Kenge ana madhara gani kwa Binadamu?

Bro kenge ni kenge tu, ingawa anakula nyoka na hasa wale wakali kama Cobra, kenge hana lolote mbele ya binadamu.
Sana sana atakula kuku au mayai.
Ispokua kiumbe yeyote anayejiona yupo hatarini atafanya vitisho ili kujiepusha na hatari iliyo mbele yake.
 
Kuna bwana mmoja alienda kukata kuni alivyochoka akalala kenge akatokea akamuingiza ulimi puani jamaa alivyoamka aliona kichwa chepesi alivyoenda hospital kuchekiwa akaonekana hana ubongo aliula wote kenge.
Hahaha hahaha!
 
Kuna bwana mmoja alienda kukata kuni alivyochoka akalala kenge akatokea akamuingiza ulimi puani jamaa alivyoamka aliona kichwa chepesi alivyoenda hospital kuchekiwa akaonekana hana ubongo aliula wote kenge.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hii sio chai tena Bali ni gahawa
Kuna bwana mmoja alienda kukata kuni alivyochoka akalala kenge akatokea akamuingiza ulimi puani jamaa alivyoamka aliona kichwa chepesi alivyoenda hospital kuchekiwa akaonekana hana ubongo aliula wote kenge.
 
Mbona tunatishana?sasa kama ni hatari tunaokaa nje ya Mji so Mijusi wamejaa.Je.wanafanyaje unaposema.ni hatari?
Mjusi kafiri hawa weupe wa ndani ni Hatari sana kuliko Kenge.

Sidhani kama Kenge anadhuru Mtu.
 
Lakini ukija kawaida angalia kenge wanavyotisha kama Mamba halafu wasiwe Na Madhara .Lazima madhara yapo.Ila mpaka wachokozwe
 
Wewe peke yako ndo umenena.Wengine naona wanazungusha tu
 
kenge hawana kitu ni waoga sana tu,,,
ndio maana ukimzungua mtu anakwambia wewe Kenge usinizoee..au
kwenda zako kenge wewe............
ndio maana mtu akikuita kenge amekudharau sana.......
 
Wana hatari gani mkuu ? Mimi tokea nazaliwa mpaka nazeeka nipo nao ndani
Mbona tunatishana?sasa kama ni hatari tunaokaa nje ya Mji so Mijusi wamejaa.Je.wanafanyaje unaposema.ni hatari?
Mimi mwenyewe tangu nikiwa mdogo nilikuwa nawapenda sana hasa wanavyokamata wadudu juu ya Dari na nilikuwa nawalenga na raba bendi.

Lakini kumbe pamoja na rangi yao nzuri wale wajusi ni hatari sana na wana sumu kali.

Kuna mmoja alishamdondokea mtoto mdogo kitandani akamng'ata yule mtoto ilibaki kidogo sana afariki kama asingewahishwa hospitalini.

Pale alipong'atwa palikuwa na rangi ya blue.

Mjusi kafiri muone tu na udogo wake.
 
Usiache ache wazi mayai yako atayala. Hiyo ndo hatari yake.

Kuna mmoja alisumbuliwa sana na kenge kila kuku wake akitaga kenge huyu hapa anayala. Yule mtu akayachemsha mayai akamwekea Kenge akameza akasindwa kuvunja ili lipite kwenye koromeo akakabwa akafa.
 
Ww nmeogopa kinoma....

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hawawezi kumuua binadamu ni wanyama waoga sana cjajua akikung'ata kama anasumu au lah kwa hawa kenge wa ukanda wetu ila wale kenge wa maeneo ya india ni hatari kwanza ni wakubwa mara 10 ya hawa kenge wetu wanaweza kuua hadi ng'ombe na wakamla ni wanasumu kali sana kla hawa kenge wetu ni wadogo wadogo ni waoga ila ukiwatait sehem wanapenda kutumia mkia wake kukuchapa na wanakucha ndefu na hatari maana akikung'ang'ania hauwezi kumtoa maana atatoka na ngozi au nyama ni hayo kwa experience yangu maana kuna siku aliingia kwenye banda la kuku na tulipambana sana japo alifanikiwa kukimbia
 
Kenge shida ipo kwenye mifugo hasa kuku na mayai..kwa binadamu Hana ishu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…