Kebehi dhidi ya Nyerere na Magufuli, ni ishara Watanzania wana uelewa mdogo. Viongozi hawa wajengewe kumbukizi

Yaani Nyerere unamfananisha na mambo ya ajabu?
[emoji34][emoji34][emoji34]
 
Hamuoni hata aibu kumfananisha Nyerere na Magufuli, hakuna anayemkebehi Nyerere ila magufuli anastahili kukebehiwa kwa sana
 
Yaani umfananishe Nyerere na hili jitu jizi uaji tekaji mwenye Kariba ya akina Makonda na Sabaya? Jitu amabalo linahonga nyumba ya Serikali kwa demu wake na kuvunja KATIBA ya nchi na kuogelea ktk rushwa,
Nyerere alikuwa na mapungufu yake lakini huwez mlinganisha na takataka hizi.
 
Unaota.....
 
Mkuu wacha kumkosea baba yetu wa taifa kwa kumweka kundi moja ama kumfananisha na vituko. Legacy yake ii hai, huyu mwingine alishasahaulika.
 
Wa Tanzania tuache unafiki. pamoja na Udikteta wake Yapo mambo makubwa aliyofanya Magufuli. Au mnataka kumuondoa katika fikra za WaTz ili wengine waonekane leo kuwa wanafaa? Mtoa mada anatukumbusha haya.
Nyie mnaomkosoa Magufuli Yote maslahi tuu!
 
Nchi hii inawajinga wengi sana nandio maana tunachelewa kwa sababu ya kuwa na watu vilaza kama baadhi ya wachangiaji hapo juu.

Magu anakubalika 24/7 na wananchi kwa mamilioni, na wengi hawana access JF.
Nyerere alikuwa muoga kwa mabeberu Magu hakumuogopa mtuyoyote linaokuja swala la maslah ya nchi hata ccm wenzake wanajua.
 
Anayemkebehi Nyerere hajielewi ila anayemfananisha Magufuri na Nyerere huyo ni mfu wa mawazo.
 
Anakubalika kwa sukuma gang na wajinga wenzie kama wewe lakini wenye akili hata siku moja hawamkubali Magufuri.
 
Nyerere alikuwa mwongo mwongo.by Tindu lissu, upinzani wa tanzania pasua kichwa,unatembea na upepo.
 
Wa Tanzania tuache unafiki. pamoja na Udikteta wake Yapo mambo makubwa aliyofanya Magufuli. Au mnataka kumuondoa katika fikra za WaTz ili wengine waonekane leo kuwa wanafaa? Mtoa mada anatukumbusha haya.
Nyie mnaomkosoa Magufuli Yote maslahi tuu!
Mengi aliyafanya chato. Wengine sisi tutamkumbuka kwa msala aliotuachia wa mamikopo ya ovyo ya matilioni ya shilingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…