Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Tunaenda kuufunga 2022, naona wadau wengi wanaenda likizo kipindi hiki.
Hivi kazi yako inakuruhusu likizo mara ngapi kwa mwaka? Hii ni kwa walioajiriwa sasa maana najua waliojiajiri asilimia kubwa hawanaga likizo.
Hivi kazi yako inakuruhusu likizo mara ngapi kwa mwaka? Hii ni kwa walioajiriwa sasa maana najua waliojiajiri asilimia kubwa hawanaga likizo.