Kazi za usalama (TISS) mpaka utoe hela?

Kazi za usalama (TISS) mpaka utoe hela?

TISS wa Tanzania wote ni mbwa koko wakianzia na lile polisi lao eti DG , pumbafu kabisa kazi kutoatoa mavitambulisho bar, kimsingi hawana lolote wanaloliweza trust me , ukiona failures ndio wako kwenye inteligence ujue kuna shida mahala
Kutoa vitambulisho kwenye baa ni upumbavu.

Ila kwa namna fulani una hoja maana hii idara yetu ya sasa mhhh.

Lakini lazima sote tuamini kuwa wapo maofisa nguli na wale welevu kabisa trust me.
 
Jamani mwenye clue na hili tusije kupigwa maana ni mpunga mrefu tunaambiwa tutoe kazi ipatikane.
Je kuna ukweli?
Kama huyo mtu unamwamini mpe tu maan sahv jwtz na Tiss wanachukua watu kimyakimya hutokaa uskie wametangaza kama ilivy vitengo vingine mfano mwez ulopita nyuma kuna gazet nliona polisi,magereza,zimamoto na uhamiaji wanataka idad fulan ya watu wajiunge.

Na Hadi leo sijackia kiliendelea nn lakn JWTz na TISs hawakutangaza kabisaaaa na hata wanaoenda kozi uwa kimykimy sana. Cha kukushaur fanya kama unafumba macho tu mpe anachotaka kikubwa umri wako uwe sio juu ya 25 usiwe umeoa/kuolew.

Kingine rekodi safi ya uhalifu na usiwe na makosa kwn naskiaga wanakuchunguza kwanzia chini yaan uliposoma na history yako kubwa zaidi tunza damu yako iwe swafi na swalama.

Asubuh njema
 
Kama huyo mtu unamwamini mpe tu maan sahv jwtz na Tiss wanachukua watu kimyakimya hutokaa uskie wametangaza kama ilivy vitengo vingine mfano mwez ulopita nyuma kuna gazet nliona polisi,magereza,zimamoto na uhamiaji wanataka idad fulan ya watu wajiunge.

Na Hadi leo sijackia kiliendelea nn lakn JWTz na TISs hawakutangaza kabisaaaa na hata wanaoenda kozi uwa kimykimy sana. Cha kukushaur fanya kama unafumba macho tu mpe anachotaka kikubwa umri wako uwe sio juu ya 25 usiwe umeoa/kuolew.

Kingine rekodi safi ya uhalifu na usiwe na makosa kwn naskiaga wanakuchunguza kwanzia chini yaan uliposoma na history yako kubwa zaidi tunza damu yako iwe swafi na swalama.

Asubuh njema
Anakwenda kuibiwa mtu hapa. Wajinga ndio waliwao.
 
TISS Hawa ajiri watu kwa matangazo ya kazi wanamfuatilia mtu wanamchunguza mwisho wanamuita na kum offer kazi

Na sio rahisi kuhakiki kama mtu anafanya kazi huko labda uende ofisini kwao makao nakuu uka prove

So watu wanatumia njia hiyo kuwalaghai vijana na kuwatapeli ni utapeli kama utapeli mwingine so kua muangalifu usije kulia
Hao matapeli wa sinza wanataka kumpiga mshikaji halafu kaingia mazima.
Yaani kama asingeuliza huku angepigwa

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
TISS Hawa ajiri watu kwa matangazo ya kazi wanamfuatilia mtu wanamchunguza mwisho wanamuita na kum offer kazi

Na sio rahisi kuhakiki kama mtu anafanya kazi huko labda uende ofisini kwao makao nakuu uka prove

So watu wanatumia njia hiyo kuwalaghai vijana na kuwatapeli ni utapeli kama utapeli mwingine so kua muangalifu usije kulia
Hivi ni hawa ajiri au ni hawaajiri Mkuu?
 
TISS wa Tanzania wote ni mbwa koko wakianzia na lile polisi lao eti DG , pumbafu kabisa kazi kutoatoa mavitambulisho bar, kimsingi hawana lolote wanaloliweza trust me , ukiona failures ndio wako kwenye inteligence ujue kuna shida mahala
Umeandika kwa Chuki, Upumbavu na Uwendawazimu unaokusumbua kwa muda mrefu.

Ni kweli baadhi yao ( tena wachache tu ) wanaweza wakawa na Mapungufu ila kuhalalisha kuwa TISS nzima si nzuri na ina Matatizo mpaka Kuishutumu na Kuidhalilisha hivi ni Uthibitisho tosha kuwa Njaa yako na Maisha yako magumu uliyonayo yameharibu hadi Ubongo wako.

Pole sana.
 
Back
Top Bottom