Kelvin John (Mbape) alimkosea nini coach Adel Amrouch?

Kelvin John (Mbape) alimkosea nini coach Adel Amrouch?

Coach wa Taifa stars hajamujuisha mshambuliaji hatari wa Tanzania anayecheza KRC Genk ya Belgium

Coach huyo alipoulizwa ameapa hatomuita tena kuchezea team ya Taifa kwa utovu wa nidhamu aliounesha

Mimi najiuliza utovu wa nidhamu gani huo ambao hausameheki

Kelvin John ni kijana mdogo bila shaka kukosea kupo kwa vijana na coach inatakiwa aweze kumuongoza na kulinda carrier yake

Namsihi coach amuite ni kijana mwenye kipaji kikubwa mno tunamhitaji kama taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
Carrier? 😳😳😳😳😳😳😳😳😳
 
Inasemekana kocha wa timu ya taifa pia ni wakala wa wachezaji..wana kampuni (agency) sasa dogo alimtamani siku nyingi na kumshawishi amuibe..dogo kakaza..! Kwahayo hili la nidhamu ni kisingizio tu..
 
Inasemekana kocha wa timu ya taifa pia ni wakala wa wachezaji..wana kampuni (agency) sasa dogo alimtamani siku nyingi na kumshawishi amuibe..dogo kakaza..! Kwahayo hili la nidhamu ni kisingizio tu..
INASEMEKANA!! yaani unatuletea mambo ya kusadikika
 
Mchezaji mzuri ila amejiharbia kwenye management ya wachezaji hutakiwi kua lele mama haiwezekani mchezaji aingize vimada hoteli ya team umchekee next time wote wataingiza wanawake wawatie kabla ya mechi

Phil foden na mwenzake waliondolewa kambini England kwa kwenda kujirusha

warda wa misri hajaitwaga tena national team baada ya kuonekana aki pulika camp hotelini

Shida wabongo ni nongwa tu hatufatiliagi
 
Back
Top Bottom