Kazi yangu inanilazimu kutafuta mke kupitia hapa JamiiForums

Mnazingua kwel nyie humu ndan na hasa wengi mnaandika alaf hammaanishi mnacho kiandika
 
Hata wanawake wa siku hizi hawapendi wanaume waliobize kupitiliza,,,,Halafu unataka msomi mwenzio,,,Good selection.
Wauswahilini wanapita mbali sanaaa
Kwa hiyo watu wasifanye kazi waendekeze starehe. Tutaendelea au tutazidi kuwa masikini?
 
Si bora wewe unapata muda wa kuja kuandika humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…