KDF kusafirisha msaada kwa wahanga wa tetemeko la ardhi Tanzania

KDF kusafirisha msaada kwa wahanga wa tetemeko la ardhi Tanzania

I hope and pray our Tanzanian brothers will come out of this stronger. God bless Tanzania!!!
 
Asante, jamaa wananiambia jana usiku walitikiswa kidogo na ikabidi walale nje, jameni inatisha. Vipi naomba wataalam wa haya mambo waniambie kama yanaweza kuhusishwa na zile tests anazozifanya yule kichaa wa Korea Kaskazini, maana alifanya majaribio huko hadi watu wakahisi tetemeko la ardhi.
Tunashukuru wakenya kwa kuguswa kwenu na hili kadhia lililotumba tunatambua sote ni ndugu ndani ya mwavuli wa EAC.
 
Exactly...mimi mwenyewe nahc ni hayo majaribio ndo yamesababisha...na wamesema watafanya mengine...asije tu akaitoboa dunia

Halafu ndio anaendelea kujitayarisha kufanya majaribio zaidi, yule dogo jeuri kweli, cha kushangaza hamna wa kumzingua tena maana hata wagombea urais wa Marekani wa wakati huu ndio kabisa hawasomeki. Mmoja kazimia jana wakati mwengine amekomaa na ukuta wa Mexico.
 
Ni jambo la kawaida na zuri, lakini ni strategic nzuri ya Kenyatta kuondoa sintofaham kwa wakenya kuhusu uhusiano wake na Tanzania lakini , hii sio kwamba wakenya wako juu yetu Bali kulichofanyika ni ujirani mwema tu
 
Ni jambo la kawaida na zuri, lakini ni strategic nzuri ya Kenyatta kuondoa sintofaham kwa wakenya kuhusu uhusiano wake na Tanzania lakini , hii sio kwamba wakenya wako juu yetu Bali kulichofanyika ni ujirani mwema tu

Nina mashaka na umri wako wewe, hapa hamna anayeongea masuala ya nani yuko juu ya nani. Mbona huna aibu unapoleta ligi kwa issue kama hii. Jifunze kitu kutoka kwa Watanzania wenzako humu,.

Wewe binafsi unahusika vipi katika kuwasaidia hao wahanga, au ndio umeshiba ubwabwa kitaani hadi unatoa ushuzi na kubweteka.

Huu ni wakati wa majonzi na sote tunaungana pamoja, hili tetemeko tumelihisi hadi Kenya japo halikubomoa, hivyo ina maana halina mipaka ya nchi na linaweza kuibuka popote hadi hapo ulipo. Ukikua kiumri utafaidika sana.
 
Nina mashaka na umri wako wewe, hapa hamna anayeongea masuala ya nani yuko juu ya nani. Mbona huna aibu unapoleta ligi kwa issue kama hii. Jifunze kitu kutoka kwa Watanzania wenzako humu,.

Wewe binafsi unahusika vipi katika kuwasaidia hao wahanga, au ndio umeshiba ubwabwa kitaani hadi unatoa ushuzi na kubweteka.

Huu ni wakati wa majonzi na sote tunaungana pamoja, hili tetemeko tumelihisi hadi Kenya japo halikubomoa, hivyo ina maana halina mipaka ya nchi na linaweza kuibuka popote hadi hapo ulipo. Ukikua kiumri utafaidika sana.
Hata Mimi Nina was was na umri wako ,

Tuko hapa baada ya siku mbili tatu utakuja na huu Uzi kama reference ya Kenya kuisaidia Tanzania

Alichofanya Kenyatta ni kurudisha , Mahusiano ambayo kimsingi kila siku mnalalamika kwenye mitandao yenu
 
This is how leave despite our difference once such disaster affect our neighbour we have to show our neighbourhood. We thank you President Uhuru for your heart felt. You are a good friend .
 
Something to learn from our lovely and highly appreciated Mr. President UHURU KENYATA we really appreciate your support Honorable.
Thanks a lot Brother!!, Thank you Kenya!!
 
Ni sisi tu humu jf tunaojua au kuzifahamu hizo tofauti kati ya tz na ke na hatuzidi hata 300000 lakini kuna mamilioni huko nje ya jf hawajui hayo

Tusaidiane kwenye matatizo
 
Back
Top Bottom