A
Aliiba nini ndg yang...??? Alimuua nan...??? Huwez kuongelea wizi kipind cha JPM huko n kulogwa na pesa unazokula za kumchafua CHUMA.
Aliiba kitu gan au ufisadi gan yan... Ivi ukila pesa za kumchafua JPM ndio inabid kuwa na roho ya upofu kwa kias hicho... Waambie wakuongez mshahar kwa maan hiyo kaz n ngum sn.
Uvccm wezi sn wanatajana, kifaa cha milion 20 wananunua kwa 170 milions, ngorongoro imeuzwa kwa UAE na masai wanaondolewa, tozo kila kitu, mifumuko ya bei, maisha magumu, uongoz wa ovyo, safar zisizo na tija, usaliti uliokithiri, kesi za mchongo kwa viongozi wa upinzan, kuharibu vyama pinzan mfn NCCR
Huo kwako ndio uongozi, mikopo mpk nchi imewekwa mstari wa hatari na hakuna lolote la maana linafanyika... Shenzi kbsa
JPM hastahili hata kutamkwa na wajinga na mahaini kama nyie