Honestgirl
JF-Expert Member
- Jun 9, 2018
- 210
- 126
Mnazingua kwel nyie humu ndan na hasa wengi mnaandika alaf hammaanishi mnacho kiandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimekupata nn mama?Mnazingua kwel nyie humu ndan na hasa wengi mnaandika alaf hammaanishi mnacho kiandika
Upo jirani yanguAkili yangu inaniambia huu ni mtego..Btw kila la kheri
Acha wifu...teh nimeongea lugha ya Heaven SentAkili yangu inaniambia huu ni mtego..Btw kila la kheri
Kwa hiyo watu wasifanye kazi waendekeze starehe. Tutaendelea au tutazidi kuwa masikini?Hata wanawake wa siku hizi hawapendi wanaume waliobize kupitiliza,,,,Halafu unataka msomi mwenzio,,,Good selection.
Wauswahilini wanapita mbali sanaaa
Acha wifu...teh nimeongea lugha ya Heaven Sent
We mmama kumbe bado upo..Acha wifu...teh nimeongea lugha ya Heaven Sent
Nipo jirani..Njoo tuchezeUpo jirani yangu
[emoji3] [emoji3] ,Kwa hii lugha nahisi wewe ni home girl eeh, wale wa fyatu fyangu( Viatu vyangu)?Heheh kwa kweli hatunaga "vi", utamsikia bibi yangu mkubwa "niwashie fideko"
Haha me ni mnyaki nkamu. Kwa kweli tuna allergy na "vi"[emoji3] [emoji3] ,Kwa hii lugha nahisi wewe ni home girl eeh, wale wa fyatu fyangu( Viatu vyangu)?
Ooh mnyaki mwenzangu,I'm happy to know you kikolo[emoji3]Haha me ni mnyaki nkamu. Kwa kweli tuna allergy na "vi"
Ndaga fijo malafyale. (Ngoja nichungulie kwanza dictionary yangu ya kinyaki lol)Ooh mnyaki mwenzangu,I'm happy to know you kikolo[emoji3]
Leo tucheze chezo gani jirani?Nipo jirani..Njoo tucheze
Tucheze mieleka jirani.Leo tucheze chezo gani jirani?
Douta usinifanye nijute kukupeleka intaneshno skuli..Umeshasahau asili tayariNdaga fijo malafyale. (Ngoja nichungulie kwanza dictionary yangu ya kinyaki lol)
Douta usinifanye nijute kukupeleka intaneshno skuli..Umeshasahau asili tayari