KDF in Mozambique

KDF in Mozambique

Kafrican

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
7,251
Reaction score
7,037
Bila mbwembwe na sherehe au tangazo rasmi kwa vyombo vya habari, KDF walitumwa Kwa nchi zilizokumbwa na Cyclone Kule kusini mwa Africa ... walipeleka blankets,madawa na vyenginevyo ikiwemo madaktari ...

KDF in Mozambique

12BB853D-0A29-4D3F-8DE9-24951B210EA8.jpeg
CD1173AC-ED4D-4FE9-8F2C-6DC3D5DA89BC.jpeg
7DFDCF3F-ED61-4634-94F4-26CC21C63246.jpeg
CA9EEEFC-1B06-42C7-B994-BE76569C575B.jpeg
 
Hawa nyang'au wamewashindwa al shabaab sasa wamekimbilia msumbiji kujipendekeza? Ha ha ha kupenda mteremko na mijisifa ya kijinga.
Aiseee, hii nayo kali. Unawaonea wenzako kule Mozambique wivu hadi kwenye msiba? Hutaki wapewe msaada? Mbona hizi nyef nyef zako hukuzileta humu nyanga'u alipowasili Bukoba, tena kabla ya JWTZ, kuwapa msaada wahanga wa lile tetemeko la ardhi miaka kama miwili hivi iliyopita?
image-jpeg.402724
https://www.jamiiforums.com/threads...kutoa-msaada-kwa-wahanga-wa-tetemeko.1116232/
 
Hahahaha, eti KDF wanaweza kutoa msaada?, tuambieni wamepeleka kwa usafiri gani?, kama ni ndege yenye ukubwa gani na tani ngapi ilibeba?, kama ni barabara, walipitia wapi, kwasababu hatujaona msafara wa KDF Ukipata, hii habari ya kutoa box 10 za Blankets za kichina na kuonyesha mumetoa msaada hatutaki kusikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
cd1173ac-ed4d-4fe9-8f2c-6dc3d5da89bc-jpeg.1058537
Boss, mbona hapa naona ni kama wapo kwenye uwanja wa ndege? Kitengo cha KDF, Kenya Airforce wana ndege zao nyingi. Dah! Una roho nyeusi kama ya paka.
Hahahaha, eti KDF wanaweza kutoa msaada?, tuambieni wamepeleka kwa usafiri gani?, kama ni ndege yenye ukubwa gani na tani ngapi ilibeba?, kama ni barabara, walipitia wapi, kwasababu hatujaona msafara wa KDF Ukipata, hii habari ya kutoa box 10 za Blankets za kichina na kuonyesha mumetoa msaada hatutaki kusikia.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo ndio KDF wanajikokota kwenda Mozambique? TPDF wamekuwa hapo tangu siku ya msiba..Haya basi ni sawa tu usaidizi unahitajika Mozambique ila wanajeshi wa kenya wasiende hapo kufanya ngono na waadhiriwa ilivyo kawaida yao
 
Ndege zipi hizo?
Mzee, yaani miaka yote hii bado hujachoka na hizi ligi? Hata kwenye misiba? Kando na ndege za kivita Kenya Airforce(KAF) wana ndege zingine za kijeshi, za transport. Kwa mfano tu, acha nikupe kionjo.
S.I.-DEFENSE-2.png
Hizi C-27J Spartan TMTA(Tactical Military Transport Aircraft) wanazo tatu. Wanazo pia Habrin Y-12, Antonov-An28, Cessna 208 zile DHC-5 Buffalo za zamani pia. Kenya Airforce wana hadi Bombardier Dash8! Kwa ujumla KAF wana takriban ndege 29 za 'transport' na 'utility' tu, bila kuhesabu chopper na zile ndege zingine za kivita.
 
Kikosi hichi maalum kinajulikana kama DRU- disaster response unit na hua kazi yake ni ku kupambana na matokeo baada ya janga, mafunzo yao yanapitia kupambana na biological and chemical weapons na search and recovery , Ebola outbreak, Marburg epidemic, nuclear radiation exposure...etc, Yani hichi ndo kikosi hutumwa kukitokea apocalyptic level worst case scenario
 
Leo ndio KDF wanajikokota kwenda Mozambique? TPDF wamekuwa hapo tangu siku ya msiba..Haya basi ni sawa tu usaidizi unahitajika Mozambique ila wanajeshi wa kenya wasiende hapo kufanya ngono na waadhiriwa ilivyo kawaida yao
Haha..wewe unawaza ngono tu. Tz ilitoa kilo 3 za mahindi na mkebe wa panadol na hakuna mtu hakujua duniani. Wafarisayo wa kizazi hiki
 
Hiu habari ingeleta maantiki ikiwa na tittle "kdf in turkana"usimuige tembo kunya mavi makubwa,utachanika msamba dadadek
FB_IMG_1553181266641.jpeg
FB_IMG_1553181077726.jpeg
 
Haha..wewe unawaza ngono tu. Tz ilitoa kilo 3 za mahindi na mkebe wa panadol na hakuna mtu hakujua duniani. Wafarisayo wa kizazi hiki
Hizo ndizo sifa za KDF, hawafikirii kingine ni ngono tuu..Tunaomba kamanda wao wapatie amri ya kujipiga punyeto wakiwa huko mozambique wasiiletee nchi aibu
 
Hizo ndizo sifa za KDF, hawafikirii kingine ni ngono tuu..Tunaomba kamanda wao wapatie amri ya kujipiga punyeto wakiwa huko mozambique wasiiletee nchi aibu
Hehehehehe zungumzia kuhusu jeshi lenu pia. Wamebaka wanawake wa Congo na watoto wengi sana ndio maana waliharibiwa sura kwa mapanga by Congolese kids.
 
Back
Top Bottom