KDF seems to be doing a good job . Hongera kwaoMore on KDF in Mozambique
Commander anaeongoza kikosi cha KDF (Second from right -ameshikilia kitabu chekundu)akiwa na ma kamanda wa nchi zengine ambao pia wametuma wanajeshi huko mzambique
Wameenda mikono mitupu, hawakupeleka chochote cha maana zaidi ya kwenda kuuza sura, ndio sababu katika nchi zilizotambuliwa na UN kwamba zimetoa misaada huko Msumbiji, Kenya haijatajwa.Srekali kuu haijatangaza lolote rasmi kama vile nyinyi mlifanya, hizi ni picha zilizo pigwa na KDF waliohuko na wakabandika kwa twitter, Lakini Serekali yenyewe haikusema kitu wakati hao wanajeshi wanatumwa na hadi sasa hakuna lolote limetajwa rasmi na serekali
JWTZ lilimchapa Mreno huko msumbiji, na kumalizia RENAMO bila msaada wa nchi yoyote, juzi JWTZ imepeleka ndege na malori ya vyakula vya msaada katika nchi 3 yenye thamani ya zaidi $4M. Zaidi ya kuuza sura, KDF wamepeleka nini huko Msumbiji?, vipi Zimbabwe na Malawi, mbona hamkwenda, mumeishiwa pumzi?.Tuonyeshwe picha za JWTZ wakiwa msumbiji sio kelele nyingi ya wala chipsi mayai.
Tunajua jwtz haina uwezo wa kifedha kujipeleka huko unless wawe under the UN lakini peke yao afadhali wakabebe mangunia ya koroshow na kuvunja mawe ya quarry ama kuzuia bereau de change kufanya kazi...bure kabisa.
Hahahahahahaha, hukuona midege ya JWTZ inapakia madawa wakati waziri wa mambo ya nchi za nje anatangaza, au umesikiliza Maneno lakini picha hukuziona, au unataka kusema ile clip ni edited?. Angalia ripoti ya UN iliyozitaja na kuzishukuru nchi zilizotoa misaada, Kenya haipo, hii maana yake hamkupeleka chochote zaidi ya wanaeshi wenu dhahifu waliofukuzwa na UN huko South Sudan baada ya kushindwa kazi.mahenda255 wakati tunaleta msaada baada ya tetemeko la ardhi tulikuwa tuna-copy nani?
Nyie hamna jeshi pale msumbiji na hata misaada mliotoa ni mihemko tu hata kiwango hicho kimetiwa hewa kuonekana kingi. Wapi jeshi waoga tz(jwtz) pale msumbiji?
Hata hiyo historia ninyi hamna zaidi ya KDF kutandikwa na Alshababu na kufukuzwa na UN baada ya kushindwa kazi huko South Sudan, mumejipendekeza kwenda Msumbiji lakini UN haiwatambui kama miongoni mwa nchi zilizotoa misaada.joto la jiwe hiyo ni miaka ya kabla wengi wetu tuzaliwe. Kwa sasa nyie ni gofu la mlichokuwa nyakati zile hata fedha zenyewe za kusafirisha kamsaada hako kadogo iliwabidi mtumie ATCL(Tunajuwa jwtz hawana ndege ni watu wa kutembea).
KDF hata madaktari wake wapo pale msumbiji na mashine zake za kazi wakati jwtz inabeba mangunia ya koroshow kwa migongo.
Weka picha za misaada iliyotolewa na Kenya, sio kupeleka wauza sura, kinachoitajika ni vyakula madawa, nguo na malazi, hawana shida ya wanajeshi, wanajeshi wenu wanahitajika Somalia sio Msumbijijoto la jiwe hapa sio kutafuta kiki ni kusaidia so weka picha za wanajeshi wenu pale MSUMBIJI wacha longolongo...picha?
Wewe wivu utakuuaWameenda mikono mitupu, hawakupeleka chochote cha maana zaidi ya kwenda kuuza sura, ndio sababu katika nchi zilizotambuliwa na UN kwamba zimetoa misaada huko Msumbiji, Kenya haijatajwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tanzania ilikua na wanajeshi 6,000, Zimbabwe ilikua na wanajeshi 20,000 mbali na Mozambique yenyewe kua na wanajeshi 80,000... LAkini utakuta mitanzania ikijipiga kifua eti hao ndo walishinda...........JWTZ lilimchapa Mreno huko msumbiji, na kumalizia RENAMO bila msaada wa nchi yoyote, juzi JWTZ imepeleka ndege na malori ya vyakula vya msaada katika nchi 3 yenye thamani ya zaidi $4M. Zaidi ya kuuza sura, KDF wamepeleka nini huko Msumbiji?, vipi Zimbabwe na Malawi, mbona hamkwenda, mumeishiwa pumzi?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kakuambia wanashida na madaktari?, shida ni materials kama dawa, vyakula na sehemu za kuishi, hiyo picha hapo juu hakuna ushahidi wowote kwamba Kenya imetoa msaada, huyo chalii anayepokea huo mfuko wa mbolea ana uhusiano gani na serikali ya Msumbiji?, kawaida msaada hukabidhiwa kwa serikali kwanza, wao ndio wanajua wapi wapeleke.Wewe wivu utakuua
Hii ni mikono mitupu???
Sahii kuna outbreak ya cholera na malaria, Unafikiri ni kina nani wanatibu wagonjwa??
Punguza povu bana!
Kati ya Mozambique na Zimbabwe nani alitangulia kupata uhuru? Nani ali-train Zimbabwe army?Tanzania ilikua na wanajeshi 6,000, Zimbabwe ilikua na wanajeshi 20,000 mbali na Mozambique yenyewe kua na wanajeshi 80,000... LAkini utakuta mitanzania ikijipiga kifua eti hao ndo walishinda...........
Vita kati ya Renamo na Frelimo hakuna aliyeshinda, viliishia katika military stalemate na viliisha baada ya negotiation, Ambapo Kenya ilikua mojawepo wa nchi zilizohusika katika negotiation hata juzi juzi rais wa Mozambique alipokuja Kenya alishukuru kenya kwa kuhusika kwa hio negociation,,,....... Alafu kama kenya haikusaidia huko Inakuaje wa Makonde kutoka Mozambique wanatambulika kama kabila la 43 hapa Kenya???
“We have a long history with Mozambique. As you may know, even during the Mozambican civil war, Kenya played a key role in terms of helping to negotiate between the Mozambique Liberation Front (FRELIMO) and the Resistência Nacional Moçambicana (RENAMO),” https://www.pulselive.co.ke/bi/poli...que-to-try-and-link-the-swahili-coast/xrpbqth
Rais wa Namibia Hage Gottfried Geingob , naye alipokuja Kenya alimualika retd.General wa Kenya army aende akapewe tuzo kwa Niaba ya Kenya kwa kupigania uhuru wa Namibia........ Kumbuka wakati huo Namibia ilikua inapigana na Apatheid South Africa ambayo wengi wenu hua mnapenda kusema Kenya ilikua inaikumbatia
According to Geinob, his country is preparing to award the retired general with the second highest honour as part of appreciation for the sacrifice and contribution he made, along with other Kenyan soldiers, towards Namibia’s liberation struggle.
“Kenya contributed outstanding soldiers to help in safeguarding stability. We invite Opande to come to Namibia to receive the award on behalf of all Kenyans,” said Geinob when he met with President Kenyatta
https://www.standardmedia.co.ke/article/2001305634/namibia-to-decorate-retired-kenyan-general-opande
Awamu hii ya Magu ndio imezorotesha uhusiano wa TZ na +254
Ni watu ambao hawana busara na hawathamini kufikiri ambae anaona chuki yetu na wakenya sio tatizo
Wewe unaumwa sana, eti Msumbiji walikua na wanajeshi 80,000, kama kawaida yenu, kujifanya wajuaji lakini hamna mnalojua.Tanzania ilikua na wanajeshi 6,000, Zimbabwe ilikua na wanajeshi 20,000 mbali na Mozambique yenyewe kua na wanajeshi 80,000... LAkini utakuta mitanzania ikijipiga kifua eti hao ndo walishinda...........
Vita kati ya Renamo na Frelimo hakuna aliyeshinda, viliishia katika military stalemate na viliisha baada ya negotiation, Ambapo Kenya ilikua mojawepo wa nchi zilizohusika katika negotiation hata juzi juzi rais wa Mozambique alipokuja Kenya alishukuru kenya kwa kuhusika kwa hio negociation,,,....... Alafu kama kenya haikusaidia huko Inakuaje wa Makonde kutoka Mozambique wanatambulika kama kabila la 43 hapa Kenya???
“We have a long history with Mozambique. As you may know, even during the Mozambican civil war, Kenya played a key role in terms of helping to negotiate between the Mozambique Liberation Front (FRELIMO) and the Resistência Nacional Moçambicana (RENAMO),” https://www.pulselive.co.ke/bi/poli...que-to-try-and-link-the-swahili-coast/xrpbqth
Rais wa Namibia Hage Gottfried Geingob , naye alipokuja Kenya alimualika retd.General wa Kenya army aende akapewe tuzo kwa Niaba ya Kenya kwa kupigania uhuru wa Namibia........ Kumbuka wakati huo Namibia ilikua inapigana na Apatheid South Africa ambayo wengi wenu hua mnapenda kusema Kenya ilikua inaikumbatia
According to Geinob, his country is preparing to award the retired general with the second highest honour as part of appreciation for the sacrifice and contribution he made, along with other Kenyan soldiers, towards Namibia’s liberation struggle.
“Kenya contributed outstanding soldiers to help in safeguarding stability. We invite Opande to come to Namibia to receive the award on behalf of all Kenyans,” said Geinob when he met with President Kenyatta
https://www.standardmedia.co.ke/article/2001305634/namibia-to-decorate-retired-kenyan-general-opande