Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Ni lini Watanzania tutakuja kuelewa kwamba hakuna kitu cha bure? Yaani Mchina atoke kwao aje kukujengea wewe Bandari kwa lipi hasa?
Inanikimbusha Mji wa Kigamboni kwamba USA wanakuja kujenga Mji wa kisasa Kigamboni, USA wachukue fedha za walipa kodi wao wakujengee wewe Mji, kwa lipi haswa?
Ni lini tutaelewa kwa nchi inajengwa na wenye nchi?
Malizeni Bwawa la Nyerere > 2000 MW acheni kujidanganya.
Inanikimbusha Mji wa Kigamboni kwamba USA wanakuja kujenga Mji wa kisasa Kigamboni, USA wachukue fedha za walipa kodi wao wakujengee wewe Mji, kwa lipi haswa?
Ni lini tutaelewa kwa nchi inajengwa na wenye nchi?
Malizeni Bwawa la Nyerere > 2000 MW acheni kujidanganya.