Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Hapo HR amejiongeza watu wamtafute binafsi "Penye uzia penyeza rupia"Japo, nimeshtuka baada ya kuona ajira zinatolewa na kampuni ila maombi yana tumwa kwa mtu binafsi, tena kwenye g-mail!
Option A ni kupeleka maombi getini (kiwandani)Japo, nimeshtuka baada ya kuona ajira zinatolewa na kampuni ila maombi yana tumwa kwa mtu binafsi, tena kwenye g-mail!
Hapo HR amejiongeza watu wamtafute binafsi "Penye uzia penyeza rupia"
Option A ni kupeleka maombi getini (kiwandani)
Heshima ni kitu cha bure hebu tuambie ulichotapeliwa?Hili Tangazo ni fake!! Hawa ni matapeli tu!!
Hizo contact information mbona ni private??Heshima ni kitu cha bure hebu tuambie ulichotapeliwa?
Kama wewe upo na kazi shukuru Mungu maelfu ya watu hawana kazi acha kuvunja moyo wenzako.
Kila mtu anajua kuwa kuna matapeli kwenye inshu za kazi na lazima umakini uwepo,hebu tuambie umefanywa nini hadi kusema hilo tangazo ni utapeli?
Unadhani kila kampuni wanalazimika kutumia officials email kwenye maombi ya kazi? Kuna sheria ya nchi wanavunja?Hizo contact information mbona ni private??
Mbona povu kibao?? Unajua mimi ni nani??Unadhani kila kampuni wanalazimika kutumia officials email kwenye maombi ya kazi? Kuna sheria ya nchi wanavunja?
Option A ni kupeleka maombi ya kazi kwenye geti la kiwanda fanya hilo kama unahisi ni utapeli.
Mtu kama wewe utapeliwe una nini aisee?
Kauli ya kishamba Sana hii, kwahiyo nafasi Yako ndio ifanye watu wasikuhoji au kupinga mawazo Yako?Mbona povu kibao?? Unajua mimi ni nani??
Mimi ni mfanyakazi wa Tanga cement na hizo kazi hazipo hapa kiwandani, ni utapeli tu!!Kauli ya kishamba Sana hii, kwahiyo nafasi Yako ndio ifanye watu wasikuhoji au kupinga mawazo Yako?
Ungetoa ufafanuzi Kama huo ungwsaidia Sana na sio kutumia kauli ya "unajua Mimi nani"Mimi ni mfanyakazi wa Tanga cement na hizo kazi hazipo hapa kiwandani, ni utapeli tu!!
Hili Tangazo ni fake!! Hawa ni matapeli tu!!
Nikijua wewe ni nani itanisaidia nini mtu kama mimi.???Mbona povu kibao?? Unajua mimi ni nani??
Hicho sio Tanga cement ni kiwanda kingine.Mimi ni mfanyakazi wa Tanga cement na hizo kazi hazipo hapa kiwandani, ni utapeli tu!!