Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kwani baba/Mama yako alikuwa au yuko huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuchafua taasis pendwaJamani mwenye clue na hili tusije kupigwa maana ni mpunga mrefu tunaambiwa tutoe kazi ipatikane.
Je, kuna ukweli?
Alafu Kweli TRA mambo yanawanyookea Kweli KweliKatafute kazi TRA ukaupige mwingi
huko tiss hakuna kitu ni wajinga tu wamejaa na makaunda suti...
MSAADA TAFADHALI NATAFUTA KAZI YA USALAMAUmeambiwa na nani njoo inbox
Hahhahahaha.Katafute kazi TRA ukaupige mwingi
huko tiss hakuna kitu ni wajinga tu wamejaa na makaunda suti...
Vipi mmlifanikiwa mkuuJamani mwenye clue na hili tusije kupigwa maana ni mpunga mrefu tunaambiwa tutoe kazi ipatikane.
Je, kuna ukweli?
Akikujibu nishtueVipi mmlifanikiwa mkuu
Hakuna ukweli wowote,Hii kazi ni BURE tuJamani mwenye clue na hili tusije kupigwa maana ni mpunga mrefu tunaambiwa tutoe kazi ipatikane.
Je, kuna ukweli?
Embu tutajie mkuu tusiojua huenda tunakosea kuzitakaUnaomba kazi za USALAMA unazijua au unavutiwa na suti
Tangazo hilo la kuomba aliliona wapiUnaomba kazi za USALAMA unazijua au unavutiwa na suti