steve_shemej
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,175
- 1,588
Una rahaMara 4
april 2 weeks
June 4 weeks
September 2 weeks
December 4 weeks
Likizo ni haki ya mfanya kazi na inatolewa mara moja kwa mwaka.Tunaenda kuufunga 2022, naona wadau wengi wanaenda likizo kipindi hiki.
Hivi kazi yako inakuruhusu likizo mara ngapi kwa mwaka? Hii ni kwa walioajiriwa sasa maana najua waliojiajiri asilimia kubwa hawanaga likizo.
Mkuu umeajiriwa au umejiajiri unajipa likizo utakavyoMara 4
april 2 weeks
June 4 weeks
September 2 weeks
December 4 weeks
π€£π€£π€£π€£π€£π€£Utakuwa ndugu yake na mpwayungu village
TeacherMara 4
april 2 weeks
June 4 weeks
September 2 weeks
December 4 weeks
MgodiniNaingia mzigoni 6 weeks napumzika 3 weeks
ila huo mzigo wa 6 weeks mzee acha kabisa ni balaa
Wanafanya hivyo sababu nyie ni marehemu watarajiwa.Sisi huku ruvumacoal limited tunaenjoy kazi siku 20 siku kumi likizo unalipwa mshahara wa siku 30
Unapewa mshahara na nauli unapewa
Hapo ni nje ya likizo ya uzazi,miezi 3kama ni keπππππMara 4
april 2 weeks
June 4 weeks
September 2 weeks
December 4 weeks
Kwamba marehemu wanasogezewa mbele siku za kuishi ili wapige kazi.Wanafanya hivyo sababu nyie ni marehemu watarajiwa.
Migodi yote hufanya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Asee πSisi huku ruvumacoal limited tunaenjoy kazi siku 20 siku kumi likizo unalipwa mshahara wa siku 30
Unapewa mshahara na nauli unapewa
Unauwakika? Huku kwetu ruvumacoal tunapata likizo kila baada ya siku 20 yaani siku 20 kazi siku 10 likizo na nauli unapewaLikizo ni haki ya mfanya kazi na inatolewa mara moja kwa mwaka.
Kuna wanaopewa siku 28 na wengine 30.
Hakuna Taasisi ama idara inayotoa likizo zaidi ya moja kwa mfanyakazi, labda iwe ni likizo ya ugonjwa.
Hata wale wa Wizara ya mambo ya ndani wanaokaaga likizo nyumbani robo mwaka nzima, huwa ni malimbikizo ya likizo yao ya miaka mitatu kwa mwezi mmoja mmoja kila mwaka.
Sasa Mimi welder utasemaje marehemu mtarajiwa? Nafanya repair ya mitambo sichimbi mimiWanafanya hivyo sababu nyie ni marehemu watarajiwa.
Migodi yote hufanya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app