Kelele zikiwa nyingi na kuwazomoea Bodi Kwa Maamuzi ya Kijinga, msije kushangaa Yanga anapewa Point 3 maana washaanza kuraruana tayar.

Kelele zikiwa nyingi na kuwazomoea Bodi Kwa Maamuzi ya Kijinga, msije kushangaa Yanga anapewa Point 3 maana washaanza kuraruana tayar.

Wasipokuelewa hapa ndiyo basi tena wameshindikana.

Hakuna hata picha inayoonyesha Yanga waliingia uwanjani na jezi rasmi ya mechi halafu wapo huku mitandaoni wanabwabwaja wapewe pwenti 3 za buru

Wasipokuelewa hapa ndiyo basi tena wameshindikana.

Hakuna hata picha inayoonyesha Yanga waliingia uwanjani na jezi rasmi ya mechi halafu wapo huku mitandaoni wanabwabwaja wapewe pwenti 3 za bure.
kuna shida kubwa sana ukiwa mshabiki maandazi wa hizi timu mkuu, hata kama jambo lipo wazi kabisa lkn halitaeleweka kabisa kw sbb ya ushabiki
Wasipokuelewa hapa ndiyo basi tena wameshindikana.

Hakuna hata picha inayoonyesha Yanga waliingia uwanjani na jezi rasmi ya mechi halafu wapo huku mitandaoni wanabwabwaja wapewe pwenti 3 za bure.
 
Back
Top Bottom