Kendrick Lamar (Kidoti) Alijichanganya Kumdiss J Cole. 7 minutes Drill Bodied Kendrick

Kendrick Lamar (Kidoti) Alijichanganya Kumdiss J Cole. 7 minutes Drill Bodied Kendrick

C'mon that shit was light just like pwc.
It was weak just like Somalian kids,
Hakuna real shot hata moja yenye uzito humo.
Amepondea Mr. Morale na TPAB
Lakini hizo album ni certified classics.
TPAB ni musically best rap album ever waulize watu wa jazz...na Mr. Morale will age like fine wine kuliko ata Goodkid mad city aliyoadmit ni classic.

Then yeye anadiss Album za K.dot wakati hana hata album moja inayozikaribia hata kwa mbaaaali.

Amejitetea kusema it is just a warning.
Tangu lini diss zikawa na trailer?

I'm a Jcole fan, I was in the Jcole bandwagon lakini kwa hii 7minute drill amezingua..Sanasana amempa point 3 Kendrick Lamar.
Kungfu Kenny akimjibu atamuulia career yake. So I think ni busara K.dot aspomjibu maana ni marafiki wale.
Kwangu mimi Album za Kendrick ambazo ni bora zaidi ni To Pimp a Butterfly na Section 8, hizi zingine huwa naona za kawaida tu.
 
Obvious drake atarudi hatomlazia damu Kama alivyofanya kwa Meek Mill
Kidonda cha Pusha T babdo hakijapona, kilimuweka pabaya kwenye ulimwengu wa diss track, itaendelea kutumika kama reference kwa kila atakaye mdiss. Ni kama Ether ya Nas kwa Jay Z
 
Kidonda cha Pusha T babdo hakijapona, kilimuweka pabaya kwenye ulimwengu wa diss track, itaendelea kutumika kama reference kwa kila atakaye mdiss. Ni kama Ether ya Nas kwa Jay Z
Ether umenikumbusha mbali na the Takeover...kwani drake hakuwahi kumjibu Pusha T? without Pusha t Adonis wouldn't come out
 
Kendrick anasubiria wajibu wote wawili ili arushe jiwe moja kujua ndege wawili.
Kitu ambacho hata akishindwa bdo ataonekana tu mshindi maana anapambana na watu wawili
Hii itakua sio ya kwanza kutokea,NWA walimdiss Ice Cube,peke yake akatoa NO VASELINE
 
Napendaga sana bifu za mziki zikiwekwa kwenye rhymes sio ujinga wa kupigana risasi. Kwenye hii kesi niko na J Cole
 
"Nina mistari mingi kuzidi Old testament "

Mimi Sina shaka na uwezo wa Kendrick , hata Jermaine Cole mwenyewe anajua ni jinsi gani Kendrick alivyo mnyama.

Huyo Drake Hana uwezo wowote wa kubattle na Kendrick,zaidi sana atajisifu umaarufu na kumzidi pesa kama kawaida yake.

Kendrick ni genius.
 
Screenshot_20240407-135159.jpg
 
Back
Top Bottom