri bosi alikuwa hakai mara zote anasafir ananiac
Kwan kuyaangalia huwezi wajus ishi nao ndio utawajua vizur asilimia kubwa ni chenga, wafitishaji, watu wa temper sana dk 2 nyingi mshagombana nk
Wapowapo watu wazima. Wanakula gongo balaa kuna mmoja alikuwa akilewa anatishia kujikojolea. Siku hiyo akakojoa sahan za wali tukamkogesha bakola za kutoshanmekutana na walinzi kila aina,,coz nshafanya kazi ya kukesha usiku kucha kampuni fulani,, sjawah ona ambao nati zimelegea
Oooh jaman,,hata kulia aliweza kwel mzee wawatu,,mm nilkokua walkua vijana tena wa kampun za ulinziWapowapo watu wazima. Wanakula gongo balaa kuna mmoja alikuwa akilewa anatishia kujikojolea. Siku hiyo akakojoa sahan za wali tukamkogesha bakola za kutosha
Kuna mzee mmoja alikuwa anahamisha maneno kutoka huku anapeleka huku. Kila mtu alikuwa anazungumzia kwa ubaya tu.Hiyo kazi nilishafanya uzuri mm nilikuwa nafanyia usiku alafu sehemu ninayolinda ndio hapo hapo ninapoishi uzuri bosi alikuwa hakai mara zote anasafir ananiac...
Wehu wehu kibao mule.. huwez kutana na mtu anayejielewa kabisa na umri wake mtu mzima kias yuko kule.. bora kuwa dalali wa mazao masokoni. Wazee wote mule wa hovyo tu! Wamekwisha kwa pombe kaliOooh jaman,,hata kulia aliweza kwel mzee wawatu,,mm nilkokua walkua vijana tena wa kampun za ulinzi
SUMA JKTWalinzi wa kampuni gan mkuu wameingia kwenye sampo ya research yako 😅🤣🤣
Alafu midemu sasa ina misambwanda ya kwendaGarda 250! Walau walau wana nafuu yao
Suma kampuni nzur kabisa hii? Vijana waliojitolea miaka 2 wale.SUMA JKT