Kazi zenye pesa zisizojadiliwa na vijana hizi hapa

Kuna jamaa ni foreigner alikuwa kaoa mtanzania sema akamgeuka akamtimua na kumdhurumu kila kitu. Na alimtimua kipindi amabacho alikuwa anaumwa amegeuka kuwa kipofu. Foreigner mwenzake akamchukua kaanza ishi naye wanahangaika makanisani kwa mwaka mzima jamaa akaanza ona. Akapata ela kanisani akaanza shona viatu akapanga chumba, yule mwenzake akawa analalamika kuwa jamaa anawaibisha bora hata hiyo kazi angeenda kuifanya mtaa wa mbali.
Jamaa ni msafi, anafika ofisini kwake saa 12 unakuta anafanya usafi.
Ni mwaka wa pili sasa, ofisi kaipanua now ana frem, amenunua machine ya kushona cover za viti, viatu vya kimasai, anashona vitu kibao, anauza viatu na sole kwa wingi. ameajiri vijana wengine.
Kweli maisha ni malengo hata yule aliyekuwa anamcheka kakili kuwa alikuwa anakosea.
 
Safi kabisa,dhana ya ujasiriamali inaendana na usafi pamoja na kujali muda kitu ambacho watu wengi tunakipuuzia,ukifanikiwa hili biashara yeyote unatoboa hata ya mtaji mdogo kiasi gani.
 
Watembea na bahasha hapa hawawez kukuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…