Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Nakukataza kunipangia cha kuandika.Ulichoandika hakina uhusiano na nilichoandika.
Kwenye post yangu uliyoninukuu sijaongelea kipato.
sijaongelea kuhusu wewe kupitwa kipato na mwalimu.
Nimesema mtu anaweza akafanya kazi si kwasababu ya mshahara wa kazi husika, bali kwa sababu ya mapenzi yake na kazi husika (nikatolea mfano ualimu).
Usiwapangie kwa sababu wewe huipendi kazi hiyo.
Unanikataza nini?
Hii ndio njaa?Mkuu mimi nina ndugu wanafanya hizo kazi wengine wameanza tangu 2012,lakin wanavibanda vya kukaa tu... Njaa zimewajaa wanaombaomba tu utaskia "dogo tutumie hata kilo 20 za mchele nile na wanao hapa"
Hii thread yako haina ustawi kwa jamii , Je tusipokuwa na Polisi unafikiri hali ya usalama itakuwaje ? Je tusipokuwa na waalimu ni nani atafundisha watoto wetu ? Kila taaluma ina nafasi na umuhimu wake wa kipekee , tusiwakatishe tamaa na kuwabeza maana haiwasaidii , badala yake tuwatie moyo na kuwapambania maslahi yao yaweze kuboreshwa.Assalaam aleykum,
Wanajamvi leo acha tuongee ukweli hata kama tutakwazana ila tutajua tu. Kuna kazi ukikubali kufanya au kuajiriwa ni mateso/za hovyo na huwezi kutoboa labda uende kinyume na sheria, hakuna marupurupu, mishahara midogo na mazingira ya kazi yamekaa kimtego mtego sana.
1. ASKARI POLISI
i. Magereza.
ii. Mrafiki
2. WALIMU (kufundisha)
Hizi kazi watumishi wake wamejaa njaa, dhiki, ulafi na shida tupu.
3.
4.
5.
Wapi nimekupangia cha kuandika?Mkuu Nakukataza kunipangia cha kuandika.
Alikusimamisha mitaa gani bro!!!Au kuna sheria za barabarani ulizivunjaHalafu leo ni mara ya tatu,.. nasema hivi wewe trafki unayeitwa UTU kama upo humu Utanirudisha jela
Njoo pm nina shida na weweTutajie hizo kazi za maana basi ili tuzikimbilie tuache kulia njaa
Kaka Lucha Salute kwako Mkuu.Ukiwa mmiliki wa gari utaona kazi ya mpiga debe ni kazi mbaya na utamuona mpiga debe ni kama mtu asie na malengo na maisha yake, Ila kwake yeye hiyo ndo kazi inayompa heshima na anailisha familia yake na kaepuka na aibu za kuanika shida zake mbele za watu.
Ndo maana dunia hii mtu hutakiwi kudharau kazi unayoifanya hata kama wanao kuzunguka wanaidharau maana ukiiacha kazi kwaajili ya watu wanaidharau hao walioidharau kazi yako hawatakupa hela ya kusogeza maisha yako
Polisi kazi nzuri mno nina ndugu yetu yupo umoja wa mataifa huko anapiga pesa tu,kilichompeleka huko ni kazi ya polisi.Ila kazi ya upolisi ukiwa kitengo unakula mema ya nchi sio mbaya kama inavosemwa,maana kama unaingiza angalau 50 kila siku nje ya mshahara upo vizuri
NajaNjoo pm nina shida na wewe
Mrafiki ndiyo kazi gani hiyo?Assalaam aleykum,
Wanajamvi leo acha tuongee ukweli hata kama tutakwazana ila tutajua tu. Kuna kazi ukikubali kufanya au kuajiriwa ni mateso/za hovyo na huwezi kutoboa labda uende kinyume na sheria, hakuna marupurupu, mishahara midogo na mazingira ya kazi yamekaa kimtego mtego sana.
1. ASKARI POLISI
i. Magereza.
ii. Mrafiki
2. WALIMU (kufundisha)
Hizi kazi watumishi wake wamejaa njaa, dhiki, ulafi na shida tupu.
3.
4.
5.