KDF in Mozambique

KDF in Mozambique

Mzee, yaani miaka yote hii bado hujachoka na hizi ligi? Hata kwenye misiba? Kando na ndege za kivita Kenya Airforce(KAF) wana ndege zingine za kijeshi, za transport. Kwa mfano tu, acha nikupe kionjo.
S.I.-DEFENSE-2.png
Hizi C-27J Spartan TMTA(Tactical Military Transport Aircraft) wanazo tatu. Wanazo pia Habrin Y-12, Antonov-An28, Cessna 208 zile DHC-5 Buffalo za zamani pia. Kenya Airforce wana hadi Bombardier Dash8! Kwa ujumla KAF wana takriban ndege 29 za 'transport' na 'utility' tu, bila kuhesabu chopper na zile ndege zingine za kivita.
Ndege zipi za kivita KDF wanazo zaidi ya F-5 ambazo ni sita pekee moja ilitunguliwa na Alshabaab. Hizi ndege zimezeeka sana, ni second generation na ni mbovu karibia zote, zikiruka zinatoa Moshi mwingi na kasi yake ni ndogo Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehehehe zungumzia kuhusu jeshi lenu pia. Wamebaka wanawake wa Congo na watoto wengi sana ndio maana waliharibiwa sura kwa mapanga by Congolese kids.
TPDF ni jeshi lilo na nidhamu sana, hauwezi wapata na vituko kama za kulala usiku badala ya kulinda doria ama kudhulumu wanawake/ kunajisi..
Sifa za KDF ni kunajisi,wizi hadi wa bidhaa kama biskuti, uzembe na ujinga..
Kama wapo hapo mozambique, Ni muhimu Jeshi lao liwasimamie sababu wahana discipline...wataharibu badala ya kusaidia waadhiriwa
 
Ndege zipi za kivita KDF wanazo zaidi ya F-5 ambazo ni sita pekee moja ilitunguliwa na Alshabaab. Hizi ndege zimezeeka sana, ni second generation na ni mbovu karibia zote, zikiruka zinatoa Moshi mwingi na kasi yake ni ndogo Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha! 😀 Pumba tupu. Alafu hili povu sio la kawaida. Unaumwa wapi? Tumbo?
 
TPDF ni jeshi lilo na nidhamu sana, hauwezi wapata na vituko kama za kulala usiku badala ya kulinda doria ama kudhulumu wanawake/ kunajisi..
Sifa za KDF ni kunajisi,wizi hadi wa bidhaa kama biskuti, uzembe na ujinga..
Kama wapo hapo mozambique, Ni muhimu Jeshi lao liwasimamie sababu wahana discipline...wataharibu badala ya kusaidia waadhiriwa
hili povu la mwaka kweli...walibaka sana congo na kujiletea nadhara ya kupigwa mapanga
 
Kikosi hichi maalum kinajulikana kama DRU- disaster response unit na hua kazi yake ni ku kupambana na matokeo baada ya janga, mafunzo yao yanapitia kupambana na biological and chemical weapons na search and recovery , Ebola outbreak, Marburg epidemic, nuclear radiation exposure...etc, Yani hichi ndo kikosi hutumwa kukitokea apocalyptic level worst case scenario

Kimya kimya bila mbwembwe, wengine wakitoa hata mfuko wa unga kwa hawa wahanga inatangazwa kileleni mwa mlima Kilimanjaro huku wakijisifia donor country.
UN haiwatambui
 
UN haiwatambui
Mkuu hivi unaamini ni kweli zile picha ni kweli kdf wanatoa msaada mozambique,mkenya si wa kumwamini hata kidogo,uongo na kujikweza ndio jadi yao,unaweza kukuta wakenya wanaochangia uzi wote awajala kutokana na njaa iliyo nchini mwao, waulize sasa km wamekula!
 
UN haiwatambui

Tanzanian plane supplied aid and departed! You are nolonger there, wacha next update uangalie ni nchi gani bado zitakua huko!Hapo kwa heading inasema tropical cyclone idai, internationa deployed assets (as of 29th March 2019) . Mlipeleka ndege moja mkaangusha chakula na mkaondoka..... KDF wako on the ground kufanya kazi ngumu zaidi, Search and rescue and recovery, miili ya wafu lazima ipatikane popote ilipo na familia za walio pona wapewe mili wakazike---- hio tayari ni mojawepo ya kazi ngumu sana , Magonjwa nayo lazima yatibiwe, Na hilo eneo lote llililo haribiwa na maji lazima vyoo vijengwe na nyumba zirekebishwe, usafi ufanyike na miundombinu irekebishwe ili maisha yarudi kawaida, hii ni mission inaeza chukua zaidi ya miezi sita!!!!!!
 
Hahahaha, eti KDF wanaweza kutoa msaada?, tuambieni wamepeleka kwa usafiri gani?, kama ni ndege yenye ukubwa gani na tani ngapi ilibeba?, kama ni barabara, walipitia wapi, kwasababu hatujaona msafara wa KDF Ukipata, hii habari ya kutoa box 10 za Blankets za kichina na kuonyesha mumetoa msaada hatutaki kusikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama KDF haina transport capability tilipelekaje tani 50 za chakula kule South Sudan? Tulisafirishaje wakenya 3,000 kutoka South Sudan wakati vita vilianza???

DQ0QuxjWkAASapB.jpg




KDF evacuation in south Sudan 2013

images

evacuation-pic.jpg

w3-sudanevac-a-20131224-870x582.jpg

BceWKPTCUAAfhz5.jpg

BcQXM6jCcAAjxY_.jpg

BcQU2DnCMAA60HQ.jpg

BcQVcFVCUAEP8fz.jpg

BcB_FH8CUAASVOB.jpg

KEAP231213.jpg

BcQVwRnCcAA2J20.jpg
 
Kitengo cha DRU kiko chini ya kikoso cha Engneering brigade...

Hapa wakifanya training ya Search Rescue/Recovery

1059419
1059418


1059420


1059421
1059423

1059424



Hua wanatumia gari maalum ambazo zinabeba kila aina ya vifaa vinavyohitajika kwa kazi kama hio
1059444

1059448
 
Mafunzoya kushuka kutoka kwa jengo kama hakuna ngazi
1059449
1059450
 
Mafunzo ya CBRN pia lazima wapitie -- CBRN inamaanisha - Chemical, biological, radiological and nuclear defense
1059454
1059455
 
Kama KDF haina transport capability tilipelekaje tani 50 za chakula kule South Sudan? Tulisafirishaje wakenya 3,000 kutoka South Sudan wakati vita vilianza???

DQ0QuxjWkAASapB.jpg




KDF evacuation in south Sudan 2013

images

evacuation-pic.jpg

w3-sudanevac-a-20131224-870x582.jpg

BceWKPTCUAAfhz5.jpg

BcQXM6jCcAAjxY_.jpg

BcQU2DnCMAA60HQ.jpg

BcQVcFVCUAEP8fz.jpg

BcB_FH8CUAASVOB.jpg

KEAP231213.jpg

BcQVwRnCcAA2J20.jpg
Mimi nilitaka kujua msaada ambao KDF wametoa, thamani yake ni kiasi gani?, Kenya kwa sasa imefilisika haina uwezo wa kutoa msaada wowote wa maana zaidi ya kutaka publicity, kama njaa tu mumeshindwa kuimaliza, vipi mtaweza kutoa msaada mkubwa Kama Tanzania?, acheni kujipiga kifua, Shughulikieni njaa kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilitaka kujua msaada ambao KDF wametoa, thamani yake ni kiasi gani?, Kenya kwa sasa imefilisika haina uwezo wa kutoa msaada wowote wa maana zaidi ya kutaka publicity, kama njaa tu mumeshindwa kuimaliza, vipi mtaweza kutoa msaada mkubwa Kama Tanzania?, acheni kujipiga kifua, Shughulikieni njaa kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya sisi na nyinyi ni nani ambaye anataka publicity, Hakuna nchi nyengine iliotangaza imepeleka madawa kiasi gani wala chakula kiasi ghani, Nyinyi Tanzania mmeanza leo na tayari kiburi kimefika kwa koo eti unataka sasa tuanze kulinganisha misaada iliotolewa na Ke Vs Tz na thamani yake...... What a low human bieng you are!
Kenya itasaidia ndugu zake siku zote, hata kama hatuna kitu sio kama nyinyi mnasadia msimu wa mahindi pekee
 
Back
Top Bottom