Kenya Army VS Tanzania Army

Kenya Army VS Tanzania Army

4342298_dsc06102_jpeg00796503e9d3a76f2aa9fc2a1f1334ec
10011199_img20190809184052_jpegc1145265c038a8d35dcdb329c9e2cc3b

10011200_img20190808063131_jpeg3784ce5b9c53b54d82916b5f533109e0

10011201_img20190808063020_jpeg62614f43f27c38d2b07fbdad8fec67d4

10011198_img20190809184132_jpegd04cb11d8932f3d47d2acbe946dd1fdb

kdf Rangers in Somalia
 
Duh!!mbna hamuelewagi vitu, mada yangu ilkua ni kuhusu misaada...
Ndio nikauliza mbona mozambique mlikimbia mbio mbio kutoa misaada wakati kagera sijui ndo wapi hawakuonekana hilo jeshi la wananchi...

Anyway, am off
Mbona unaongopa ww??
TPDF ikimbie??
Bro punguza miraa.
 
Vikosi vya uingereza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wivu mbaya jamani
Yawezekana hujui kuwa Somalia kuna majeshi ya Uganda, Burundi na Kenya! Hata hivyo, KDF ndio imerambishwa sakafu mara nyingi zaidi na Alshabab. Alshabaab walifanikiwa kuingia University ya Garissa na kushambulia kwa masaa kadhaa na kuua wanafunzi wengi wakati KDF na vikosi vya usalama wakichikua muda mrefu kuji-mobilize. Kama kwamba haitoshi, shambulio la Alshabaab hotelini Nairobi mwaka huu, ilibidi vikosi vya Uingereza visaidie kuokoa jahazi. Tanzania TPDF tosha, hawahitaji msaada wa mamluki.

Vv
 
Mbona hueleweki unaloongea??
Ebu ongea ueleweke km Kuhusu ushahidi ushapewa sana ila ushahidi wako ww sijui unatoleaga wapi?
Nishakupa ushahidi kuwa wanabaka wanawake kule kongo Hadi u hunguzi ukaanza kufanywa.
 
They wont dare, wataishia mpakani Horiri, Horohoro na Namanga.

Vv
Wanaingia Hadi ikulu...Jeshi lenu Ni ovyo Sana wako Kama wanamgambo Kiana hivi kazi wanayoweza Ni kubangua Korosho na kufunga bureau za kubadilisha fedha za kigeni.
 
Unajua maana ya ushahidi kamilifu!?
Habari ulizoniletea ww ni scam news.
Asa scam news habar kamili?
Mwasiti una vituko sana.
Nishakupa ushahidi kuwa wanabaka wanawake kule kongo Hadi u hunguzi ukaanza kufanywa.
 
Mbona wamekamilisha millitary missions nyingi tu ninyi hamna mlokamilisha?
Wanaingia Hadi ikulu...Jeshi lenu Ni ovyo Sana wako Kama wanamgambo Kiana hivi kazi wanayoweza Ni kubangua Korosho na kufunga bureau za kubadilisha fedha za kigeni.
 
Ahaa asa kaka hujaeleweka statement yako.
Umeongea kauli tata.
Anyway ndio hvyo.
Duh!!mbna hamuelewagi vitu, mada yangu ilkua ni kuhusu misaada...
Ndio nikauliza mbona mozambique mlikimbia mbio mbio kutoa misaada wakati kagera sijui ndo wapi hawakuonekana hilo jeshi la wananchi...

Anyway, am off
 
wakenya kwa kweli mnachekesha sana dunia ......na hilo jeshi lenu[emoji23][emoji23]
 
Kdf ndio jeshi pekee ulimwenguni kupoteza askari wengi kwenye kaambush uchwara pia ndio jeshi pekee ambalo askari wake ni wezi

Pia kenya ndio nchi pekee duniani ambayo iliwekwa chini ya ulinzi kwa siku tatu na magaidi 3 wa Al shabab
 
Khaa unaelewa kiswahili mwasiti??
Kasaidiwa na nani?
Unajua maana ya usaidizi?
TPDF ndio imetoa usaidizi kwasababu hata Congo yalianza peace keeping troops zingine yakashindwa kukamilisha ndio TPDF akaitwa mathalan M23 yalianza kuja majeshi ya Africa magharib lakini alokuja kukamilisha kaz na kuongoza brigade ni TPDF.
Usipoelewa hapo kweli wewe Mwasiti.
Nionyeshe waliokamilisha bila usaidizi wa Nchi zingine...tag me bila upuzi.
 
Na ndio nchi pekee katika ukanda huu kupasua watu vichwa
Kdf ndio jeshi pekee ulimwenguni kupoteza askari wengi kwenye kaambush uchwara pia ndio jeshi pekee ambalo askari wake ni wezi

Pia kenya ndio nchi pekee duniani ambayo iliwekwa chini ya ulinzi kwa siku tatu na magaidi 3 wa Al shabab
 
Vita mmeshinda ni kuumaliza upinzani tu
Khaa unaelewa kiswahili mwasiti??
Kasaidiwa na nani?
Unajua maana ya usaidizi?
TPDF ndio imetoa usaidizi kwasababu hata Congo yalianza peace keeping troops zingine yakashindwa kukamilisha ndio TPDF akaitwa mathalan M23 yalianza kuja majeshi ya Africa magharib lakini alokuja kukamilisha kaz na kuongoza brigade ni TPDF.
Usipoelewa hapo kweli wewe Mwasiti.
 
Khaa unaelewa kiswahili mwasiti??
Kasaidiwa na nani?
Unajua maana ya usaidizi?
TPDF ndio imetoa usaidizi kwasababu hata Congo yalianza peace keeping troops zingine yakashindwa kukamilisha ndio TPDF akaitwa mathalan M23 yalianza kuja majeshi ya Africa magharib lakini alokuja kukamilisha kaz na kuongoza brigade ni TPDF.
Usipoelewa hapo kweli wewe Mwasiti.
Juzi kati wabunge was Kenya walikua wanaongea kiswahili bungeni kwao , nilicheka sana hawajui kiswahili hawa wakenya
 
Hahhahahahahahahahhahahahhhaahaahhahahahhaahhahahahahhahahahahahahhah daah !!!
Wakijulie wapi bandugu.
 
Back
Top Bottom