Kebehi dhidi ya Nyerere na Magufuli, ni ishara Watanzania wana uelewa mdogo. Viongozi hawa wajengewe kumbukizi

Kebehi dhidi ya Nyerere na Magufuli, ni ishara Watanzania wana uelewa mdogo. Viongozi hawa wajengewe kumbukizi

Nchi hii inawajinga wengi sana nandio maana tunachelewa kwa sababu ya kuwa na watu vilaza kama baadhi ya wachangiaji hapo juu.

Magu anakubalika 24/7 na wananchi kwa mamilioni, na wengi hawana access JF.
Nyerere alikuwa muoga kwa mabeberu Magu hakumuogopa mtuyoyote linaokuja swala la maslah ya nchi hata ccm wenzake wanajua.
Kwa hiyo Magufuli alinganishwe na Nyerere. Hata wewe kuna mazuri umefanya lakini hulinganishwi na nyerere. Au ni kwa sababu wote walikuwa marais? Msome na msikilize Nyerere na kamwe hutamlinganisha na huyo.
 
Habari,

Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.

Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?

Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.

Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!

View attachment 2237718
View attachment 2237721
Kuchukiwa kwa nyerere na magufuli kuna simamiwa na watz wa asili ya KIARABU NA KIINDI wakishilikiana na team yao ambayo ni team msoga ...
Zungu
Rostam
Gsm
Manji
Abood
Singasinga wa pesa za rumbesa
Kikwete
Riziwani
Yussuf makamba na mtoto wake
Kinana
Nape
Membe
Muhongo
Sa100
Hao wamepanga kuwa hotuba za nyerere wala za magufuli zisisikike popote tz
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Kwa hiyo Magufuli alinganishwe na Nyerere. Hata wewe kuna mazuri umefanya lakini hulinganishwi na nyerere. Au ni kwa sababu wote walikuwa marais? Msome na msikilize Nyerere na kamwe hutamlinganisha na huyo.
Kila mtu anavigezo vyake vya kulinganisha mambo, mimi naona kuna baadhi ya mambo na sera wanalingana japoMagu alikuwamkali zaidi na hakutaka siasa za kijinga kwenye ukweli.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Nyerere na JPM ni viongozi waliojali wananchi wake hasa wale waliokuwa wananchi wa kawaida!,
Wezi na mafisadi ndo wanawatukana na wana uwelewa mdogo!,
Mwenyezi Mungu awarehemu na walale mahali pema PEPONI,
AMINA
 
Kuchukiwa kwa nyerere na magufuli kuna simamiwa na watz wa asili ya KIARABU NA KIINDI wakishilikiana na team yao ambayo ni team msoga ...
Zungu
Rostam
Gsm
Manji
Abood
Singasinga wa pesa za rumbesa
Kikwete
Riziwani
Yussuf makamba na mtoto wake
Kinana
Nape
Muhongo
Sa100
Hao wamepanga kuwa hotuba za nyerere wala za magufuli zisisikike popote tz
Kumbe!?!! Aisee hii ni mbaya sana!
 
Kuchukiwa kwa nyerere na magufuli kuna simamiwa na watz wa asili ya KIARABU NA KIINDI wakishilikiana na team yao ambayo ni team msoga ...
Zungu
Rostam
Gsm
Manji
Abood
Singasinga wa pesa za rumbesa
Kikwete
Riziwani
Yussuf makamba na mtoto wake
Kinana
Nape
Membe
Muhongo
Sa100
Hao wamepanga kuwa hotuba za nyerere wala za magufuli zisisikike popote tz
Kuna wanaotaka Magu alaaniwe hahaha
 
Kila mtu anavigezo vyake vya kulinganisha mambo, mimi naona kuna baadhi ya mambo na sera wanalingana japoMagu alikuwamkali zaidi na hakutaka siasa za kijinga kwenye ukweli.
Watu walizoea kubembelezwa
 
Yote yalikuwa madikteta tupu
Nyerere alikuwa na akili za kipekee kuwahi kutokea Africa. Bila yeye huwezi kujivunia Tanzania, for me shida ni kuwa alijijua kuwa ni Genius na akawatukana watu wake kwa akili kubwa nao hawakushtuka mpaka anazikwa nayo ni hii

Alikuwa akihubiri "Chama kushika hatamu"

"Hatamu" maana yake ni kamba za kuongozea "farasi"

"Chama" ni nani au ni yeye maana ndo alikuwa mwenyekiti wa Tanu

"Hatamu" ni kamba inayonyoosha farasi naona hatamu alimaanisha jeshi, magereza, Polisi , bunge mahakama nk

Swali Je "Farasi" wanaoonyooshwa na kamba (hatamu) ambazo chama (yeye) kimeshika ni nani?

Je yeye ndo chama akiwa amepanda farasi (raia) anawanyoosha kwa kuvuta kamba (hatamu)

Je "Farasi" ni nani?? aliomaanisha wanaonyooshwa na hatamu zilizoshikwa na chama?

je aliwaona raia wake kama farasi?

its true baba yetu alikuwa dikteta maana hakukubali kupingwa na mtu akidhani yeye pekee ndo alikuwa na akili kumbe uwongo!

moja ya sababu za umaskini uliopo leo Tanzania ni sababu ya siasa ya ujamaa ambayo aliitekeleza kwa mhemko bila kuifahamu kiundani!!

Ukisoma kule uzunguni somo linaitwa "Development Classics" unaelezwa kimfumo nchi hutakiwa kuanzia Capitalism na kuwa tajiri kisha ndo inaingia ujamaa then ujima, yeye Nyerere akaruka stage akaanzia katikati Socialism yake akimuiga Lenin huyo akatumbukia shimoni!!
 
Habari,

Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.

Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?

Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.

Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!

View attachment 2237718
View attachment 2237721
Kuna watu mmevurugwa ...yaani unalinganisha Nyerere na Magufuli, Seriously!
 
Habari,

Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.

Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?

Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.

Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!

View attachment 2237718
View attachment 2237721
Hii kufuru jamani unamlinganisha shetani mkuu Lucifer na mtu aliye kwenye mchakato wa kutangazwa mtakatifu? Ukatubu dhambi hii ya mauti
 
Habari,

Nimekuwa nikipitia mitandao mingi ya Kijamii wachangiaji wakitoa maneno ya kashfa na kuudhi dhidi ya hawa viongozi wetu, ingawa ukipita mitaani hali ni tofauti na kwenye hii mitandao.

Swali ni kwamba kuna vijana huwa wana ajiriwa kwa shughuli hii chafu?

Mwalimu Nyerere na Magufuli ni Marais PEKEE waliopambana na kuhubiri kupinga Ufisadi wazi wazi bila kuogopa, kifupi hizi kebehi na kwamba watu wengi hawafuatilii mambo ila wanafuata mkumbo kama wangeelewa tusingeona haya mambo.

Je, kwa namna walivyojipambanua kupambana na Ufisadi na kuwa Wazalendo kuna haja ya kuweka Sanamu zao pale Dodoma kama Ishara ya Uzalendo? Vijana tukipita tupate hamasa!

View attachment 2237718
View attachment 2237721
Nenda kamjengee wewe huko kijijini kwenu, sanamu la udongo wa kichuguu
 
Wewe mtoa mada mwondoe Nyerere kwenye hilo andiko lako tafadhali. Kumuweka pamoja na Magufuli muuaji, mwizi, mwongo, mnyang'anyi ni KUMTUKANISHA baba wa Taifa.

Nyerere hii anaongelewa na calible za akina Nelson Mandela, Nkrumah, Mahatma Gandhi nk.

Magufuli mjadili kwenye mada za akina Iddi Amin Dada, Mobutu Seseseko, Nguema na Bokassa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuchukiwa kwa nyerere na magufuli kuna simamiwa na watz wa asili ya KIARABU NA KIINDI wakishilikiana na team yao ambayo ni team msoga ...
Zungu
Rostam
Gsm
Manji
Abood
Singasinga wa pesa za rumbesa
Kikwete
Riziwani
Yussuf makamba na mtoto wake
Kinana
Nape
Membe
Muhongo
Sa100
Hao wamepanga kuwa hotuba za nyerere wala za magufuli zisisikike popote tz
Huu ni uwongo wa mchana! UDINI hakuna
Mmeanza kumhalalisha shetani kwa kumlinganisha na mwenyeheri Nyerere!!! Lile shetani halisafishiki hata ukilificha kwapani mwa malaika ni shetani tu!
 
Nyerere alikuwa na akili za kipekee kuwahi kutokea Africa. Bila yeye huwezi kujivunia Tanzania, for me shida ni kuwa alijijua kuwa ni Genius na akawatukana watu wake kwa akili kubwa nao hawakushtuka mpaka anazikwa nayo ni hii

Alikuwa akihubiri "Chama kushika hatamu"

"Hatamu" maana yake ni kamba za kuongozea "farasi"

"Chama" ni nani au ni yeye maana ndo alikuwa mwenyekiti wa Tanu

"Hatamu" ni kamba inayonyoosha farasi naona hatamu alimaanisha jeshi, magereza, Polisi , bunge mahakama nk

Swali Je "Farasi" wanaoonyooshwa na kamba (hatamu) ambazo chama (yeye) kimeshika ni nani?

Je yeye ndo chama akiwa amepanda farasi (raia) anawanyoosha kwa kuvuta kamba (hatamu)

Je "Farasi" ni nani?? aliomaanisha wanaonyooshwa na hatamu zilizoshikwa na chama?

je aliwaona raia wake kama farasi?

its true baba yetu alikuwa dikteta maana hakukubali kupingwa na mtu akidhani yeye pekee ndo alikuwa na akili kumbe uwongo!

moja ya sababu za umaskini uliopo leo Tanzania ni sababu ya siasa ya ujamaa ambayo aliitekeleza kwa mhemko bila hakuifahamu kiundani!!

kimfumo nchi hutakiwa kuanzia Capitalism na kuwa tajiri kisha ndo inaingia ujamaa then ujima, yeye akaruka stage akaanzia katikati Socialism huyo akatumbukia shimoni!!
Umefafanua vyema.
 
Kuchukiwa kwa nyerere na magufuli kuna simamiwa na watz wa asili ya KIARABU NA KIINDI wakishilikiana na team yao ambayo ni team msoga ...
Zungu
Rostam
Gsm
Manji
Abood
Singasinga wa pesa za rumbesa
Kikwete
Riziwani
Yussuf makamba na mtoto wake
Kinana
Nape
Membe
Muhongo
Sa100
Hao wamepanga kuwa hotuba za nyerere wala za magufuli zisisikike popote tz
Magufuli alinganishwe na wanyonge, wale aliowaambia wasije barabarani na mavi yao!
 
Back
Top Bottom