KDF in Mozambique

KDF in Mozambique

Kati ya sisi na nyinyi ni nani ambaye anataka publicity, Hakuna nchi nyengine iliotangaza imepeleka madawa kiasi gani wala chakula kiasi ghani, Nyinyi Tanzania mmeanza leo na tayari kiburi kimefika kwa koo eti unataka sasa tuanze kulinganisha misaada iliotolewa na Ke Vs Tz na thamani yake...... What a low human bieng you are!
Kenya itasaidia ndugu zake siku zote, hata kama hatuna kitu sio kama nyinyi mnasadia msimu wa mahindi pekee
Point ni kwamba Kenya hamna uwezo wa kutoa msaada, Kama hata chakula bado mnasaidiwa hadi Leo miaka 56 baada ya Uhuru. Nchi zote zinazotoa misaada zinajitangaza, hata ninyi mlipotupatia vile vi blanket vya kichina tulipokumbwa na tetemeko mlitangaza.

Tumepeka msaada wa vyakula, madawa, nguo na blankents "TanzaniAid"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Point ni kwamba Kenya hamna uwezo wa kutoa msaada, Kama hata chakula bado mnasaidiwa hadi Leo miaka 56 baada ya Uhuru. Nchi zote zinazotoa misaada zinajitangaza, hata ninyi mlipotupatia vile vi blanket vya kichina tulipokumbwa na tetemeko mlitangaza.
Tumepeka msaada wa vyakula, madawa, nguo na blankents "TanzaniAid"
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumekusikia sasa bwana majigambo. Kalale . Alamsiki!
 
ha ha Bongolala ni watu wa ajabu, jambo ndogo sasa hatuwezi pumua..
joto la jiwe kw kuteta thuu...hajambo...yani jamaa hz thread za wakenya zinamuumiza kichwa sana...halali bila kutoa povu...big up lkn kijana...nitakuunganisha na jamaa wa online job upige kazi..manake naona unapenda sana ku type
 
Mgagaa na Upwa, KDF wakitoa msaada wa vyakula kwa wahanga wa ukame. http://watsupafrica.com/news/kdf-sh-1-million-food-donation-in-nakuru-county/ Huku wenzao JWTZ wakijifungia kwenye kambi, wakifanya mazoezi ya kujitayarisha kuzuia wapinzani wasiandamane. Eti kwasababu Jiwe alisema wahanga wafanye kazi kwasababu sio CCM ndio ilileta msiba wa tetemeko la ardhi wakati ule kule Bukoba.
Mshaiga kunya kwa tembo? Na msamba wa kutosha lakini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo ndizo sifa za KDF, hawafikirii kingine ni ngono tuu..Tunaomba kamanda wao wapatie amri ya kujipiga punyeto wakiwa huko mozambique wasiiletee nchi aibu

MAT - by the way, I always wondered, hiyo user name yako na picha. I was just curious to know if you support Jubilee and if you like Kikuyus. If so and if you are a man, then here is a wink from a girl 😉

so niambie basi, ni wakikuyu watupenda na jubilee waipenda pia?
 
Jeshi la Tanzania huwezi kulifahamu mpaka uwachokoze na hapo ndipo utaona kilichomtoa kanga manyoya.
Watoto wadogo ndo huongea hivyo.. Inaitwa kujenga nyumba ya makaratasi
 
Tanzanian plane supplied aid and departed! You are nolonger there, wacha next update uangalie ni nchi gani bado zitakua huko!Hapo kwa heading inasema tropical cyclone idai, internationa deployed assets (as of 29th March 2019) . Mlipeleka ndege moja mkaangusha chakula na mkaondoka..... KDF wako on the ground kufanya kazi ngumu zaidi, Search and rescue and recovery, miili ya wafu lazima ipatikane popote ilipo na familia za walio pona wapewe mili wakazike---- hio tayari ni mojawepo ya kazi ngumu sana , Magonjwa nayo lazima yatibiwe, Na hilo eneo lote llililo haribiwa na maji lazima vyoo vijengwe na nyumba zirekebishwe, usafi ufanyike na miundombinu irekebishwe ili maisha yarudi kawaida, hii ni mission inaeza chukua zaidi ya miezi sita!!!!!!
Wote mpo sahihi haina haja ya kulumbana. I recognize effort done by Tanzanians likewise efforts done by Kenyans. Kenya wameplay part yao na Tanzanians wameplay part yao. Sisi sote ni ndugu no need of criticizing each other.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote mpo sahihi haina haja ya kulumbana. I recognize effort done by Tanzanians likewise efforts done by Kenyans. Kenya wameplay part yao na Tanzanians wameplay part yao. Sisi sote ni ndugu no need of criticizing each other.

Sent using Jamii Forums mobile app
This is what a person who is genuinely helping his brother should speak like..... Lakini kuna jamaa wengine hapa ndani wanataka tuanze kulinganisha thamani na impact ya msaada wa Ke Vs TZ kana kwamba ni mashindano ya nani amesaidia zaidi
 
More on KDF in Mozambique

55744405_1606885636122478_4989868789467185152_n.jpg



55560417_1606885669455808_1177578228953382912_n.jpg

55875587_1606885692789139_4088706684225060864_n.jpg

55476666_1606885732789135_2962261264996237312_n.jpg



Commander anaeongoza kikosi cha KDF (Second from right -ameshikilia kitabu chekundu)akiwa na ma kamanda wa nchi zengine ambao pia wametuma wanajeshi huko mzambique
56359321_1606885546122487_4872329231226372096_n.jpg
 
Rubishi sasa kama ingekuwa kimya kimya hizo picha ww umetoa matakoni kwako au

Sent using Jamii Forums mobile app
Srekali kuu haijatangaza lolote rasmi kama vile nyinyi mlifanya, hizi ni picha zilizo pigwa na KDF waliohuko na wakabandika kwa twitter, Lakini Serekali yenyewe haikusema kitu wakati hao wanajeshi wanatumwa na hadi sasa hakuna lolote limetajwa rasmi na serekali
 
Back
Top Bottom