Wakenya akili yao ni kuona Tanzania haiwapiti kwa lolote. Kitu ambacho kimetufanya nasi tubadili uelekeo na kuwaona hawa si wenzetu bali washindani wetu.Wataelewa tuu, tena wala sio muda mrefu.... mwakani kabla ya majira ya masika kwishaπππ
Wakenya akili yao ni kuona Tanzania haiwapiti kwa lolote. Kitu ambacho kimetufanya nasi tubadili uelekeo na kuwaona hawa si wenzetu bali washindani wetu.
Bank zao zinapumulia gas huku, Equity iko taabani.
Sasa sijui wanajisifu nini?
Mama D, Love you to the moon.Hiki kinachoendelea ndio tushawapita hivyo na hawakijui ndio maana hawaelewiπππ
Santeeee Mr English, nipe kazi bossMama D, Love you to the moon.
Unafanyia sekta ya bank nini?
Basi wewe mwenzangu kabisa. Karibu Makumbusho pale stand kuna goli langu nauza viatu vya kike. Mengine tutaongea hapo hapo nikiwepo.Santeeee Mr English, nipe kazi boss
Mimi niko kwenye lile kundi la wenye vitambulisho bye elfu 20
Nimepita hapo Jana nikanunua kiatu. Usikute ni wewe uliyegoma kabisa kunipunguzia beiπππBasi wewe mwenzangu kabisa. Karibu Makumbusho pale stand kuna goli langu nauza viatu vya kike. Mengine tutaongea hapo hapo nikiwepo.
Mimi kwa sasa nina zaidi ya week sijafika pale. Inaweza kuwa ofisi yenyewe ila mi sikuwepo.Nimepita hapo Jana nikanunua kiatu. Usikute ni wewe uliyegoma kabisa kunipunguzia beiπππ
Asante sana mkuuMimi kwa sasa nina zaidi ya week sijafika pale. Inaweza kuwa ofisi yenyewe ila mi sikuwepo.
By the way karibu. Nikirejea.
Uje na D sijui ni niece au nephewe amsalimie uncle English. Vile napenda watoto atafurahi.Asante sana mkuu
Zimefika salamu. ShukraniπUje na D sijui ni niece au nephewe amsalimie uncle English. Vile napenda watoto atafurahi.
Usitupangie. Wewe mbona uko kwenye forum ya Kitanzania? Huko kwenu hakuna?Mr English na mama D katafuteni chumba nitalipa. Hapa sio mahali pa mazungumzo ya kibinafsi.
Usitupangie. Wewe mbona uko kwenye forum ya Kitanzania? Huko kwenu hakuna?
Tulia, dawa ikuingie.πππ
Nyie nunueni benk Sisi tupo busy kutekeleza miradi ya kistratejiaKenya ndio baba la Afrika Mashariki na Kati. Equity bank imenunua benki mbili DR congo. KCB ipo South Sudan na Ethiopia. KCB ipo Uganda na Tanzania. I&M inapanga kununua benki Uganda. Sasa KCB inapanga kununua benki Rwanda na Tanzania. Hakuna nchi hapa Afrika Mashariki ambayo hatujanunua benki kutoka kwao. Hakuna benki hapa EA ambayo ipo safe from Kenyan banks. Hivi karibuni benki zote ukanda huu zitamilikiwa na benki za Kenya
KCB plans to acquire Rwandan and Tanzanian banks
Kenyan commercial banks are looking beyond their borders for acquisitions.
In Summary
β’ KCB will pay cash for the shares in the Rwandan bank, it said in a statement, to be computed using a price to book multiple of 1.09.
β’ It also aims to make an offer to the remaining shareholders to acquire more shares on the same terms as the 62 per cent already agreed, KCB said.
by REUTERS News
Kenyaβs top lender by assets, KCB Group, plans to acquire 62.06 per cent in Banque Populaire du Rwanda and 100 per cent in African Banking Corporation Tanzania Limited, it said on Thursday.
Kenyan commercial banks are looking beyond their borders for acquisitions, seeking to tap growing opportunities in the wider East Africa region, driven by rapid economic growth and trade integration.
KCB will pay cash for the shares in the Rwandan bank, it said in a statement, to be computed using a price to book multiple of 1.09.
It also aims to make an offer to the remaining shareholders to acquire more shares on the same terms as the 62 per cent already agreed, KCB said.
In the ABC Tanzania deal, KCB will also pay cash, using a price-to-book multiple of 0.42, the group said.
Both transactions are still subject to various approvals including those of regulators in all three markets, KCB said. (Reporting by Duncan Miriri; Editing by Clarence Fernandez)
Kenya section kwani iko huko Kenya? Hii ni yetu Watanzania kujadili mambo yanayotuhusu sisi na Kenya.Hahaha. Mimi nipo Kenya section. Wewe umekuja kufanya nini Kenya section?
Usiwe na shaka, nawajua ndugu zangu mkishiba githeri mnakuja kujifariji humu na kujiliwaza. Sisi Watanzania ni wakarimu sana. Hata mkitaka dada zetu njooni mchukue. Nashangaa Diamond na Kiba wamebeba dada zenu, tumeshafunga 2 nil nyie hata mmoja huku hamjachukua. Why?Halafu ilikuwa utani tu na wala usiwe na presha.