KCB sasa ina asset value ya ksh 1 trillion. ($10 billion)

KCB sasa ina asset value ya ksh 1 trillion. ($10 billion)

Hayo matatizo yapo nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara siyo kenya tu.
Kwani mkuu ni uongo GDP yao siyo kubwa kuzidi yetu? Au ukweli umekuwa uongo? Hata sisi SGR tukiweka siasa pembeni tumekopa sana.
Janga likija hasa la njaa ni nchi chache za Afrika linaweza kulimaliza. Unahisi Tanzania itokee ukame, au nzige waharibu mazao serikali itaweza wapa watu chakula. Umesahau kipindi cha Kikwete watu wana njaa wanapelekea eti debe la mahindi. Sasa wewe debe la mahindi utakula shilingi ngapi tena inapewa familia.

No need to hate, KCB imefanya poa.
Unajua maana ya maendeleo, kuendelea maana yake ni kuboresha hali ya maisha ya leo kuwa bora kuliko jana, Tanzania tumekua tukipiga hatua ya kuboresha hali za raia wetu kila siku, kama ulivyosema katika kipindi cha Kikwete tulikua hatujitoshelezi kwa chakula, leo hii tinazalisha zaidi ya mahitaji yetu na tunauza chakula cha ziada kwa nchi zingine, umeme vijijini ilikua ni nadra, sasa hivi karibia vijiji vyote umeme unawaka, huduma za Afya na hali ya usalama vimeimarika sana.

Kenya wao ni tofauti sana, hayo matatizo niliyoyataja ni toka wapate uhuru wao, hakuna ambalo linapata nafuu, hali inazidi kuwa mbaya kadri siku zinavyoongezeka, ni aibu kwa nchi kama ya Kenya kukumbwa na njaa tangu wapate uhuru hadi leo na hawatafuti ufumbuzi wa tatizo kwa takriban miaka 60 sasa.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Tell me, Nairobi Hospital and Kenyatta Hospital, which one is for the majority of Kenyans?.

If Nairobi Hospital closes its business today, its effect will be felt by very few Kenyans who can look for alternatives very easily, but if the same happens to Kenyatta Hospital, the effect is catastrophic.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
That does not mean the private sector has no role to play. Tell me, how much do you think Safaricom or KCB pump into Kenyan economy?
 
The guy is mad with our private sector because it's performing better than both their private and public sectors.
Hahaha, it is making you jealous when we compared Muhimbili vs Nairobi Hospital, instead of Muhimbili vs Kenyatta Hospital.

Hapa tunataka kulinganisha Kenya vs Tanzania, sio wageni wanaoishi Kenya vs Wanaoishi Tanzania.

Private sectors mara nyingi ni wageni ndio wanaozimiliki, lakini hata kama ni raia wa nchi husika, lakini hazitoi picha ya uwajibikaji wa serikali za nchi husika.

Kwanini hamtaki kulinganisha GoK vs GoT[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha, it is making you jealous when we compared Muhimbili vs Nairobi Hospital, instead of Muhimbili vs Kenyatta Hospital.

Hapa tunataka kulinganisha Kenya vs Tanzania, sio wageni wanaoishi Kenya vs Wanaoishi Tanzania.

Private sectors mara nyingi ni wageni ndio wanaozimiliki, lakini hata kama ni raia wa nchi husika, lakini hazitoi picha ya uwajibikaji wa serikali za nchi husika.

Kwanini hamtaki kulinganisha GoK vs GoT[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
GOK - $100b
GOT - $60b

KPA - 1.4m MT
TPA - 600,000 MT

KPLC - 7.2m customers connected to electricity.
TANESCO- 2.7m customers connected.

KRB - 21,000km of paved roads
TANROADS - 9,000km of paved roads.

KAA - 13m PAX in 2019
TAA- 5m PAX in 2019.
 
GOK - $100b
GOT - $60b

KPA - 1.4m MT
TPA - 600,000 MT

KPLC - 7.2m customers connected to electricity.
TANESCO- 2.7m customers connected.

KRB - 21,000km of paved roads
TANROADS - 9,000km of paved roads.
Tanzania Debts 36%
Kenya Debts 80%

Tanzania Electrification 84%
Kenya 64%

Tanzania Corruption 5%
Kenya Corruption 89%

Tanzania tribalism 0%
Kenya tribalism 99%

Tanzania food production 120%
Kenya food production 45%

Tanzania security and peace #53 in the World
Kenya Peace and Security #125 in the World

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Sawa na kuuliza Tanzania kukosa kinu cha nguvu za nuclear kama imepunguza uwezo wa kujizalishia chakula. Jaribu kuweka swali lako vizuri hujasomeka.

Lazima jambo liwe na "positive effects" katika nchi ndio kuwepo na umuhimu wake, lazima makampuni au mashirika yaweze kutoa suluhisho ya matatizo ya jamii husika.

Kenya matatizo yao ya msingi kwa sasa ni
1)Njaa
2)Rushwa
3)Ukabila
4)Deni kubwa la nchi
5)Ukosefu wa usalama
6)Ukosefu wa ajira
7)Sheria mbovu za ardhi
8)Political instability
9)Slums
10)Terrorism

Huo ukwasi wa KCB umesaidia nini katika hayo?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Makampuni haya yameajiri maelfu ya Wakenya na yanalipa vizuri. Kwa hivyo yamesaidia kupunguza ukosefu wa ajira, point yako namba 6. Na yamepunguza umasikini. Pia yanalipa ushuru ambayo serikali inatumia kulipa mishahara ya Waalimu na Madaktari.
 
Tanzania Debts 36%
Kenya Debts 80%

Tanzania Electrification 84%
Kenya 64%

Tanzania Corruption 5%
Kenya Corruption 89%

Tanzania tribalism 0%
Kenya tribalism 99%

Tanzania food production 120%
Kenya food production 45%

Tanzania security and peace #53 in the World
Kenya Peace and Security #125 in the World

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Tanzania electrification is 32%[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

 
Tanzania Debts 36%
Kenya Debts 80%

Tanzania Electrification 84%
Kenya 64%

Tanzania Corruption 5%
Kenya Corruption 89%

Tanzania tribalism 0%
Kenya tribalism 99%

Tanzania food production 120%
Kenya food production 45%

Tanzania security and peace #53 in the World
Kenya Peace and Security #125 in the World

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji116]
12572740_screenshot247_png917600ab8427a3787c148b21cf9263da.jpeg
 
Inawezekana ukubwa wake unakopesha vijana wanaofanya ujasiliamali. Inawezakana wanadhamini miradi. Siyo lazima uangalie angle unayotaka wewe tu.
Badala ya kuhate tuna mengi tunaweza jifunza kwa Kenya na wao wakajifunza kwetu. Kenya ina wabunifu wazuri, ina ma IT wazuri au kama siyo wzuri basi wanawaza nje ya box, hata huko mtandaoni Kenya wanajulikana kwa kiswahili kuliko hata sisi.

Wana GDP kubwa, huenda haijawafikia wengi wa chini lakini within time itawafikia kwa kiasi flani. Rushwa ni janga la mataia mengi ya Afrika hata hapa Tanzania haijakomeshwa. Ipo sana tu kuanzia ofsi ndogo za umma. Juzi nimeenda kutafuta cheti cha kuzaliwa cha mtoto nilichokikuta pale sikukitegema.

KCB imefanya vizuri, ni local bank kama imeweza kujtanua hivyo ni jambo la kupongeza, na sisi tungetamani kusikia NMB imefanya hivyo, tungetamani brand za kitanzania zisambae sana siyo AZAM tu
Asante. Umezungumza kwa hekima sana.
 
Tanzania electrification is 32%[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Lazima chupi zitawabana mwaka huu, this is Magufuli sio Jakaya, na bado mtaendelea kuisoma namba, pambaneni na njaa kwanza ndio kitu muhimu kuliko hata umeme[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni zaidi ya robo ya uchumi wote wa Tanzania, yaani ujumuishe uchumi wa Tanzania yote bara na visiwani........kampuni moja tu ya Kenya.
Acha kuwa mvivu wa kufikiri ewe mkosa mawazo chanya....... Unaufahamu uchumi wetu vizuri ewe mkenya mkosa upeo?!
 
Makampuni haya yameajiri maelfu ya Wakenya na yanalipa vizuri. Kwa hivyo yamesaidia kupunguza ukosefu wa ajira, point yako namba 6. Na yamepunguza umasikini. Pia yanalipa ushuru ambayo serikali inatumia kulipa mishahara ya Waalimu na Madaktari.
Unaweza kulinganisha kati ya KCB na CRDB au NMB ya Tanzania, ni Bank ipi iliyotoa ajira nyingi zaidi?, Ninakuhakikishia NMB mchango wake katika uchumi wa Tanzania ni mkubwa sana kuliko mchango wa KCB katika uchumi wa Kenya, pamoja na kwamba mtaji wake sio mkubwa kama wa KCB, hiyo ndio tofauti kati ya Kenya na Tanzania.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kulinganisha kati ya KCB na CRDB au NMB ya Tanzania, ni Bank ipi iliyotoa ajira nyingi zaidi?, Ninakuhakikishia NMB mchango wake katika uchumi wa Tanzania ni mkubwa sana kuliko mchango wa KCB katika uchumi wa Kenya, pamoja na kwamba mtaji wake sio mkubwa kama wa KCB, hiyo ndio tofauti kati ya Kenya na Tanzania.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Hio ni uongo. Niko ready kuleta data ya mchango wa KCB katika uchumi wa Kenya. Na wewe ulete data ya CRDB
 
Hio ni uongo. Niko ready kuleta data ya mchango wa KCB katika uchumi wa Kenya. Na wewe ulete data ya CRDB
Hahahaha, ninakuhakikishia mchango wa NMB katika uchumi wa watanzania ni mkubwa zaidi ya KCB katika uchumi wa Kenya:

Kwanza lazima uelewe kwamba mchango wa Bank katika uchumi husika haimaaninshi kodi inayotoa kwa setikali, ila inamaanisha "Banking services kwa wananchi".

NMN inao wateja wengi, tena wateja wa vijijini ambako KCB wala haitaki kwenda, KCB inalenga wateja wakubwa na makampuni yenye pesa nyingi, hivyo mchango wake katika nchi ni unalingana na "Big malls" au Supermakets, "Urban oriented services".

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Kila taifa linakopa kwa sababu zake, nyie huko kwa umaskini huwa mnafadhiliwa hata kwenye bajeti, ama kwa hakika mumeidhalilisha Afrika.
Nchi pekee kusini mwa jangwa la sahara ambayo uchaguzi wake 100% haijaomba misaada, itawachukua Kenya miaka 50 ijayo kugharamia uchaguzi wake by 100%

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom