Kazini kwako unapata likizo mara ngapi kwa mwaka?

Kazini kwako unapata likizo mara ngapi kwa mwaka?

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Tunaenda kuufunga 2022, naona wadau wengi wanaenda likizo kipindi hiki.

Hivi kazi yako inakuruhusu likizo mara ngapi kwa mwaka? Hii ni kwa walioajiriwa sasa maana najua waliojiajiri asilimia kubwa hawanaga likizo.
 
Back
Top Bottom