Kenneth Kaunda afariki dunia akiwa na miaka 97

Bila shaka ndio muasisi wa “Kaunda suits”
Kabisa na Mchonga alizifaidi hasa,iikichakaa tu kidogo anapiga
"ə bana kaunda suti hizi sio imara bana ishachanika"
Kaunda "imeisha hiyo nakuletea 2 mpya bure usimshtue Nkurumah km zilichanika "
Mchonga "Aah bro skuangushi hata kupiga ni sababu tu naenda kikao UNO"
Kaunda-poa

Mchonga huku-Yes 👊🕺suti 2kaunda buree
Story tu kijijini hizi inasemekana 👊
 
Kabisa na Mchonga alizifaidi hasa,iikichakaa tu kidogo anapiga
"ə bana kaunda suti hizi sio imara bana ishachanika"....
Hehehe kumbe mwanae ndio alikuwa anamletea azigonge akienda UNO
 
Aliyewahi kuwa Rais wa kwanza na baba wa taifa wa Zambia Dk. Keneth Kaunda amefariki usiku huu akiwa na umri wa miaka 97. Taarifa zaidi zaidi zitakujia badae.

R. I. P Daktari
 
They do not make them anymore:

A Life Well Lived.

A Life Worth Celebrating.
 
Kwani mchana ulikuwa wapi ?
Mbona tuna taarifa hii tangu mchana uliopita!
 
Hata uwanja wa Mabingwa wa Kihistoria (TM) unaitwa Uwanja wa Kaunda kwa heshima yake.
 
Umetupa wasifu wake wa kielimu na kazi za kitaaluma alizofanya lakini hujatuambia namna alivyopanda kisiasa hadi kuwa Rais,tupe wasifu wa harakati zake za kisiasa.R.I.P legandary
 
ameona wajukuu na vitukuu na vilembwe, mungu ni mwema sana.
Watu wenye mioyo safi waliompa Yesu maisha yao ndio wanaishi hivi.
 
Nimetamani kupaelewa hapa lakini nimeshindwa, Msaada tafadhali
Tafriri isiyo rasmi,kwamba wakati washindani wakiwa kwenye harakati za kumzuia kugombea awamu nyingine madarakani( to usher him away from the podium) baada ya kipindi chake cha uongozi kilichokuwa kimejaa migawanyiko( to ran over allotted time) aliangua vicheko kwa kejeli na kuwaambia wanajaribu kumdhibiti mzee aliyethubutu na kumudu kupambana na Boers/Africaners(Wazungu wa Afika Kusini ambao ni vitukuu au vizazi vya wahamiaji wakulima wa kilowezi kutoka Uholanzi-Dutch Settlers)
 
Mungu akubariki sana ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…