๐—ž๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ฝ๐—ถ? ๐—จ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฟ๐—ถ ๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ถ?

๐—ž๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ฝ๐—ถ? ๐—จ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฟ๐—ถ ๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ถ?

Mowwo

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2015
Posts
1,083
Reaction score
1,628
Habarini
Naomba tushee mauzoefu apa kwenye huu uzi. Naamini katika hatua za mwanzo katika umri fulani kila mdau alianza kutafuta pesa. Wengine wameanza mapema sana, wengine wamesoma wakachelewa kuanza kutafuta pesa, wengine watoto wa mashavuni wanakula maisha tuu...nk.
Nikiwa mdg miaka 13 niliajiriwa kwenye biashara ya duka la mtu mmoja ivi Dsm-magomeni, nikawa najitengea tu pande siku bosi hayupo.
Wewe kazi yako ya kwanza ni ipi?
Ulianza shughuli yoyote ya kujipatia kipato ukiwa na umri gani?
Ilikua halali au sii halali?
Uzoefu wa kazi/shughuli yako ya kwanza ulikuaje?

NB: Naamini wengi wetu kazi za kwanza hatukudumu nazo.
 
Mkuu Ulikua unauza kupata chochote?
Niliuza sana nguo za skukuu nilikua najinunulia mwenyewe babu alipokuja home kuona nna sungura wengi alinirithisha ngombe na mbuzi sema wajomba zetu wakapita nazo
 
Kufuga sungura nlianza na miaka 6
Ulikua unauza kupata chochote?
Niliuza sana nguo za skukuu nilikua najinunulia mwenyewe babu alipokuja home kuona nna sungura wengi alinirithisha ngombe na mbuzi sema wajomba zetu wakapita nazo
Mkuu ulikua mpambaji kinoma.
Bado unaendelea na ufugaji au ushapotezea unakaa kweny kiti cha kuzunguka tuu
 
System ipi hiyo?Sound system?Mimi nakung'uta drums ile ngumu pamoja na kucharaza gitaa balaa.Nifanyie mpango.Nimechoka kubeba mizigo stendi mkuu.
Hii typing haionesh kama ni ya mikono iliochoka kubeba mizigo leo
 
Ulikua unauza kupata chochote?

Mkuu ulikua mpambaji kinoma.
Bado unaendelea na ufugaji au ushapotezea unakaa kweny kiti cha kuzunguka tuu
Harakati naendeleza nina ng'ombe wa maziwa wapo chini ya uangalizi wa mzee sasa hivi nalima mpunga.
 
Harakati naendeleza nina ng'ombe wa maziwa wapo chini ya uangalizi wa mzee sasa hivi nalima mpunga
Uko vizuri
Umepitia mule mule ulipoanza msingi. Mishe yoyote ni nzuri ikishakua inakuingizia kitu
 
Katika heading yako naona vibox vibox nimefika kuelewa kwny maelezo yako je hiyo ni lugha gani na je wenzangu mnaona kama mm au mm kwakuwa niko single naona tofauti
 
Mpo wachache sana.
Mara nyingi Kazi za kwanza zinakua hata mshahara kiduchu alaf unampigia boss kaz kubwa
Million on my pocket it not big issue! Life goes on but inahatarisha na Majuto ni mengi sana kuliko furaha that why we hang out with bebez na liquor/ pombe kwa sana
 
Mimi baada ya kumaliza elimu ya Msingi sikufanikiwa kuchaguliwa kwenda Sec school,mshua akanipeleka Garage kujifunza ufundi magari,nilikaa Garage miezi sita kuna brother akaniunganishia kazi kwenye Stationery nikapiga kazi hapo Stationery hatimae sasa hivi namiliki ya kwangu japo sio kubwa kivilee na maisha yanasonga.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Million on my pocket it not big issue! Life goes on but inahatarisha na Majuto ni mengi sana kuliko furaha that why we hang out with bebez na liquor/ pombe kwa sana
Good sana mkuu
 
Back
Top Bottom