Kumbuka Kuna kitu kinaitwa propagandaMagufuli gani? Huyu aliyeongoza ufisadi wa manunuzi yasiyofuata tender process wala bajeti?
Alijiuzuru baada Sera yake ya ujamaa kushindwa.Wew kibwetele ulishawahi ona dikteta anaachia uongozi kwa hiari yake au umeshiba magimbi huko unakuja kuropoka. Nyerere alikuwa na mapungufu yake lakini huwez mlinganisha na pimbi Kama huyo mla rushwa fisadi mkuu.
Kwa hiyo Magufuli alinganishwe na Nyerere. Hata wewe kuna mazuri umefanya lakini hulinganishwi na nyerere. Au ni kwa sababu wote walikuwa marais? Msome na msikilize Nyerere na kamwe hutamlinganisha na huyo.Nchi hii inawajinga wengi sana nandio maana tunachelewa kwa sababu ya kuwa na watu vilaza kama baadhi ya wachangiaji hapo juu.
Magu anakubalika 24/7 na wananchi kwa mamilioni, na wengi hawana access JF.
Nyerere alikuwa muoga kwa mabeberu Magu hakumuogopa mtuyoyote linaokuja swala la maslah ya nchi hata ccm wenzake wanajua.
Kuchukiwa kwa nyerere na magufuli kuna simamiwa na watz wa asili ya KIARABU NA KIINDI wakishilikiana na team yao ambayo ni team msoga ...Habari,
Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.
Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?
Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.
Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!
View attachment 2237718
View attachment 2237721
Kila mtu anavigezo vyake vya kulinganisha mambo, mimi naona kuna baadhi ya mambo na sera wanalingana japoMagu alikuwamkali zaidi na hakutaka siasa za kijinga kwenye ukweli.Kwa hiyo Magufuli alinganishwe na Nyerere. Hata wewe kuna mazuri umefanya lakini hulinganishwi na nyerere. Au ni kwa sababu wote walikuwa marais? Msome na msikilize Nyerere na kamwe hutamlinganisha na huyo.
Kumbe!?!! Aisee hii ni mbaya sana!Kuchukiwa kwa nyerere na magufuli kuna simamiwa na watz wa asili ya KIARABU NA KIINDI wakishilikiana na team yao ambayo ni team msoga ...
Zungu
Rostam
Gsm
Manji
Abood
Singasinga wa pesa za rumbesa
Kikwete
Riziwani
Yussuf makamba na mtoto wake
Kinana
Nape
Muhongo
Sa100
Hao wamepanga kuwa hotuba za nyerere wala za magufuli zisisikike popote tz
Kuna wanaotaka Magu alaaniwe hahahaKuchukiwa kwa nyerere na magufuli kuna simamiwa na watz wa asili ya KIARABU NA KIINDI wakishilikiana na team yao ambayo ni team msoga ...
Zungu
Rostam
Gsm
Manji
Abood
Singasinga wa pesa za rumbesa
Kikwete
Riziwani
Yussuf makamba na mtoto wake
Kinana
Nape
Membe
Muhongo
Sa100
Hao wamepanga kuwa hotuba za nyerere wala za magufuli zisisikike popote tz
Watu walizoea kubembelezwaKila mtu anavigezo vyake vya kulinganisha mambo, mimi naona kuna baadhi ya mambo na sera wanalingana japoMagu alikuwamkali zaidi na hakutaka siasa za kijinga kwenye ukweli.
Nyerere alikuwa na akili za kipekee kuwahi kutokea Africa. Bila yeye huwezi kujivunia Tanzania, for me shida ni kuwa alijijua kuwa ni Genius na akawatukana watu wake kwa akili kubwa nao hawakushtuka mpaka anazikwa nayo ni hiiYote yalikuwa madikteta tupu
Kuna watu mmevurugwa ...yaani unalinganisha Nyerere na Magufuli, Seriously!Habari,
Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.
Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?
Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.
Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!
View attachment 2237718
View attachment 2237721
Hii kufuru jamani unamlinganisha shetani mkuu Lucifer na mtu aliye kwenye mchakato wa kutangazwa mtakatifu? Ukatubu dhambi hii ya mautiHabari,
Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.
Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?
Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.
Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!
View attachment 2237718
View attachment 2237721
Nenda kamjengee wewe huko kijijini kwenu, sanamu la udongo wa kichuguuHabari,
Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.
Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?
Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.
Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!
View attachment 2237718
View attachment 2237721
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe mtoa mada mwondoe Nyerere kwenye hilo andiko lako tafadhali. Kumuweka pamoja na Magufuli muuaji, mwizi, mwongo, mnyang'anyi ni KUMTUKANISHA baba wa Taifa.
Nyerere hii anaongelewa na calible za akina Nelson Mandela, Nkrumah, Mahatma Gandhi nk.
Magufuli mjadili kwenye mada za akina Iddi Amin Dada, Mobutu Seseseko, Nguema na Bokassa
Anamuweka Nyerere na yule mwenye file la MirembeMleta hoja acha kabisa kumweka kipenzi chetu Nyerere na huyo mtu wenu!
Tena koma kama ulivyokoma titi la mama yako! ebo!
Unamweka Baba mwenye hekima, busara na akili na huyo mtu wenu? RIP Mwalimu Nyerere.
Huu ni uwongo wa mchana! UDINI hakunaKuchukiwa kwa nyerere na magufuli kuna simamiwa na watz wa asili ya KIARABU NA KIINDI wakishilikiana na team yao ambayo ni team msoga ...
Zungu
Rostam
Gsm
Manji
Abood
Singasinga wa pesa za rumbesa
Kikwete
Riziwani
Yussuf makamba na mtoto wake
Kinana
Nape
Membe
Muhongo
Sa100
Hao wamepanga kuwa hotuba za nyerere wala za magufuli zisisikike popote tz
Wewe utakuwa na kichaa..au mlikutana wote mirembeTIME IS THE ULTIMATE TRUTH TELLER .siku Moja mtakuja jua ukweli kuhusu JPM.
Umefafanua vyema.Nyerere alikuwa na akili za kipekee kuwahi kutokea Africa. Bila yeye huwezi kujivunia Tanzania, for me shida ni kuwa alijijua kuwa ni Genius na akawatukana watu wake kwa akili kubwa nao hawakushtuka mpaka anazikwa nayo ni hii
Alikuwa akihubiri "Chama kushika hatamu"
"Hatamu" maana yake ni kamba za kuongozea "farasi"
"Chama" ni nani au ni yeye maana ndo alikuwa mwenyekiti wa Tanu
"Hatamu" ni kamba inayonyoosha farasi naona hatamu alimaanisha jeshi, magereza, Polisi , bunge mahakama nk
Swali Je "Farasi" wanaoonyooshwa na kamba (hatamu) ambazo chama (yeye) kimeshika ni nani?
Je yeye ndo chama akiwa amepanda farasi (raia) anawanyoosha kwa kuvuta kamba (hatamu)
Je "Farasi" ni nani?? aliomaanisha wanaonyooshwa na hatamu zilizoshikwa na chama?
je aliwaona raia wake kama farasi?
its true baba yetu alikuwa dikteta maana hakukubali kupingwa na mtu akidhani yeye pekee ndo alikuwa na akili kumbe uwongo!
moja ya sababu za umaskini uliopo leo Tanzania ni sababu ya siasa ya ujamaa ambayo aliitekeleza kwa mhemko bila hakuifahamu kiundani!!
kimfumo nchi hutakiwa kuanzia Capitalism na kuwa tajiri kisha ndo inaingia ujamaa then ujima, yeye akaruka stage akaanzia katikati Socialism huyo akatumbukia shimoni!!
Magufuli alinganishwe na wanyonge, wale aliowaambia wasije barabarani na mavi yao!Kuchukiwa kwa nyerere na magufuli kuna simamiwa na watz wa asili ya KIARABU NA KIINDI wakishilikiana na team yao ambayo ni team msoga ...
Zungu
Rostam
Gsm
Manji
Abood
Singasinga wa pesa za rumbesa
Kikwete
Riziwani
Yussuf makamba na mtoto wake
Kinana
Nape
Membe
Muhongo
Sa100
Hao wamepanga kuwa hotuba za nyerere wala za magufuli zisisikike popote tz