Kelele zikiwa nyingi na kuwazomoea Bodi Kwa Maamuzi ya Kijinga, msije kushangaa Yanga anapewa Point 3 maana washaanza kuraruana tayar.

Kelele zikiwa nyingi na kuwazomoea Bodi Kwa Maamuzi ya Kijinga, msije kushangaa Yanga anapewa Point 3 maana washaanza kuraruana tayar.

Nyie mnaosema simba hawans makosa,wamefanya maandalizi wiki nzima,meneja wa uwanja kuwakatalia wasiingie ndiyo sababu ya kukataa kucheza? Kwani uwanja hawaujui? Umebadilika? Azim dewji alishaanza kumlalamikia refa aliepangwa kwamba atawaonea,kwa kifupi simba walipanga kutokucheza mechi.
Acha kukurupuka, mpira huu siyo wa makaratasi, una kanuni kasome uache mazoea.
 
Bodi ya Ligi huu unaweza kua uzi wenu wakupata mawazo kutoka kwa umma.
 
Simba wana akili kuliko wote kwenye mpira huu, ila kwakuwa huko wenye akili wawili mnaona kila wakifanyacho simba wanakrupuka.

NARUDIA TENA

"" TAASISI YA SIMBA IMEKAMILIKA KILA IDARA, NA NI DUDE KUBWA MNOOOOO""


Subirini tuwapangie tarehe mje tuwakande fullstops
Oky umeonekana Asante Kwa Mchango wako.
 
Nyie mnaosema simba hawans makosa,wamefanya maandalizi wiki nzima,meneja wa uwanja kuwakatalia wasiingie ndiyo sababu ya kukataa kucheza? Kwani uwanja hawaujui? Umebadilika? Azim dewji alishaanza kumlalamikia refa aliepangwa kwamba atawaonea,kwa kifupi simba walipanga kutokucheza mechi.
Kama mlijua walipanga si mngewaruhusu waingie uwanjani kupiga tizi ili wasipate sababu?
 
Ni wazi kolo kala kona , walianza kugomea marefa, juzi wakafanya ambush uwanjani, wakaenda na waandishi wao kabisa si ajabu hata hao mabounsa ni wao.
Mwanzo mlikuwa mnasema simba kwa nini afanye mazoezi usiku, ooh kwani siku zote hawajafanya mazoezi, sasa hivi mmejua kanuni inawalalia mnaanza kujitoa kwa kuwabambikia mabaunsa kuwa siyo wa kwenu, asiye wajua nani wakati kila siku mnasafiri nao ktk kila mechi na sura zao zinaonekana. Technolojia ipo ndugu acheni kujificha ktk shamba la karanga.
 
Mwanzo mlikuwa mnasema simba kwa nini afanye mazoezi usiku, ooh kwani siku zote hawajafanya mazoezi, sasa hivi mmejua kanuni inawalalia mnaanza kujitoa kwa kuwabambikia mabaunsa kuwa siyo wa kwenu, asiye wajua nani wakati kila siku mnasafiri nao ktk kila mechi na sura zao zinaonekana. Technolojia ipo ndugu acheni kujificha ktk shamba la karanga.
Punguza jazba, leta timu mechi ikipangwa tena la sivyo mnafatwa hukohuko bunju.

Zoezi la dk 30 ndio lifanye ushindwe kucheza mechi, koro kala kona hilo liko wazi, hamna cha mabaunsa wala mabodyguard.

Yaani simba ya wale wang'oa viti washindwe kuingia uwanjani hapo, no janjajanja za kukimbia kipigo hizo.
 
Mpira wetu una siasa nyingi utashangaa MAZA anasema mbugi lipigwe sasa nani atabisha? Uliona ishu ya UGALI SUKARI ilivyomalizwa?
Ndio siasa zenyewe hizo, mambo ya kikanuni yanaamuliwa kimamlaka.
 
Soma kanuni ya 17 (45), 23 na 31 uelewe. Kama mlizoea mazoea ya blaablaa sasa fuateni kanuni. Yanga walifanya maksudi wakijua simba ataondoka na watacheza ili baadae wao walipe faini ya 5ml kama ambavyo mechi zote za derby wameadhibiwa kwa kukiuka kanuni maksudi hasa kuhusiana na ushirikina. Simba sasa ameona asimamie kanuni vilivyo.
Hiyo kanuni inatambua ushirikina? Onesha kanuni inayosema timu ikizuiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja wa ugenini mechi inahairishwa.
 
Nyie mnaosema simba hawans makosa,wamefanya maandalizi wiki nzima,meneja wa uwanja kuwakatalia wasiingie ndiyo sababu ya kukataa kucheza? Kwani uwanja hawaujui? Umebadilika? Azim dewji alishaanza kumlalamikia refa aliepangwa kwamba atawaonea,kwa kifupi simba walipanga kutokucheza mechi.
Simba waliyajua mapungufu yao na ya bodi ya Ligi, Simba SC kama taasisi Wana kesi ya kujibu walikulupuka kutoa taarifa ya kuto shiriki mtandaoni badala ya kuwasiliana na mamlaka husika kwakifupi hawakuwa makini, (not smart)

Je TFF na Bodi ya Ligi wana weledi wa kusimamia Ligi yetu ama wako kama sanamu hivi- figure heads

Viongozi wa TFF hawana elimu ya ujasiriamali wanaendesha shirikisho kama familia ama ndondo cup najaribu kuangalia hasara ya matangazo na maandalizi ya mchezo husika pamoja na gharama za mashabiki na makundi ya football scouting
 
Na ni yupi anatakiwa maagizo yake ndo yafuatwe? Bodi wamsikilize Simba au Simba amsikilize bodi? Wao wangeacha taratibu ziendelee, muda wa mechi ufike halafu Simba wasitokee wawape alama Uto. Saivi wawape Yanga alama 3 kwa kigezo cha wao kutangaza hawachezi, kanuni/taratibu/sheria zinasema timu ipewe alama kama timu haijafika uwanajani au kama imetangaza haitofika?
Kosa hili huenda limesababishwa na maagizo kutoka juu kwani kukosa mazoezi ya saa moja si sawa na wachezaji kupata ajali mbaya.Bodi imeingizwa mkenge na yanga ana haki ya point na mitano tena
 
Hiyo kanuni inatambua ushirikina? Onesha kanuni inayosema timu ikizuiwa kufanya mazoezi kwenye uwanja wa ugenini mechi inahairishwa.
Soma vizuri kanuni ya 31 inatoa mwanya wa timu kugomea, ndiyo inasema ikiwa timu itagomea "bila sababu ya msingi inayokubaliwa na tff" huu ina maana kuwa mchezo unaweza kutochezwa ikiwa tu kutakuwa na sababu ya kikanuni inayokubaliwa na tff.
 
Soma vizuri kanuni ya 31 inatoa mwanya wa timu kugomea, ndiyo inasema ikiwa timu itagomea "bila sababu ya msingi inayokubaliwa na tff" huu ina maana kuwa mchezo unaweza kutochezwa ikiwa tu kutakuwa na sababu ya kikanuni inayokubaliwa na tff.
Kwenye hizo kanuni wapi wapenzi wa mpira wanalindwa? Yaani watu wapoteze muda na pesa kusafiri kutoka Zambia alafu mechi isichezwe kisa kuna timu imezuiwa kufanya mazoezi ya dakika 30.
 
Wewe ndiyo unakurupuka bila kuzisoma kanuni kwa kina. Soma kanuni ya 31 inatoa mwanya wa timu kugomea mchezo ikiwa kuna sababu inayokubalika kikanuni.
Naomba hiko kifungu cha kanuni mkuu kama hutajali. Natanguliza shukrani.
 
Wewe ndiyo unakurupuka bila kuzisoma kanuni kwa kina. Soma kanuni ya 31 inatoa mwanya wa timu kugomea mchezo ikiwa kuna sababu inayokubalika kikanuni.
Naomba hiko kifungu cha kanuni mkuu kama hutajali. Natanguliza shukrani.
 
kwa hiyo Baada ya kughairisha wakaacha wazi mpaka jioni?
Na yanga nao licha ya mechi kughairishwa wakaenda hivyo wakiwa wanajua hakuna maofisa wa mchezo,marefa wala watu wa bodi ya ligi?
kama ni hivyo Haji manara Apewe hadhi ya udokta wa maono.
Rage ashapewa PhD
 
Back
Top Bottom