Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Mliotoboa mtupe elimu na sisi tutoboeKwa uvivu wako wa kufanya research unategemea utatoboa kweli kwenye maisha!?
Maana kila kitu utasubiri uambiwe!
Maisha ni kusaidiana ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliotoboa mtupe elimu na sisi tutoboeKwa uvivu wako wa kufanya research unategemea utatoboa kweli kwenye maisha!?
Maana kila kitu utasubiri uambiwe!
Biashara sio za kila mtu, hili watu wengi wanashindwa kulielewa ndio maana wanakandia waajiriwa.Kuajiriwa kiujumla hakulipi hata kama mshahara wako ni 12 mil
Unapoajiriwa ina maana mwajiri wako kanunua muda wako,hivyo kufanya mambo yako ni ngumu utaishia tu kwenye huo mshahara wake
Mkuu achakuridhika na vitu vidogo,vile vi afu tano ndio hela unazosema weweWe trafiki wanakula rushwa balaa yani wana pesa ndio maana hawakosi bar.
Kuna mkoa nlikuwepo kila mwenye gari la abiria ana kiasi cha kuwalipa kwa siku. Usipotoa utaipata pata
Inawezekana akawa kama mtumwa tu kama asipotumia akili,unaweza kuta mtu ana mshahara wa 12 mil lakin matumiz yake kwa mwezi ni 13 milBiashara sio za kila mtu, hili watu wengi wanashindwa kulielewa ndio maana wanakandia waajiriwa.
Unataka kusema salary ya 12M haina maslahi? Kwamba huyo mtu hana maisha?
Hii mifano mfu kwenye hizo kazi hapo juu hakuna anaevuta hata robo ya 12milBiashara sio za kila mtu, hili watu wengi wanashindwa kulielewa ndio maana wanakandia waajiriwa.
Unataka kusema salary ya 12M haina maslahi? Kwamba huyo mtu hana maisha?
Watu waakula rushwa ikija kufika jioni ana zaidi ya laki. Trafiki wanakula rushwa wanapata ela kuliko hao mabank tellers wanaoshinda kwenye AC wamefunga tai. Shida trafiki wengi wazinzi na waleviMkuu achakuridhika na vitu vidogo,vile vi afu tano ndio hela unazosema wewe
Umeongea kweli. Ndio maana hata Kimei kamaliza ukurugenzi wa crdb kaenda bungeni. Watu wanaongea maneno ya insipiration.🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Endelea kuota ,,, yani mtu akupe 12M kwa mwezi kwa kukaa kwenye laptop tu na full ac!
Halafu useme utashindwa kufanya mambo yako? Kama hio hela unaiona ndogo watu na elimu zao wasingeroga kupata ubunge.
Hahaha wamejaa dhiki mzee,humo bar wao ndio wanaongoza kutupiga mizingaWatu waakula rushwa ikija kufika jioni ana zaidi ya laki. Trafiki wanakula rushwa wanapata ela kuliko hao mabank tellers wanaoshinda kwenye AC wamefunga tai. Shida trafiki wengi wazinzi na walevi
Mtu mwenye matumizi ya 13M that means anaishi kistarehe sana. Utumwa uko wapi hapoInawezekana akawa kama mtumwa tu kama asipotumia akili,unaweza kuta mtu ana mshahara wa 12 mil lakin matumiz yake kwa mwezi ni 13 mil
Assalaam aleykum..
Wanajamvi leo acha tuongee ukweli hata kama tutakwazana ila tutajua tu.
kuna kazi ukikubali kufanya au kuajiliwa ni mateso/za hovyo na huwezi kutoboa labda uende kinyume na sheria,hakuna marupurupu,mishahara midogo na mazingira ya kazi yamekaa kimtego mtego sana.
1.ASKARI POLISI..
i.magereza.
ii.trafiki
2.WALIMU(kufundisha)
Hizi kazi watumishi wake wamejaa njaa,dhiki,ulafi na shida tupu...
3.
4.
5.
Wanapenda vya bure lakini wanakula rushwa kinoma. Kuna trafiki ana daladala kibao ana majumba kibao pande hizi nazoishi ila ukimkuta anachomwa jua road unaweza kuhisi hana maisha. Ana libaloon lake limechoka kinomaHahaha wamejaa dhiki mzee,humo bar wao ndio wanaongoza kutupiga mizinga
Dunia ili ibalance lazima watu tuwe kila sector mnang'ang'ania watu wana kazi mbaya eti kazi za hovyo wote tukiwa wakurugenzi zege atabeba nani ? Nani ataokota chupa , nani atakubebea mizigo !! Mliojaaliwa sehemu nzuri shukuruni ni majaaliwa ndo nature ya ulimwengu kujisawazisha
Maana kila wakiingia humu ni kujisifu na kukandia wengine !! Raia bhana !!Mliotoboa mtupe elimu na sisi tutoboe
Maisha ni kusaidiana ndugu
Ukiamini kila kinachoandikwa humu unaweza kudhania Tanzania tunaelekea kuwa na uchumi wa SingaporeMaana kila wakiingia humu ni kujisifu na kukandia wengine !! Raia bhana !!
Wanajikuta maisha wamemaliza kumbe wanaishi kwa shemeji zao wanakuja kujifariji huku.Maana kila wakiingia humu ni kujisifu na kukandia wengine !! Raia bhana !!