Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisemagi uongo Mkuu.Usijiwekee mipaka
Okay safi! Wacha wengine nao watest bahati zaoHahaaa. Lol.
Kuna mengine nayasimamia tayari Mkuu haya ya huyu jamaa wacha niwaachie wengine.
Nakuamini ila maana yangu ni kwamba usijiwekee mipaka kiroho... Kumbuka wimbo wa Mwasiti wa SEREBUKA unaweza PENDWA TENA!Sisemagi uongo Mkuu.
Hahaaa. Atakuwa njiani. [emoji12] [emoji12]Hahaaa aje nimwambie Mimi hapa.
Dah mkuu umemind sana, mke ni zaidi ya hizo degree za kwenye vyeti. Njoo PM kama hujaolewaNa biashara siyo kujua kusoma na kuandika. Kuna wanaojua kusoma na kuandika biashara zinawapelekea puta hajui tu...........
Hahaaa. Kweli kabisa usemalo.Okay safi! Wacha wengine nao watest bahati zao
Naona tayari njiwa wameanza kusogelea pumba, kwenye mtegoMimi naomba uwe tu Rafiki yangu.siitaji mpenzi tena
Sio hapa jf.wanaume wa hapa wanafiki saaaana.waongo vibaya mno.Nakuamini ila maana yangu ni kwamba usijiwekee mipaka kiroho... Kumbuka wimbo wa Mwasiti wa SEREBUKA unaweza PENDWA TENA!
Mimi nataka Rafiki tu .ila mpenzi big noNaona tayari njiwa wameanza kusogelea pumba, kwenye mtego
Ndoa za namna hii ni sawa na za mkataba, yaani hamjuani tabia mnatangaza ndoa kwenye fake IDs, hujui ukoo wa mwenzio,Hahaaa. Kweli kabisa usemalo.
Huwa hazidumu. Ndoa ni upendo uliothabiti mengine yanafata taratibu ndio maana Ndoa za sasa huwa hazidumu.the matter ni kwamba wengi wanaotafuta wenza wanaboa to the maximum......anatafuta mke kwa vigezo ambavyo unakuta walengwa wake hawana vyote....JE unahisi ndoa ambazo walipendana kwa vigezo badala ya upendo wa kweli huwa zinadumu?
Mrushie japo hio namba PM basi mwenzio akate ukali wa upweke.Mmh. Sijuagi kwa nini nimejikuta nawaza ninachokiwaza lol.
Haya Mkuu Kila la kheri Mkuu katika kumpata mwenza hasa humu ndani ya jf kama matarajio yako Mkuu.
Hahahahaaaaaa Wa kwanza Kurudi aanze kupika namna hiyooooo...Yote sababu kila mtu analeta mkate nyumbani, si ameoa Diploma/Degree....wacha wawekeena zamu ya kuingia jikoni, usisahau wamwisho kuamka atandike kitanda[emoji6][emoji6][emoji6]
Kwanini lakini unakuwa hivyo miss unatafuta?Mimi nataka Rafiki tu .ila mpenzi big no
Siitaji mkuuKwanini lakini unakuwa hivyo miss unatafuta?
We ni mbebezi wa ukweli kubali tu mapenzi.
Hahaaaa. Wanasemaga utandawazi Bro.Ndoa za namna hii ni sawa na za mkataba, yaani hamjuani tabia mnatangaza ndoa kwenye fake IDs, hujui ukoo wa mwenzio,
Wazee wetu walidumu kwenye ndoa kwa sababu ya kuheshimu desturi na taratibu za kimila, Leo hii hazipo.
Mkuu tafadhali. Ninatafuta mke, naomba uheshimu thread yangu.Utachapiwa mno