Kazi za Phiri zinafanywa na bwana mdogo Clement mzize na Yanga wala hawaringi

Kazi za Phiri zinafanywa na bwana mdogo Clement mzize na Yanga wala hawaringi

Ndio mkome kujilinganisha na levo za yanga inahitaji miaka 5 mpaka 6 kukipata kikosi walichonacho wananchi,,comparison mnaifanya nyie pindi mnaposhinda na mkijibiwa mnatokomea kusikojulikana au mnakuja na hoja nyepesi zisizoeleweka
Kikosi cha wananchi kilichoshindwa kuingia makundi CL
 
Sasa mbona timu hiyo mliipangia mchezaji wa EPL yaani Gael Bigirimana wa Newcastle, halafu bado unasema wachezaji bora hawakucheza?
Bigirimana anaweza kucheza kikosi cha kwanza akiwa simba na sio yanga nadhani nimeeleweka
 
Kelele zote hizi
Timu mliyoifunga inatoka Maswa Mkoani Simiyu.
Timu ambayo hata Temeke Scud inaweza ifunga hata goli 10 kipindi Cha kwanza tu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Inatoka simiyu inacheza daraja la ngapi bwana Ngada? Na mikia walicheza na timu inayochexa daraja la ngapi labda tueleweshane kidogo inawezekana alosto tiyali zimeanza
 
Duuuh ama kweli nimeamini watz wengi ni vilaza wa kutupwa aiseee,mihemuko mihemuko mihemuko.

Kikosi Bora kipi ambacho kimeangukia pua club bingwa?
Ivi nyie huko shuleni mnaenda kujifunza Nini ?
Hata takwimu tu zinawashinda kuelewa uhalisia wa Mambo.

Yanga ni timu ya kawaida Sana tena Sana.
Ukweli ndio huo ,hutaki kuelewa baki na ujinga wako Ila muda utakuhukumu.
Unalo kombe lolote la iyo club bingwa? Au kukutana na wale ihefu wa angola ukafuzu ndio kelele mtaani? Timu ya kawaida nitajie wachezaji wako wanaoweza kupata namba kikosi cha kwanza cha yanga kwa sasa,,Mashabiki vilaza kama nyie wapo wengi kwenye timu yenu wakiona yanga anashinda popote akili zao zinahamia kwenye bahasha, mara jezi nyeusi, mara marefa, amtaki kuukubali ukweli ya kuwa kikosi chenu ni sawa na gari la mkaa trip shamba trip gereji, Kikosi cha kumtegemea chama asipokuwepo mnaomba mpira uishe kuweni na adabu vinginevyo mtaendelea kubatizwa kwa moto mpaka akili ziwakae sawa msipoboresha icho kikosi kwa kutegemea wachezaji wa kuokoteza kama mafungu ya nyanya
 
Acheni ujinga hata simba alikuwepo
Miraji athumani
Rashid juma
Na abdul Suleiman na walikuwa wanakiwasha kweli kweli ila hata sijui walipoteaje kwenye ramani ya soka la Tanzania yaani kiufupi dogo ajipange ulozi unarudisha nyuma soka letu hao wote niliowataja walipata majeraha na wakakaa nje ya uwanja mwaka mzima na safari yao ikaishia hapo mwambie dogo ajipange vita ni kubwa sana nje ya uwanja endeleeni kumjaza ujinga tu huyo dogo.
 
Bigirimana anaweza kucheza kikosi cha kwanza akiwa simba na sio yanga nadhani nimeeleweka
Lakini si alisajiliwa na Yanga kutoka Newcastle? Kwa nini mlisajili mchezaji wa kuja kuwa kikosi cha pili, tena kutoka EPL?
 
Lakini si alisajiliwa na Yanga kutoka Newcastle? Kwa nini mlisajili mchezaji wa kuja kuwa kikosi cha pili, tena kutoka EPL?
Alisajiliwa kama alivyosajiliwa mlete mzungu dejan hili aingie kikosi cha kwanza lakini ikashindikana
 
Unalo kombe lolote la iyo club bingwa? Au kukutana na wale ihefu wa angola ukafuzu ndio kelele mtaani? Timu ya kawaida nitajie wachezaji wako wanaoweza kupata namba kikosi cha kwanza cha yanga kwa sasa,,Mashabiki vilaza kama nyie wapo wengi kwenye timu yenu wakiona yanga anashinda popote akili zao zinahamia kwenye bahasha, mara jezi nyeusi, mara marefa, amtaki kuukubali ukweli ya kuwa kikosi chenu ni sawa na gari la mkaa trip shamba trip gereji, Kikosi cha kumtegemea chama asipokuwepo mnaomba mpira uishe kuweni na adabu vinginevyo mtaendelea kubatizwa kwa moto mpaka akili ziwakae sawa msipoboresha icho kikosi kwa kutegemea wachezaji wa kuokoteza kama mafungu ya nyanya
Kama mlishindwa kuifunga Al Hilal ya Sudan bado mnawazarau walio makundi cl
 
Nafikiri ubora wa timu unaangaliwa pia na upana wa kikosi chenye wachezaji wanaoweza kutoa ubora ule ule walionao wachezaji wanaoanza kikosi cha kwanza, Yanga wameonyesha ni timu yenye kikosi kipana kisichomtegemea mchezaji mmoja kupata matokeo.

Wameonyesha hilo kwenye mechi za ligi tofauti na timu nyingine zote zinazoshiriki ligi kuu na pia wameendelea kuonyesha kwenye mchezo wa leo kombe la Azam na wameondoka na ushindi mnono dhidi ya timu ya daraja la kwanza kurugenzi ya Simiyu, Wachezaji wafuatao wa kikosi cha kwanza awakucheza kabisa;
Djigui Diarra
Kibwana Shomari
Yannik Bangala
Dickson Job
Joyce Lomalisa
Feisal Salum
Kharid Aucho
Jesus Moloko
Fiston Mayele
Salum Abubakar
Abutwalib Msheri

Kwa maana hiyo ni timu ambayo imejengwa vizuri kwa uwiano wa viwango vya wachezaji tumeona jana Mozes Phiri kafunga goli 3 na leo kajibiwa na bwana mdogo Clement Mzize aliyeweka kambani goli 4, Phiri kacheza na timu inayoshiriki ligi ya mkoa lakini bwana mdogo kacheza na timu inayoshiriki ligi daraja la kwanza(first league) na ameperfom bila ya uwepo wa Mayele, Simba jana wamejaza mastaa wao wanawategemea dhidi ya timu dhaifu lakini utofauti wa ubora wa vikosi umeonekana leo baada ya Wananchi kuchezesha kikosi b na wakaibuka na ushindi wa goli 8 zile zile walizoshinda wale walioweka full mkoko. Pongezi kwa kijana Mzize anakuja vizuri akitulia.
Hatukumuona dhidi ya ihefu wala al hilal au vipers fc
 
Squad 1

1. Diarra
2. Kibwana
3. Lomalisa
4. Bangala
5. Job
6. Aucho
7. Moloko
8. Sure boy
9. Mayele
10. Fei Toto
11. Kisinda

Just imagining wote hawakuepo [emoji47] na mtu kala 8

Na Kuna timu Jana imeweka Full Mziki.
Mbona dhidi ya ihefu wote hawa walicheza kama wameshiba maharage ya mbeya
 
Ahaaaa eti bwana mdogo mzinze goli 4
Alafu phiri goli 3 mleta mada karudie kutazama vizuri mechi ya Simba na Eagle uje na takwimu sahihi
 
Back
Top Bottom