BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Swali la hovyo kabisa, jeh unasumbuliwa na MCS?Mbona povu kibao?? Unajua mimi ni nani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la hovyo kabisa, jeh unasumbuliwa na MCS?Mbona povu kibao?? Unajua mimi ni nani??
Wewe si ndio umesema Tanga cement wanatoa ajira?,au tumekunukuu vibayaHilo Tangazo sio la Tanga cement dada.
Au unajua Tanga nzima kiwanda cha cement ni Tanga cement pekee?
Vijana wa siku hizi hamtaki kujifunza zaidi ni ubishi wa kijinga na ujuaji.
Kwani ukipewa life ban hapa jf unapungukiwa na nin?,Leta hizo nyuzi watu wazione.
Kubali tu wewe ni empty set + mwongo + unapenda kujikweza kumbe bwabwa tu.
Mods wanaweza kucheck na kiwanda kuona uhalali wa nafasi hizo za kazi endapo ni utapeli nipo tayari kupewa life time ban hapa JF.
Tangazo halina hata mhuri wa ofisi ,acheni utaperi wa mchana!!Habari za asubuhi.
Kwa wale ndugu zangu wasaka kazi na wenye ujuzi mkeka ni huu hapa.Mtakaopata kazi Tanga muwe makini maana ndiko Mapenzi yalipozaliwa.Be carefully!
View attachment 2655750
Soma tangazo kwa kutulia acha wenge.Wewe si ndio umesema Tanga cement wanatoa ajira?,au tumekunukuu vibaya
Kila mtu anajua lengo la kujiunga hapaKwani ukipewa life ban hapa jf unapungukiwa na nin?,
Thanks lakini utapeli wako ni wa ovyo!! Jaribu ku improveLabda wewe na mumeo.
Humu JF hakuna mtu anaweza kuthibitisha utapeli wangu.
Nipo humu zaidi ya miaka 10 na nina rekodi nzuri dada.
MCS ndo nini?? Kutumia Acronyms na Abbreviations kwenye mijadala ni utoto na upumbafu. Kila mtu ako na kirefu chake.Swali la hovyo kabisa, jeh unasumbuliwa na MCS?
Leta nyuzi zangu za kitapeli watu waone.Thanks lakini utapeli wako ni wa ovyo!! Jaribu ku improve
Usipende kutafuniwa kila kitu mkubwa wewe ni wa kiume.MCS ndo nini?? Kutumia Acronyms na Abbreviations kwenye mijadala ni utoto na upumbafu. Kila mtu ako na kirefu chake.
Karibu
kaka vp kazi za excavator.nitapata huko?Mimi ni mfanyakazi wa Tanga cement na hizo kazi hazipo hapa kiwandani, ni utapeli tu!!
Mapapai uzalishaji ni mkubwaUsipende kutafuniwa kila kitu mkubwa wewe ni wa kiume.
Jiongeze.
Na mapapai ya msimu huu ni matamu sana tena makubwa yamekwiva vizuri.Mapapai uzalishaji ni mkubwa
Aisee sikuhizi matangazo ni mengi kuliko kawaidaTangazo la kitapeli kabisa, Tanga cement wana portal yao ya kupokea maombi ya kazi
Aisee...matapeli mna matusi sanaHicho sio Tanga cement ni kiwanda kingine.
Yaani wewe ufanye kazi Tanga cement unajuaje yanayohusu kiwanda kingine ambacho wewe hufanyi kazi?
Kweli wewe ni hasara!!
Yaani ni sawa umeolewa na unajifanya kujua kila urefu wa kila dushe hata kama huja nyanduliwa nao.. inawezekanaje?