๐—ž๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ฝ๐—ถ? ๐—จ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฟ๐—ถ ๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ถ?

๐—ž๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ๐—ธ๐—ผ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ถ ๐—ถ๐—ฝ๐—ถ? ๐—จ๐—น๐—ถ๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐˜‚๐—บ๐—ฟ๐—ถ ๐—ด๐—ฎ๐—ป๐—ถ?

Mimi baada ya kumaliza elimu ya Msingi sikufanikiwa kuchaguliwa kwenda Sec school,mshua akanipeleka Garage kujifunza ufundi magari,nilikaa Garage miezi sita kuna brother akaniunganishia kazi kwenye Stationery nikapiga kazi hapo Stationery hatimae sasa hivi namiliki ya kwangu japo sio kubwa kivilee na maisha yanasonga.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hiki ndio kitu nilitamani kuskia.
Kuna level flan mtu unaanzia halaf unakua kutokea pale ulipoanzia mpk unasimama.
Lakini Inahitaji kuwajibika sana
 
Ualimu 2015, baada ya kumaliza A level nilikua nafundisha Mathematics shule 3 kwa siku.. Nilikua nalala kama mzoga
Mkuu shule 3? Daily?
Ukiskia mwanzo mgumu ndo huu apa๐Ÿ˜ƒ
 
Mkuu shule 3? Daily?
Ukiskia mwanzo mgumu ndo huu apa๐Ÿ˜ƒ
Acha tu mkuu, nilikua naona usiku ni mfupi sana, nilikua nikikaa mwenyewe dakika 2 lazima nisinzie kwa uchovu niliokua nao
 
Acha tu mkuu, nilikua naona usiku ni mfupi sana, nilikua nikikaa mwenyewe dakika 2 lazima nisinzie kwa uchovu niliokua nao
Lazima upitie njia ngumu kufanikiwa. Nadhani muda huu Mungu anakukunia tu nazi
 
Mishe zangu za kwanza kabisa nilianza nikiwa Advance, nilikuwa kila nikiwa likizo napiga mishe za udalali hapo Back Town (Ngarenano) nikiwa na ma bro zangu.
 
Kusogeza tofali za udongo kwenye site wanapozichoma. Hii job isikie tu
Hii mkuu sina uzoef nayo kwa mazingira yangu. Lakini tofali lililochomwa naona linachubua mikono mida ya kupaki na kupakua
 
Hii mkuu sina uzoef nayo kwa mazingira yangu. Lakini tofali lililochomwa naona linachubua mikono mida ya kupaki na kupakua
Lisilochomwa unabeba 1 kwa shilingi 5. Piga hesabu hadi upate 1000๐Ÿคฃ
 
Udalali wa magari au vipi
Bado unaipiga hii mishe hata party time?
Magari kwa maana ya magari ya usafirishaji. Yani ukiwa na mzigo wa kutuma kwenda popote sisi tunakutafutia usafiri.

Kwasasa nina mbishe tofauti kabisa.
 
Magari kwa maana ya magari ya usafirishaji. Yani ukiwa na mzigo wa kutuma kwenda popote sisi tunakutafutia usafiri.

Kwasasa nina mbishe tofauti kabisa.
Kila siku tunapambana kupata mishe nzuri zaidi. Ngarenaro pale karibu na kona nairobi kuna chuma za kutosha lkn sijawai waza kuna fursa๐Ÿ˜€
 
Kila siku tunapambana kupata mishe nzuri zaidi. Ngarenaro pale karibu na kona nairobi kuna chuma za kutosha lkn sijawai waza kuna fursa๐Ÿ˜€
Hapo ndio ilikuwa chimbo langu na mpaka saivi ma bro zangu pale ndi9 kazini kwao.
 
Back
Top Bottom