Kazi za Phiri zinafanywa na bwana mdogo Clement mzize na Yanga wala hawaringi

Kazi za Phiri zinafanywa na bwana mdogo Clement mzize na Yanga wala hawaringi

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nafikiri ubora wa timu unaangaliwa pia na upana wa kikosi chenye wachezaji wanaoweza kutoa ubora ule ule walionao wachezaji wanaoanza kikosi cha kwanza, Yanga wameonyesha ni timu yenye kikosi kipana kisichomtegemea mchezaji mmoja kupata matokeo.

Wameonyesha hilo kwenye mechi za ligi tofauti na timu nyingine zote zinazoshiriki ligi kuu na pia wameendelea kuonyesha kwenye mchezo wa leo kombe la Azam na wameondoka na ushindi mnono dhidi ya timu ya daraja la kwanza kurugenzi ya Simiyu, Wachezaji wafuatao wa kikosi cha kwanza awakucheza kabisa;

Djigui Diarra
Kibwana Shomari
Yannik Bangala
Dickson Job
Joyce Lomalisa
Feisal Salum
Kharid Aucho
Jesus Moloko
Fiston Mayele
Salum Abubakar
Abutwalib Msheri

Kwa maana hiyo ni timu ambayo imejengwa vizuri kwa uwiano wa viwango vya wachezaji tumeona jana Mozes Phiri kafunga goli 3 na leo kajibiwa na bwana mdogo Clement Mzize aliyeweka kambani goli 4, Phiri kacheza na timu inayoshiriki ligi ya mkoa lakini bwana mdogo kacheza na timu inayoshiriki ligi daraja la kwanza(first league) na ameperfom bila ya uwepo wa Mayele, Simba jana wamejaza mastaa wao wanawategemea dhidi ya timu dhaifu lakini utofauti wa ubora wa vikosi umeonekana leo baada ya Wananchi kuchezesha kikosi b na wakaibuka na ushindi wa goli 8 zile zile walizoshinda wale walioweka full mkoko. Pongezi kwa kijana Mzize anakuja vizuri akitulia.
 
Mtaacha lini kukompare wachezaji wa utopolo na wachezaji wa king lion mla minofu fresh??

Inaonekana itopoloni huko mnyama ana wawasha sana mnahitaji awakune, kila kukicha baada ya match comparison haziishi , mara fei vs chama, mara maufunguo vs chama, mara rasta mibang vs Phil, leo mmeona haitoshi Mnaleta comparison ya Phil vs bichwa kubwa, Huo ni ushamba, kama simba kaweka full mkoko wewe inakuuma nini?
 
Mtaacha lini kukompare wachezaji wa utopolo na wachezaji wa king lion mla minofu fresh?...
Ndio mkome kujilinganisha na levo za yanga inahitaji miaka 5 mpaka 6 kukipata kikosi walichonacho wananchi,

comparison mnaifanya nyie pindi mnaposhinda na mkijibiwa mnatokomea kusikojulikana au mnakuja na hoja nyepesi zisizoeleweka
 
Al hilal sudan na ihefu wanawapa HI
Angalia hivyo vikosi vilivyocheza mechi za jana na leo alafu uniambie umegundua nini kama kweli akili yako iko sawa;

SIMBA KIKOSI;
BENO KAKOLANYA
MOHAMED HUSSEIN
SHOMARI KAPOMBE
KENED JUMA
OUTAARA
VICTOR AKPAN
CLEOTUS CHAMA
MZAMIRU YASSIN
HABIBU KYOMBO
MOZES PHIRI
SAKHO

YANGA KIKOSI;
ERICK JOHORA
BAKARI MWAMNYETO
IBRAHIM BAKA
DAVID BRYSON
JUMA SHABAN
DENIS NKANE
CLEMENT MZIZE
BENAD MORRISON
AZIZ KI
GAER BIGILIMANA
YUSUPH ATHUMANI
 
Kelele zote hizi
Timu mliyoifunga inatoka Maswa Mkoani Simiyu.

Timu ambayo hata Temeke Scud inaweza ifunga hata goli 10 kipindi Cha kwanza tu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Squad 1

1. Diarra
2. Kibwana
3. Lomalisa
4. Bangala
5. Job
6. Aucho
7. Moloko
8. Sure boy
9. Mayele
10. Fei Toto
11. Kisinda

Just imagining wote hawakuepo [emoji47] na mtu kala 8

Na Kuna timu Jana imeweka Full Mziki.
 
Ndio mkome kujilinganisha na levo za yanga inahitaji miaka 5 mpaka 6 kukipata kikosi walichonacho wananchi,,comparison mnaifanya nyie pindi mnaposhinda na mkijibiwa mnatokomea kusikojulikana au mnakuja na hoja nyepesi zisizoeleweka
Duuuh ama kweli nimeamini watz wengi ni vilaza wa kutupwa aiseee,mihemuko mihemuko mihemuko.

Kikosi Bora kipi ambacho kimeangukia pua club bingwa?
Ivi nyie huko shuleni mnaenda kujifunza Nini ?
Hata takwimu tu zinawashinda kuelewa uhalisia wa Mambo.

Yanga ni timu ya kawaida Sana tena Sana.
Ukweli ndio huo ,hutaki kuelewa baki na ujinga wako Ila muda utakuhukumu.
 
Sijazungumzia kikosi.
Nimefikisha tu salamu.
Angalia hivyo vikosi vilivyocheza mechi za jana na leo alafu uniambie umegundua nini kama kweli akili yako iko sawa;

SIMBA KIKOSI;
BENO KAKOLANYA
MOHAMED HUSSEIN
SHOMARI KAPOMBE
KENED JUMA
OUTAARA
VICTOR AKPAN
CLEOTUS CHAMA
MZAMIRU YASSIN
HABIBU KYOMBO
MOZES PHIRI
SAKHO

YANGA KIKOSI;
ERICK JOHORA
BAKARI MWAMNYETO
IBRAHIM BAKA
DAVID BRYSON
JUMA SHABAN
DENIS NKANE
CLEMENT MZIZE
BENAD MORRISON
AZIZ KI
GAER BIGILIMANA
YUSUPH ATHUMANI
 
Nafikiri ubora wa timu unaangaliwa pia na upana wa kikosi chenye wachezaji wanaoweza kutoa ubora ule ule walionao wachezaji wanaoanza kikosi cha kwanza,,Yanga wameonyesha ni timu yenye kikosi kipana kisichomtegemea mchezaji mmoja kupata matokeo, Wameonyesha hilo kwenye mechi za ligi tofauti na timu nyingine zote zinazoshiriki ligi kuu na pia wameendelea kuonyesha kwenye mchezo wa leo kombe la Azam na wameondoka na ushindi mnono dhidi ya timu ya daraja la kwanza kurugenzi ya simiyu, Wachezaji wafuatao wa kikosi cha kwanza awakucheza kabisa;
Djigui diarra
Kibwana shomari
Yannik bangala
Dickson job
Joyce lomalisa
Feisal salum
Kharid aucho
Jesus moloko
Fiston mayele
Salum abubakar
Abutwalib msheri

Kwa maana iyo ni timu ambayo imejengwa vizuri kwa uwiano wa viwango vya wachezaji tumeona jana mozes phiri kafunga goli 3 na leo kajibiwa na bwana mdogo clement mzize aliyeweka kambani goli 4, Phiri kacheza na timu inayoshiriki ligi ya mkoa lakini bwana mdogo kacheza na timu inayoshiriki ligi daraja la kwanza(first league) na ameperfom bila ya uwepo wa mayele, Simba jana wamejaza mastaa wao wanawategemea dhidi ya timu dhaifu lakini utofauti wa ubora wa vikosi umeonekana leo baada ya Wananchi kuchezesha kikosi b na wakaibuka na ushindi wa goli 8 zile zile walizoshinda wale walioweka full mkoko,, Pongezi kwa kijana Mzize anakuja vizuri akitulia
Maandishi yote haya yasiyo na mpangilio lakini "unadhani"!
 
Back
Top Bottom