Gentleman P
JF-Expert Member
- May 23, 2018
- 370
- 453
- Thread starter
-
- #81
Naomba ufungue uzi wa hiyo elimu ya Saikolojia. Unapoandika theory zako kwenye mada yangu tena personal, you are frankly attacking me.thats why wanasaikolojia wanakuambia its better kuoa/kuolewa mkiwa katika hali duni lakin upendo kati yenu uwepo kwani harufu ya mendeleo kwenu iko karibu na muda wa kuishi kwenu unakuwa na GUARANTEE kuliko wenye fedha lakini hawana upendo wala furaha ni utumwa
Duuh.Mrushie japo hio namba PM basi mwenzio akate ukali wa upweke.
Hahaha pachaaaaaDuuh.
Sijaweka mabo yangu yote kwenye thread, sasa hiyo "his real job that dude is being paid for" ni chuki binafsi au hutaki tu nipate. Please people.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] and that would be the end of his stunts, coz the tight schedule is his real job that dude is being paid for!!
Ahsante. Karibu Kaka.Kwako pia sister wa Mimi.
Kama yako haikudumu sio kwamba na yangu haitadumu. Kwa uwezo wa Mungu itadumu.Huwa hazidumu. Ndoa ni upendo uliothabiti mengine yanafata taratibu ndio maana Ndoa za sasa huwa hazidumu.
Omba Mungu utampata mwayaSijaweka mabo yangu yote kwenye thread, sasa hiyo "his real job that dude is being paid for" ni chuki binafsi au hutaki tu nipate. Please people.
Hahaaaa. Sijakuona ujue mdau wa kuwahi siti nikaona nikushikie nafasi rafiki. [emoji12] [emoji12]Umewahi siti [emoji23]
Nimeshaomba na ndio maana nimeandika hapa. ThanksOmba Mungu utampata mwaya
Au usharusha namba tayari.Duuh.
Hahahaaa. Pacha ujue Mungu anakuona lakini.Hahaha pachaaaaa
Ama nmepata shemeji nn
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahah!! Mimi siko poa bhana ndio mana nimekua mnyongeHahaaaa. Sijakuona ujue mdau wa kuwahi siti nikaona nikushikie nafasi rafiki. [emoji12] [emoji12]
Hahaaaa. Hapana aiseee.Au usharusha namba tayari.
Duuh. Pole sana rafiki. Nakuja maeneo uniambie ni nini shida.Hahah!! Mimi siko poa bhana ndio mana nimekua mnyonge
Basi kila la heriNimeshaomba na ndio maana nimeandika hapa. Thanks
Asante sana rafiki, karibu sanaDuuh. Pole sana rafiki. Nakuja maeneo uniambie ni nini shida.
Hahahah hahahaha yaani nitacheza hadi jasho la meno hiyo sikuHahahaaa. Pacha ujue Mungu anakuona lakini.
AsanteBasi kila la heri
Mkuu siwezi kuoa wote. So nimechagua mwenye Diploma au Degree. Kama anayo yeye mwenyewe atajua why. ThanksKila rakheri Mkuu Gentleman, Upate hitaji la moyo wako, ila sisi wa std 7 umetutenga eti okey nasubiria kama ukishusha vigezo nikuchekiii