๐—ž๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ฝ๐—ถ? ๐—จ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฟ๐—ถ ๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ถ?

๐—ž๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ฝ๐—ถ? ๐—จ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฟ๐—ถ ๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ถ?

1st kupiiga kokoto kwa mikono na kuchimba jiwe za kujengea [emoji846][emoji846][emoji846] (10 yrs old boy)

2nd kuwafanyia usafi wale mabro walikuwa wakiishi katika nyumba za kupanga huku wameajiriwa na status zao za maisha ikawa ngumu kwao kufanya zile kazi za zamu katika majumba yao. Pamoja na kuwachotea maji ya kutumia (15 yrs)

3rd kufundisha part time na tuitions (17/18 yrs)

4th entrepreneurship

5th professional job [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]
 
1st kupiiga kokoto kwa mikono na kuchimba jiwe za kujengea [emoji846][emoji846][emoji846] (10 yrs old boy)

2nd kuwafanyia usafi wale mabro walikuwa wakiishi katika nyumba za kupanga huku wameajiriwa na status zao za maisha ikawa ngumu kwao kufanya zile kazi za zamu katika majumba yao. Pamoja na kuwachotea maji ya kutumia (15 yrs)

3rd kufundisha part time na tuitions (17/18 yrs)

4th entrepreneurship

5th professional job [emoji1488][emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Mkuu umeanza kuzisaka zamani na una maexperience ya kutosha.
Nadhani skuli ulikua Don
 
Back
Top Bottom