KDF amphibious attack was the first by an African military

KDF amphibious attack was the first by an African military

hio ni emergency situation ambapo mlio ukipigwa unakota bunduki na kuvaa bulet proof ata haujui ni wapi unapelekwa na itachukua mda ghani, eti ulikua unataka waanze kujiuliza tutakula nini ikifika mchana? alafu kitu chengine hauezi ambia askari atoke ndani ya jumba wakati oparesheni inaendelea eti aje achukue maji, na huko ndani waliko wanaeza wakajisaidia . angalia hio video tena kwa umakini, alafu usome hio habari tena, alafu ufikirie vizuri kabla uanze kuongea...



Na BTW KDF wako na maji yao hujitengezea wenyewe... kwahivyo vitani ambapo wana mda wa kujitayarisha wanabeba maji yao wenyewe, si kama nyinyi kule comoros mlisafirishwa, mkapewa silaha na hata mkalishwa na wafaransa mda wote mlipokua huko alafu ndo mnasifia



View attachment 416745
water6-jpg.416745

images

Mwanajeshi gani anaenda na Chupa hiyo kwenye combat. Pia Body language Ya hao waliojiuzia maji ya raia(kwa maelezo ya waliokutafsilia kilichouwepo kwenya mifuko) wao haionyeshi kama kulikuwa na risasi yoyote, wanatembea hadi wanashngaa matangazo ukutani utadhani wako kanisani.
_85438032_g2-481185164.jpg

hata hawa utasema ni wamebeba maji, maana macho yako yana infra red
 
The invasion of Anjouan (code-namedOperation Democracy in Comoros),[5][6] on March 25, 2008, was an amphibious assaultled by the Comoros, backed by African Union(AU) forces, including troops from Sudan,Tanzania, Senegal, along with logistical support from Libya and France. The objective of the invasion was to topple ColonelMohamed Bacar's leadership in Anjouan, an island part of the Union of Comoros, when he refused to step down after a disputed 2007 election, in defiance of the federal government and the AU. The Comoros archipelago in the Indian Ocean has had a fractious history since independence from France in 1975, experiencing more than 20 coups or attempted coups.[7]

The invasion occurred on the early morning of March 25, 2008. The main towns were quickly overrun and the island was declared under the control of the invading forces the same day. Mohamed Bacar managed to escape toMayotte on March 26 and requested political asylum. He was subsequently held in custody there by the French administration and brought to the island of Réunion. On May 15, France rejected Bacar's request for asylum but the French refugee office ruled that the ousted leader could not be extradited to the Comoros because of the risk of persecution.[
kumbe kulikuwa na comoro,sudan,senegal,libya na france....minadhani ni tz peke yake
 
The invasion of Anjouan (code-namedOperation Democracy in Comoros),[5][6] on March 25, 2008, was an amphibious assaultled by the Comoros, backed by African Union(AU) forces, including troops from Sudan,Tanzania, Senegal, along with logistical support from Libya and France. The objective of the invasion was to topple ColonelMohamed Bacar's leadership in Anjouan, an island part of the Union of Comoros, when he refused to step down after a disputed 2007 election, in defiance of the federal government and the AU. The Comoros archipelago in the Indian Ocean has had a fractious history since independence from France in 1975, experiencing more than 20 coups or attempted coups.[7]

The invasion occurred on the early morning of March 25, 2008. The main towns were quickly overrun and the island was declared under the control of the invading forces the same day. Mohamed Bacar managed to escape toMayotte on March 26 and requested political asylum. He was subsequently held in custody there by the French administration and brought to the island of Réunion. On May 15, France rejected Bacar's request for asylum but the French refugee office ruled that the ousted leader could not be extradited to the Comoros because of the risk of persecution.[
FRANCE,.......hahaha.... You were offered a lift to comoros by france..... But I've to congratulate wabongo for destroying amin... ....though i usually ask my self why Kenya failed to join the war to oust amin dada...... We could have been more united as eastafricans then we went into somali and this time round tanzania did not join as in this just war against terrorism.....tanzania should be in Somali of all countries fighting along as kenyans and ugandans......thats how nations create bonds...........
 
kumbe ni France ndo waliwapeleka huko, sikuzote mmekua mkiringa kumbe mlilishwa na kusafirishwa na france? haha, tena wanajeshi wa AU ilikua wanafika 1500, tanzania inasemekana ilituma wanajeshi 340, hio inamaanisha wanajeshi wa senegal na sudan ndo walikua wengi zaidi...watz ndo walikua wachache na nyinyi ndo mdomo kubwa

along with logistical support from Libya and France
Wachache hata DRC tulikuwa 1000 tu lakini kazi ilifanyika
 
water6-jpg.416745

images

Mwanajeshi gani anaenda na Chupa hiyo kwenye combat. Pia Body language Ya hao waliojiuzia maji ya raia(kwa maelezo ya waliokutafsilia kilichouwepo kwenya mifuko) wao haionyeshi kama kulikuwa na risasi yoyote, wanatembea hadi wanashngaa matangazo ukutani utadhani wako kanisani.
_85438032_g2-481185164.jpg

hata hawa utasema ni wamebeba maji, maana macho yako yana infra red

Na unaandika kitu hata usichokijua! maji humiminiwa kwenye hiyo combat suit water bottle, sio eti hununuliwa ikiwa na maji! Kwa hivyo, KDF wana maji yao na wana hiyo combat suit bottles!
 
Vipi kuhusu kwenda na tanks garisa
Was they planning to bomb the campus ama [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
There were alshabaab snipers who were blocking the entrance they had to use that vehicle because iko bullet proof.. Soo next time fikiria kwanza kabla uropokwe
 
kumbe kulikuwa na comoro,sudan,senegal,libya na france....minadhani ni tz peke yake

Yaani Wakenya wanaanzisha Wikipedia just to distort ukweli.

France ndia waliomtrain col Abubacak na ndio waliokua nyuma yake na ni France waliomtorosha na kumpeleka kwenye kisiwa wanacho kikontro Mayyote.

Tanzania troop in Comoros was on its own na rais wao alikuja Tanzania bungeni kutoa shukran, why asiende nnchi hizo nyingine?

Mda wote wa mapigano, picha za wanajeshi Comoros zipo. Post picha za sudan or senegal kwenye action in Comoros.
 
FRANCE,.......... You were offered a lift to comoros by france..... But I've to congratulate wabongo for destroying amin... ....though i usually ask my self why Kenya failed to join the war to oust amin dada...... We could have been more united as eastafricans then we went into somali and this time round tanzania did not join as in this just war against terrorism.....tanzania should be in Somali of all countries fighting along as kenyans and ugandans......thats how nations create bonds...........

We fought so many wars along with many nations. Kwanini tuwe somalia
 
We fought so many wars along with many nations. Kwanini tuwe somalia
East africa is safer with a peaceful somalia.... Remember the 1997 bombings of both Tanzania and nairobi were able to take place because of the failed systems in somali.......... if this terrorist are able to influence mombasa the same thing will happen to Zanzibar......as they say terror is like cancer once one region is infected it is only a matter of time before the rest is infected or affected.
 
East africa is safer with a peaceful somalia.... Remember the 1997 bombings of both Tanzania and nairobi were able to take place because of the failed systems in somali.......... if this terrorist are able to influence mombasa the same thing will happen to Zanzibar......as they say terror is like cancer once one region is infected it is only a matter of time before the rest is infected or affected.

The mainland constitution is specifically designed to round up islamic radicals on the island of Zanzibar, BTW this is the only reason why we have the union.
 
Back
Top Bottom