MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Huu uzi wako unaashiria huna uwezo wa kupata milo mitatu kwa siku. Hali yako ni mbaya.Assalaam aleykum,
Wanajamvi leo acha tuongee ukweli hata kama tutakwazana ila tutajua tu. Kuna kazi ukikubali kufanya au kuajiriwa ni mateso/za hovyo na huwezi kutoboa labda uende kinyume na sheria, hakuna marupurupu, mishahara midogo na mazingira ya kazi yamekaa kimtego mtego sana.
1. ASKARI POLISI
i. Magereza.
ii. Mrafiki
2. WALIMU (kufundisha)
Hizi kazi watumishi wake wamejaa njaa, dhiki, ulafi na shida tupu.
3.
4.
5.
Ila kazi ya upolisi ukiwa kitengo unakula mema ya nchi sio mbaya kama inavosemwa,maana kama unaingiza angalau 50 kila siku nje ya mshahara upo vizuriNaskia lazima umpe kiasi RTO akuweke sehemu ya barabara nzuri.
Yah mkuu mishahara yao ina range humo na wengine wanaanza na 450000 sema unakuwa unapanda kila mwaka halafu bahati yao wana access na mikopo kirahisi.
Yah kabisa.Ila kazi ya upolisi ukiwa kitengo unakula mema ya nchi sio mbaya kama inavosemwa,maana kama unaingiza angalau 50 kila siku nje ya mshahara upo vizuri
😂Alafu wanaita raia waharifu, hao jamaa ni majambazi ndio mana siku hizi wengi wanasukuma gariYah kabisa.
Ila siku hizi wamekuwa vibaka aisee. Kuna tukio wamewafanyiwa wauza simu pande hizi, yani ni wizi kama wizi mwingine.
Polisi asinuse kuwa una pesa kwa sasa anaweza hata kukupa kesi ya mauaji
Ushawahi kua asikari polisi au magereza?????Ushawahi kua mwalimu katika ngazi yoyote?????Assalaam aleykum,
Wanajamvi leo acha tuongee ukweli hata kama tutakwazana ila tutajua tu. Kuna kazi ukikubali kufanya au kuajiriwa ni mateso/za hovyo na huwezi kutoboa labda uende kinyume na sheria, hakuna marupurupu, mishahara midogo na mazingira ya kazi yamekaa kimtego mtego sana.
1. ASKARI POLISI
i. Magereza.
ii. Mrafiki
2. WALIMU (kufundisha)
Hizi kazi watumishi wake wamejaa njaa, dhiki, ulafi na shida tupu.
3.
4.
5.
MfanoTuache unafki kuna kazi mtu anafanya tu vile hana options. Huo ndio ukweli mchungu
KomaAssalaam aleykum,
Wanajamvi leo acha tuongee ukweli hata kama tutakwazana ila tutajua tu. Kuna kazi ukikubali kufanya au kuajiriwa ni mateso/za hovyo na huwezi kutoboa labda uende kinyume na sheria, hakuna marupurupu, mishahara midogo na mazingira ya kazi yamekaa kimtego mtego sana.
1. ASKARI POLISI
i. Magereza.
ii. Mrafiki
2. WALIMU (kufundisha)
Hizi kazi watumishi wake wamejaa njaa, dhiki, ulafi na shida tupu.
3.
4.
5.
Wewe kwenye hiyo 12 mln unapata kiasi gani Kwa kujiajiri Kwa mwezi?.Kuajiriwa kiujumla hakulipi hata kama mshahara wako ni 12 mil
Unapoajiriwa ina maana mwajiri wako kanunua muda wako,hivyo kufanya mambo yako ni ngumu utaishia tu kwenye huo mshahara wake
Kaka yangu ninae mfuata ni mwalimu songea sec.,nimefungwa miaka 4 na nimehama magereza zaidi ya 6...Ushawahi kua asikari polisi au magereza?????Ushawahi kua mwalimu katika ngazi yoyote?????
Kumbe hata walimu wa vyuo vikuu nao ni choka mbaya?Assalaam aleykum,
Wanajamvi leo acha tuongee ukweli hata kama tutakwazana ila tutajua tu. Kuna kazi ukikubali kufanya au kuajiriwa ni mateso/za hovyo na huwezi kutoboa labda uende kinyume na sheria, hakuna marupurupu, mishahara midogo na mazingira ya kazi yamekaa kimtego mtego sana.
1. ASKARI POLISI
i. Magereza.
ii. Mrafiki
2. WALIMU (kufundisha)
Hizi kazi watumishi wake wamejaa njaa, dhiki, ulafi na shida tupu.
3.
4.
5.
Basi kaka kama umepitia hayo nakubaliana na wewe!!!!Nilidhani hujawahi pitia hayoKaka yangu ninae mfuata ni mwalimu songea sec.,nimefungwa miaka 4 na nimehama magereza zaidi ya 6...
Na leo nime prove kuwa trafki wana hali ngumu baada ya kunidai posho eti kisa sijavaa HELMET wakati naendsha tractor
Siwezi kuwazngizia naeleza tokana na uzoefu wangu
Ila tractor na helment🤣🤣🤣🤣🤣Kaka yangu ninae mfuata ni mwalimu songea sec.,nimefungwa miaka 4 na nimehama magereza zaidi ya 6...
Na leo nime prove kuwa trafki wana hali ngumu baada ya kunidai posho eti kisa sijavaa HELMET wakati naendsha tractor
Siwezi kuwazngizia naeleza tokana na uzoefu wangu